Niko hapa kanisani kwa sasa wasabato nimevaa jeans, waumini wenzangu wananiona Kama Antichrist.

Niko hapa kanisani kwa sasa wasabato nimevaa jeans, waumini wenzangu wananiona Kama Antichrist.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Leo nimeona niunganike na waumini wa kabisa la wasabato katika ibada baada ya kupata mwaliko, kwa kuwa huwa Sina suruali za mitambaa wala makoti ya suti ,nimeona nipige jeans na Converse nyeusi.

Tokea mlangoni kila mtu ananiangalia utafikiri mie sie ndugu yao katika Imani.
Kanisa nilikuwa nasali hapo mwanzo hata Kama umevaa nguo za michezo wao hawana time na mtu kabisa.

Nitarudi baada ya ibada.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
JamiiForums-487985216.jpg
 
Leo nimeona niunganike na waumini wa kabisa la wasabato katika ibada baada ya kupata mwaliko, kwa kuwa huwa Sina suruali za mitambaa wala makoti ya suti ,nimeona nipige jeans na Converse nyeusi.
Tokea mlangoni kila mtu ananiangalia utafikiri mie sie ndugu yao katika Imani.
Kanisa nilikuwa nasali hapo mwanzo hata Kama umevaa nguo za michezo wao hawana time na mtu kabisa.
Nitarudi baada ya ibada.
Utuombee.
 
Leo nimeona niunganike na waumini wa kabisa la wasabato katika ibada baada ya kupata mwaliko, kwa kuwa huwa Sina suruali za mitambaa wala makoti ya suti ,nimeona nipige jeans na Converse nyeusi.
Tokea mlangoni kila mtu ananiangalia utafikiri mie sie ndugu yao katika Imani.
Kanisa nilikuwa nasali hapo mwanzo hata Kama umevaa nguo za michezo wao hawana time na mtu kabisa.
Nitarudi baada ya ibada.


Usijishtukie.

Nipo kanisan pia, nmevaa Kadet, shati nmechomekea nimekunja mikono kiasi, ndevu nmeziachia ,nywele kipilipili.
 
Leo nimeona niunganike na waumini wa kabisa la wasabato katika ibada baada ya kupata mwaliko, kwa kuwa huwa Sina suruali za mitambaa wala makoti ya suti ,nimeona nipige jeans na Converse nyeusi.

Tokea mlangoni kila mtu ananiangalia utafikiri mie sie ndugu yao katika Imani.
Kanisa nilikuwa nasali hapo mwanzo hata Kama umevaa nguo za michezo wao hawana time na mtu kabisa.

Nitarudi baada ya ibada.

😂😂😂

Sijui kwanini napenda kuvaa Jeans Kanisani.
Hiyo kwangu ni Kama ugonjwa
 
Leo nimeona niunganike na waumini wa kabisa la wasabato katika ibada baada ya kupata mwaliko, kwa kuwa huwa Sina suruali za mitambaa wala makoti ya suti ,nimeona nipige jeans na Converse nyeusi.

Tokea mlangoni kila mtu ananiangalia utafikiri mie sie ndugu yao katika Imani.
Kanisa nilikuwa nasali hapo mwanzo hata Kama umevaa nguo za michezo wao hawana time na mtu kabisa.

Nitarudi baada ya ibada.
Ni kweli ww ni mchawi wameshakustukia
 
Ibada za sabato zinaanzaga sa nne
Ibada huanza Tokea kuzama kwa Jua hadi kuzama kwa jua.
Kuna mafundisho ya Lesoni (Darasa la Walimu) Saa 2 asubuhi hadi Saa 3 Asubuhi...

Inafuatia Huduma nyingine kuanzia saa 3 asubuhi hadi Saa 4...

Inafuata mgawanyo katika makundi madogo madogo hadi saa 5,

Ibada kuu inafuata kuanzia saa 5 hadi saa 7

Kufunga Sabato
 
Back
Top Bottom