Niko hapa kanisani kwa sasa wasabato nimevaa jeans, waumini wenzangu wananiona Kama Antichrist.

Huyu muongo bwana
Kwa wanaume huwa kanisa halihangaiki na mavazi...labda wadada upige mini hasaaaa ile ya kuaibisha ndo watakushangaa.
Shetan me mwenzio msabato tangu kichanga
Huyu atakuwa kanisa la wapi huenda alikuwa ana yake
 
TUPE MREJESHO ILIKUWAJE
 
Tatizo ujafunga zipu mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…