Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo geita hapa zaidi ya ghorofa ya otonde kuna niniKuwa serious wewe..fanya kutembea usikae kusikiliza stori za vijiweni.
#MaendeleoHayanaChama
Stendi ya mkoa geita inazidiwa na stendi ya daladala ya makumbusho au mawasilianoNipo geita hapa zaidi ya ghorofa ya otonde kuna nini
Ila kwenye lami kasema ukweli, Singida municipality kila kona kuna lami tena quality kabisa japo hali ya hewa ni mpaukoShida iliyopo hapo Singapore ni low population, bad weather, low flow of money na mwisho watu wa Singapore ni wavivu.
Singida municipal kwenye barabara ni habari ingine hakuna manispaa inagusa.Singida hii hii ama nyingine, bado sana tena sana
Kijna angu Yuko Apo ameuguwa gono mkp anajiogopaSingida imejaaliwa madem wa kutombwa tu hakuna cha zaidi,huwa nikipita kwa gari sijisumbui kuzunguka kijiji(kamji)
Stanley motel ipo mkp leo Sasa HV anaitwa Hali ngumuOh my God! Dont remind me of childhood memories. Singida is always in my heart.
Nakumbuka mwaka 1992 wakati naenda kuanzishwa darasa la kwanza shule ya msingi Utemini...
Nakumbuka siku moja moja baba akitupeleka Singida motel au Stanley motel kupata soda...
Nakumbuka miaka hiyo tukienda na baba kununua vijisamaki ziwa Singidani...
Nikifa, kama msiponizika Kola, Morogoro, basi mnizike Singida...
Bila kuitaja Geita hulali nyau wewe. Geita ni mkoa wa juzi lakini huyo Singida wako haoni ndani kwa GeitaNipo geita hapa zaidi ya ghorofa ya otonde kuna nini
Hata Rumi haikujengwa siku moja. Kwani Arusha kuna stand ?Stendi ya mkoa geita inazidiwa na stendi ya daladala ya makumbusho au mawasiliano
Arusha imeingiaje humu,tunajadili geita,mji umejaa vumbi mitaa haina lami,lami ni moja tu ya mwatolole naile ya kwenda nyankumbu,mnazidiwa hata na chato kijiji cha juzi tu kina stand kubwa na barabara safiHata Rumi haikujengwa siku moja. Kwani Arusha kuna stand ?
Geita inazidiwa mishe mishe na kata ya katoro labda mademu wenye UTI ndio mnaongozaBila kuitaja Geita hulali nyau wewe. Geita ni mkoa wa juzi lakini huyo Singida wako haoni ndani kwa Geita