Niko Singida hapa, nimeshangaa hadi leo hii huu mkoa sio jiji

Niko Singida hapa, nimeshangaa hadi leo hii huu mkoa sio jiji

Huyu jamaa inawezekana alipitia kale ka mtaa ka ile biashara ya ile kitu akachanganyikiwa walivyo wazuri na wanavyoita kwa kubembeleza akajikuta anaandika post kama hii
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Mtu yeyote akitokea Babati akafika Singida hudhani ni mkoa wenye maendeleo kuliko mikoa yote Tanzania. Na kama umeshalishwa mishikaki ya punda ndio akili inadumaa kabisa..

Ukiingia hapo Rhode club ukapata mama ya Kinyaturu au ya Kirangi hamna mtu ataweza kukuambia kuna mkoa bora zaidi ukuelewa.
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Hongera sana Sing Gidder!
 
Mtu yeyote akitokea Babati akafika Singida hudhani ni mkoa wenye maendeleo kuliko mikoa yote Tanzania. Na kama umeshalishwa mishikaki ya punda ndio akili inadumaa kabisa..
Ukiingia hapo Rhode club ukapata mama ya Kinyaturu au ya Kirangi hamna mtu ataweza kukuambia kuna mkoa bora zaidi ukuelewa.
Duh
 
Huyu jamaa inawezekana alipitia kale ka mtaa ka ile biashara ya ile kitu akachanganyikiwa walivyo wazuri na wanavyoita kwa kubembeleza akajikuta anaandika post kama hii
hujamuelewa
 
Mtu yeyote akitokea Babati akafika Singida hudhani ni mkoa wenye maendeleo kuliko mikoa yote Tanzania. Na kama umeshalishwa mishikaki ya punda ndio akili inadumaa kabisa..
Ukiingia hapo Rhode club ukapata mama ya Kinyaturu au ya Kirangi hamna mtu ataweza kukuambia kuna mkoa bora zaidi ukuelewa.
hahahaaaa hujamuelewa
 
Umelishwa limbwata weee!! na wanawake wa singida sasa umeamua kuja kutapika humu!! siyo bure weye!! hizi ndo athari za limbwata la singida!
 
Mkuu lile ghorofa la ccm wameshamalizia kulijenga? Singida kuna ghorofa 3 tu. Labda sikuhizi zimeongezeka.
 
Back
Top Bottom