Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Kutoka Lindi hadi singida, amepaa.Itakuwa wewe umetokea Lindi... Na hujawahi fika mjini kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka Lindi hadi singida, amepaa.Itakuwa wewe umetokea Lindi... Na hujawahi fika mjini kabisa
Hapa sijakuelewa Barabara kuu sijui unamaanisha, barabara ya namna gani.Barabara kuu iko moja tu...eti jiji
Hujaitembea singida bado...singida ni mkoa mkubwa ila sehemu kubwa ya ardhi ya singida haikaliwi na watu ni mapori na nyika!! Kutoka singida mjini mpk kuelekea upande wa magharibi kuugusa mkoa wa manyara itakuchukua zaidi ya masaa 4 kutembea kwa gari/basi. Wilaya ya mkalama ni kubwa mnoo!!Umesahau wana ziwa (Singidani), pia ka mji ni kadogo kama jiji la Dar (kama inafanana na Dar why yenyewe isiwe jiji?)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo majitu ya huko yanaendekeza ushirikina mno.Unaongea upuuzi gani ..jichanganye sas kalime vitunguu au fungua duka ndio utajuwa singida iko vip
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Singida inazalisha msosi gani mkuu kiasi cha kulisha robo tu ya Tanzania?Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja, mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.
Upuuzi mtupu. Taja barabara za vumbi hapo katikati ya mji wa Geita vinginevyo wewe ni mburula mtoa uharo tu nyau weweNietembea robo tatu ya mikoa ya tanzania
Hapa nipo geita mjini ila mji siuelewi kabisa
Huu ni mkoa au wilaya
Mitaa yake haisomeki
Ghorofa la otonde ndio kivutio pekee cha huu mkoa
Magogo, ,nyankumbu,shelabela,mkoani,ggm, kote ovyo tu,stendi zero kabisa.barabata za mitaa vumbi,hakuna mji pale
🤣🤣Nietembea robo tatu ya mikoa ya tanzania
Hapa nipo geita mjini ila mji siuelewi kabisa
Huu ni mkoa au wilaya
Mitaa yake haisomeki
Ghorofa la otonde ndio kivutio pekee cha huu mkoa
Magogo, ,nyankumbu,shelabela,mkoani,ggm, kote ovyo tu,stendi zero kabisa.barabata za mitaa vumbi,hakuna mji pale
PoleNiko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja, mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.