Niko na date na DMussa mwasemaje..mashemeji na mawifi ahahahhaa

izi zat tru shishi?.................. astaghafurullahi

wapi bwana...basi tu kwani wanaume wawili hawaruhusiwi kunywa kahawa? its a coffee date for God's sake!
 
Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!😉

Kama jamaa asipkidhi viwango ni-PM na mimi nijaribu bahati yangu.😉

Argh.. usini-PM tena mkuu, sintokuwepo...
 
Last edited:
wapi bwana...basi tu kwani wanaume wawili hawaruhusiwi kunywa kahawa? its a coffee date for God's sake!

Osh!

Kumbe ni Shishi na wewe ni Dume?? Aisee usini-PM tena, samahani, wrong namba.........

Mama wee😕
 
am loving the way all of you think.....duh! basi muulizeni DMussa awape copy!
 

I know each of us can make his/her own understanding from that definition.
 
Ati naskiaga Naiii kwa nau kuna ma-problemu ya wota na stima..sasa mazee itakuwaje iyo deti yenu?
 
wapi bwana...basi tu kwani wanaume wawili hawaruhusiwi kunywa kahawa? its a coffee date for God's sake!
Kumbuka kwenye main post umesema Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!😉
__________________
Sasa Harusi ya akina nani tena?
 
Ati naskiaga Naiii kwa nau kuna ma-problemu ya wota na stima..sasa mazee itakuwaje iyo deti yenu?

hii ungeiandika hivi ingekuwa poa kweli mazee:

ati naskiaga Nai kwa nau kuna problem mingi ya maji na stima... sasa iyo deti yenyu itakuwaje>

Ha ha haaa....
 
....Shishi miye nasubiri zamu yangu tu, tafadhali nishtue ikifika!!!
 
Kumbuka kwenye main post umesema Mmmmmmmmmmmmmmmmm... date leo na DMussa, venue NBI city...kwi kwi kwi kwi...harusi hapa hapa JF!!!!!😉
__________________
Sasa Harusi ya akina nani tena?
wewe rudisha kwanza avatar yako ya kwanza tuliyoizoea... hii ya sasa inaleta usiku tu!!
 
hii ungeiandika hivi ingekuwa poa kweli mazee:

ati naskiaga Nai kwa nau kuna problem mingi ya maji na stima... sasa iyo deti yenyu itakuwaje>

Ha ha haaa....


yaani sasa DMussa umeanza kutuenjoy wakenya...i might call off the date haiya!!!!
 
I know each of us can make his/her own understanding from that definition.

Hata kama, ila zingatia mtazamo wa jamii kuhusu kitu/dhana husika. Pia kikawaida DATE inafanywa na watu gani? Mwanaume kwa Mwanaume kufanya DATING?

Mh! Samahani Mkuu.......
 
nipo soon mi nakuja kwa job sista, nita ku-kujilisha!


hebu tell my brother Ndugu kuwa am a sista!!!!!!

ku-ku julisha ndio nini?? weweeeeeeeeeeeeee!!!! ushaanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…