Niko na date na DMussa mwasemaje..mashemeji na mawifi ahahahhaa

Niko na date na DMussa mwasemaje..mashemeji na mawifi ahahahhaa

Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!😉

Kama jamaa asipkidhi viwango ni-PM na mimi nijaribu bahati yangu.😉

Argh.. usini-PM tena mkuu, sintokuwepo...
 
Last edited:
wapi bwana...basi tu kwani wanaume wawili hawaruhusiwi kunywa kahawa? its a coffee date for God's sake!

Osh!

Kumbe ni Shishi na wewe ni Dume?? Aisee usini-PM tena, samahani, wrong namba.........

Mama wee😕
 
am loving the way all of you think.....duh! basi muulizeni DMussa awape copy!
 
Dating is any social activity undertaken by, typically, two people with the aim of each assessing the other's suitability as their partner in an intimate relationship or as a spouse. The word refers to the act of meeting and engaging in some mutually agreed upon social activity. Traditional dating activities include entertainment or a meal. - Wikipedia

I know each of us can make his/her own understanding from that definition.
 
Ati naskiaga Naiii kwa nau kuna ma-problemu ya wota na stima..sasa mazee itakuwaje iyo deti yenu?
 
wapi bwana...basi tu kwani wanaume wawili hawaruhusiwi kunywa kahawa? its a coffee date for God's sake!
Kumbuka kwenye main post umesema Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!😉
__________________
Sasa Harusi ya akina nani tena?
 
Ati naskiaga Naiii kwa nau kuna ma-problemu ya wota na stima..sasa mazee itakuwaje iyo deti yenu?

hii ungeiandika hivi ingekuwa poa kweli mazee:

ati naskiaga Nai kwa nau kuna problem mingi ya maji na stima... sasa iyo deti yenyu itakuwaje>

Ha ha haaa....
 
....Shishi miye nasubiri zamu yangu tu, tafadhali nishtue ikifika!!!
 
Kumbuka kwenye main post umesema Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!😉
__________________
Sasa Harusi ya akina nani tena?
wewe rudisha kwanza avatar yako ya kwanza tuliyoizoea... hii ya sasa inaleta usiku tu!!
 
hii ungeiandika hivi ingekuwa poa kweli mazee:

ati naskiaga Nai kwa nau kuna problem mingi ya maji na stima... sasa iyo deti yenyu itakuwaje>

Ha ha haaa....


yaani sasa DMussa umeanza kutuenjoy wakenya...i might call off the date haiya!!!!
 
I know each of us can make his/her own understanding from that definition.

Hata kama, ila zingatia mtazamo wa jamii kuhusu kitu/dhana husika. Pia kikawaida DATE inafanywa na watu gani? Mwanaume kwa Mwanaume kufanya DATING?

Mh! Samahani Mkuu.......
 
nipo soon mi nakuja kwa job sista, nita ku-kujilisha!


hebu tell my brother Ndugu kuwa am a sista!!!!!!

ku-ku julisha ndio nini?? weweeeeeeeeeeeeee!!!! ushaanza!
 
Back
Top Bottom