Niko njia panda msaada

Niko njia panda msaada

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?
 
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?
Utunze huo ushahidi Jitahidi kukaa nae mbali kwa hali yoyote ile hadi atapojifungua akiwa kwao ndo umwage manyanga.

Huyo ni muuaji ila tumia busara.
 
Screenshot_20240501-143126_Quora.jpg
umesema ulitambulishwa kama huyo jamaa ni babaake na rafiki wa wife ako eh?
Subiri tumalize kuwaka tuje kukupa pole.

Inshort anza upya. Maana hata huyo 1st born sio wako.
Njoo hapa tule bia nkushauri vzur
 
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?
Ushauri wangu.

1. Achana naye kwa amani kabisa maana wewe siyo chaguo lake.

2. Msamehe tu, hizo ni changamoto na kawaida humpata mtu yeyote.

3. Chagua kati ya 1 au 2 uishi nayo.

Naomba kuwasilisha
 
Aiseeee....... NDUGU katika jinsia kwanza nikupe pole sanaaa..
Ningelikua Mimi nisingemfanya lolote Kwa sasa ila kukusanya ushahidi wote ningempeleka Kwao kama makubaliano yalivyo.

Kwa masharti kwamba amlinde dada ake... Ningetuma ushahidi wote Kwa kaka yake na mwisho ningemwambia avae viatu vyangu.
 
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?
1. Mimi ningeshauri kwa sasa ungekaa kimya na umpeleke kwao kama anavyodai.
2. Baada ya kujifungua, akishapata nguvu, ongea naye na onyesha kwamba una mashaka na uhusiano wenu, hasa kwamba una hakika anachepuka na mtu unayemfahamu.
3. Ona mwenyewe kama unaweza kuvumilia hali hiyo (mtu mwingine asikuingizie mawazo yake).
4. Kama unampenda, samehe na endelea kuishi naye kama mkeo.
5. Katika masuala kama haya, kama hatua ya kwanza, usimhusishe mtu mwingine/ndugu/wazazi - kufanya vikao etc - jadilini mkiwa wawili tu.
5. Pole sana kwa yote.
 
NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, Mkuu wacha uongo wiki mbili na sai ana mimba ya miezi minane umwongo sana
 
Back
Top Bottom