Niko addicted na JamiiForums

Aisee humu JF Kuna nini.

Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k.

Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi

Naipenda JamiiForums mno
Kazi inaendelea....
 
Mmekumiss pia Mtani.

Mtani naona mmeanza kupiga piga chafya. [emoji12][emoji2222][emoji2222]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona michoshoo tyuuh, sijaona mtu wa maana.
Afu usajiri bila kocha, si uchuroo huu.
 
Nimeona mna hadi Debora Mtani [emoji23][emoji23][emoji23] Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumewaiga nyie, si mlikua mna DA Joyce, c tumemleta DA Debora,
Hatutaki kupitwaa kabisaa, Woiiiiiih
 
Labda ni mpenz msomaji.

Kuna wengine wana posts nyingi ila ni ushubwada mtupu.
Kuna bwanamdogo saivi kapigwa ban, ana ujuha wa namna hiyo.
Comments zake kwenye uzi mmoja unazikuta hata 50+ ila zote ni ujinga ujinga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…