raphael andrew
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 817
- 938
Kejeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ya Big starsUnazumgumzia singida ipi?
Na sio wachoyoKuna
Kitu kimoja hujakitaja. Singida wanawake Wana mapenzi matamu sana.
Shepu zao za kufa mtu
Upo sahihiNa sio wachoyo
Mtu yeyote akitokea Babati akafika Singida hudhani ni mkoa wenye maendeleo kuliko mikoa yote Tanzania. Na kama umeshalishwa mishikaki ya punda ndio akili inadumaa kabisa..Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.
Hongera sana Sing Gidder!Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.
DuhMnaoponda singida mnapajua geita?panazidiwa na chalinze
DuhMtu yeyote akitokea Babati akafika Singida hudhani ni mkoa wenye maendeleo kuliko mikoa yote Tanzania. Na kama umeshalishwa mishikaki ya punda ndio akili inadumaa kabisa..
Ukiingia hapo Rhode club ukapata mama ya Kinyaturu au ya Kirangi hamna mtu ataweza kukuambia kuna mkoa bora zaidi ukuelewa.
hahahaaaaaMnaoponda singida mnapajua geita?panazidiwa na chalinze
hujamuelewaHuyu atakuwa katoka mtimbwilimbwi leo ndio maana anaropoka haya.Singinda izipite Arusha na Mwanza kimzunguko wa fedha?
hujamuelewaHuyu jamaa inawezekana alipitia kale ka mtaa ka ile biashara ya ile kitu akachanganyikiwa walivyo wazuri na wanavyoita kwa kubembeleza akajikuta anaandika post kama hii
hahahaaaa hujamuelewaMtu yeyote akitokea Babati akafika Singida hudhani ni mkoa wenye maendeleo kuliko mikoa yote Tanzania. Na kama umeshalishwa mishikaki ya punda ndio akili inadumaa kabisa..
Ukiingia hapo Rhode club ukapata mama ya Kinyaturu au ya Kirangi hamna mtu ataweza kukuambia kuna mkoa bora zaidi ukuelewa.
Kuwa serious wewe..fanya kutembea usikae kusikiliza stori za vijiweni.Mnaoponda singida mnapajua geita?panazidiwa na chalinze