Niko na date na DMussa mwasemaje..mashemeji na mawifi ahahahhaa

Niko na date na DMussa mwasemaje..mashemeji na mawifi ahahahhaa

Shishi,

I thought "Bruno" was opening tomorrow, but then again today is tomorrow in Nai, lol.

Ur sick for playing peeps!
 
Shishi,

I thought "Bruno" was opening tomorrow, but then again today is tomorrow in Nai, lol.

Ur sick for playing peeps!


Thanks for info...tunaanza na coffee and then see if it will progress to 'bruno' ahahahahah. sasa si unajua zinatufikai a month after opening na huko majuu!!!!
 
We r @ Savana enjoyn the coffee n chat! Shishi is great men!!! Anawasalimia sana wakuu...
 
Watu wa Nai mnaniacha hoi, mkishamaliza date yenu mimi nawakaribisha Windsor au Muthaiga country club.
 
Thanks DMussa 4da great evening.baridi is no more lol. Tel the doubting thomases am a fine sista.
 
Watu wa Nai mnaniacha hoi, mkishamaliza date yenu mimi nawakaribisha Windsor au Muthaiga country club.

ahsante sana, think ths one needs a special date ahahaha. Sasa huko majuu tuje na chopper ama?
 
Thanks DMussa 4da great evening.baridi is no more lol. Tel the doubting thomases am a fine sista.

Mimi mmojawapo kabisa!

Shishi,, hiyo Avatar yako....au mi ndo nina mawaza ya hovyo hovyo?
 
Shishi,, hiyo Avatar yako....au mi ndo nina mawaza ya hovyo hovyo?

Mh, Hata mimi imenistua................, inawezekana 'tuna mawazo ya hovyo hovyo' kama ulivyosema.

Ila mh.........., kaaazi kweli kweli.

Call me lizy.
 
Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!😉

Shishi inaonekana unapenda sana mambo mflani ndio maana avata yako inaonyesha ukipendacho.
 
Mimi mmojawapo kabisa!

Shishi,, hiyo Avatar yako....au mi ndo nina mawaza ya hovyo hovyo?


Mmmmmmnh.... Jf patamu kweli..... mawazo yako rotten kabisa! u need prayers!
 
Mh, Hata mimi imenistua................, inawezekana 'tuna mawazo ya hovyo hovyo' kama ulivyosema.

Ila mh.........., kaaazi kweli kweli.

Call me lizy.


Hata wewe Lizy umenaswa eh... eti hiyo ilikuwa butter nut,,nyie mkachoose kuona mlichoona... imeshabalishwa!
 
Shishi
Ile avatar yako ilikuwa matata kwakweli..Au hujui pilipili hoho ilivyo vizuri? ha ha
Nimecheka sana na bora umeibadilisha..

@ Naii vipi?!nina rafiki-mamanzii zangu huko na swahili yao naipenda sana. Enjoy with DMussa!
 
Shishi
Ile avatar yako ilikuwa matata kwakweli..Au hujui pilipili hoho ilivyo vizuri? ha ha
Nimecheka sana na bora umeibadilisha..

@ Naii vipi?!nina rafiki-mamanzii zangu huko na swahili yao naipenda sana. Enjoy with DMussa!


Ha ha ha ha nilidhani niko pekee yangu maana niliiangalia ile avatar mara mbili mbili ili kujua kulikoni na nikajua tu Shishi kaamua kuleta kasheshe na avatar yake. Shishi bora umeamua kuibadili.
 
Back
Top Bottom