Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Ntumie picha nkuone ulivolipuka na hyo casualUsijishtukie.
Nipo kanisan pia, nmevaa Kadet, shati nmechomekea nimekunja mikono kiasi, ndevu nmeziachia ,nywele kipilipili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntumie picha nkuone ulivolipuka na hyo casualUsijishtukie.
Nipo kanisan pia, nmevaa Kadet, shati nmechomekea nimekunja mikono kiasi, ndevu nmeziachia ,nywele kipilipili.
Huyu muongo bwanaHuenda kweli
Kambi la wapii? Ukute la kekoEbwanaaa eeehh Tena Leo tunafunga Kambi
Kwa yesu hakuna mhuni wala mwema...sisi sote ni wakuhurumiwa tu.Kanisani kuna mavazi ya haiba yake, yaani mavazi ya heshima. Si kila mtindo wa mavazi unaweza kuingia nao kanisani, mitindo mingine inaonekana ni ya kihuni
Weee nakuambia wadada ni "Mkaka umewaka, njooo tutake a photo "Ntumie picha nkuone ulivolipuka na hyo casual
Nrushie tu pic bassWeee nakuambia wadada ni "Mkaka umewaka, njooo tutake a photo "
Utanipenda buree
Hata vyuoniHata makazini,mahakamani hawataki jeans umechemka mkuu!
Keko wamefanyia wapi hilo kambi lao?Kambi la wapii? Ukute la keko
Kazi ipo mkuu. Basi fresh tukutane mbinguni tu, maana wengi tumeficha ya kwetu tunakuonaga mdhambi wewe tu. Ila kila ukilala usisahau kutubu.Ebwanaaa eeehh Tena Leo tunafunga Kambi
TaifaKeko wamefanyia wapi hilo kambi lao?
Taifa
😂 Kama vile wengine wamevaa nguo zilizotengenezwa na Yesu mwenyewe kumbe inawezekana hata ya mchungaji wao imetoka kiwanda kimoja. ja na hiyo jeans yako. Imani ikikuingia vibaya ni uwendawazimu kabisaaLeo nimeona niunganike na waumini wa kabisa la wasabato katika ibada baada ya kupata mwaliko, kwa kuwa huwa Sina suruali za mitambaa wala makoti ya suti ,nimeona nipige jeans na Converse nyeusi.
Tokea mlangoni kila mtu ananiangalia utafikiri mie sie ndugu yao katika Imani.
Kanisa nilikuwa nasali hapo mwanzo hata Kama umevaa nguo za michezo wao hawana time na mtu kabisa.
Nitarudi baada ya ibada.
Kuna maeneo mengi pale...wamepatiwa chocho mambo yanaenda sawa na Leo hitimishoOoh, nilidhani wamekosa nafasi kwa sababu ya mechi zinazoendelea.
Mfano leo inakuwaje pale?
Wow!Kuna maeneo mengi pale...wamepatiwa chocho mambo yanaenda sawa na Leo hitimisho
Badili mtizamo na ufuate kilichokupeleka kanisani. Sidhani ikiwa macho ya watu na kukuona kwao kutakifikisha kwenye malengo yakoLeo nimeona niunganike na waumini wa kabisa la wasabato katika ibada baada ya kupata mwaliko, kwa kuwa huwa Sina suruali za mitambaa wala makoti ya suti ,nimeona nipige jeans na Converse nyeusi.
Tokea mlangoni kila mtu ananiangalia utafikiri mie sie ndugu yao katika Imani.
Kanisa nilikuwa nasali hapo mwanzo hata Kama umevaa nguo za michezo wao hawana time na mtu kabisa.
Nitarudi baada ya ibada.
Kazi ipo mkuu. Basi fresh tukutane mbinguni tu, maana wengi tumeficha ya kwetu tunakuonaga mdhambi wewe tu. Ila kila ukilala usisahau kutubu.