Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nimekuachia madem wote wataune kama upendavyo🤣🤣Aaah mkuu,
Ngoja kwanza nitulie kidogo mkuu🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuachia madem wote wataune kama upendavyo🤣🤣Aaah mkuu,
Ngoja kwanza nitulie kidogo mkuu🤣🤣🤣
Phalla sana🤣XS§ABkA¿SOCATbhrT¿bTrrF¡VoCAZSW§a§AtCSISÑ@ÆIkOkAZiKUCY¡?SMkekgQSAFQCW§AFQCARÑiCÑKiSAVSÄKWoSgQCC¡?SEkAD2Ø'E¡VoKÑsKA&
Sijawahi kuwa nao wengi mkuu, niko decent sana...huenda ningekuwa mkorofi..ila sasa sio!!Nimekuachia madem wote wataune kama upendavyo🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nili jimix samuweaa!!!Tayari haha
Maisha ni haya haya we kila vitu dogo langu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nili jimix samuweaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hataree tupuu.Maisha ni haya haya we kila vitu dogo langu
Piem nasikia wadada mnabaka watu, sitakiNjoo pm nikupe umbea
Kazi inaendelea....Aisee humu JF Kuna nini.
Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k.
Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi
Naipenda JamiiForums mno
Siku hizi umezeeeka? Mbona umeachaAcha kabisa.
Nakumbuka enzi zangu za ukungwi.
Sema nini, kuna wadada humu nimewasaidia kwenye mahusiano yao kipindi niko kungwi.
Wamekuwa wari vigego....misungo imekataa kusungwaSiku hizi umezeeeka? Mbona umeacha
Saivi watakua wanajifunzia you tubeWamekuwa wari vigego....misungo imekataa kusungwa
Mmekumiss pia Mtani.Mtani mic u [emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona michoshoo tyuuh, sijaona mtu wa maana.Mmekumiss pia Mtani.
Mtani naona mmeanza kupiga piga chafya. [emoji12][emoji2222][emoji2222]
KbsSaivi watakua wanajifunzia you tube
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumewaiga nyie, si mlikua mna DA Joyce, c tumemleta DA Debora,Nimeona mna hadi Debora Mtani [emoji23][emoji23][emoji23] Lol
Labda ni mpenz msomaji.Mkuu umejiunga 2019 leo 2024 una post 3k tu halafu unasema upo addicted kweli😂😂😂😂.
Watu walio addicted wamejiunga mwaka huu na tayari wana post 20k kuendelea. Kila uzi wanatembea nao. Kila ukifungua uzi unapata coment yake pale.