Niko na date na DMussa mwasemaje..mashemeji na mawifi ahahahhaa

Niko na date na DMussa mwasemaje..mashemeji na mawifi ahahahhaa

Ha ha ha ha nilidhani niko pekee yangu maana niliiangalia ile avatar mara mbili mbili ili kujua kulikoni na nikajua tu Shishi kaamua kuleta kasheshe na avatar yake. Shishi bora umeamua kuibadili.

BAK za siku nyingi? mbona kanitupa kakangu? eh!nanyi kazi kuchungulia avatar za watu.... ila nilijua tu itazua utata.....duh!! infact i kept looking kwenye ile thread ya avatar zibadilishwe kuona kama mtu kaigundua...and of course it didnt take long! ahahahhahahah
 
Mh, Hata mimi imenistua................, inawezekana 'tuna mawazo ya hovyo hovyo' kama ulivyosema.

Ila mh.........., kaaazi kweli kweli.

Call me lizy.


Alrite......noted.😎
 
Back
Top Bottom