National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kwa Mwigulu dongoKwamba Arusha ina mzunguko mdogo wa hela kuliko Singida...🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Mwigulu dongoKwamba Arusha ina mzunguko mdogo wa hela kuliko Singida...🤣🤣🤣🤣
Ila kuna pisi kali hatariShida iliyopo hapo Singapore ni low population, bad weather, low flow of money na mwisho watu wa Singapore ni wavivu.
Hiko ndo wanachokiweza.Ila kuna pisi kali hatari
Mungu akusaidie pepo la bange likutokeNiko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.
Ila ni wakarimu sana kwa ile mambo zetu mtu roho inapenda...Shida iliyopo hapo Singapore ni low population, bad weather, low flow of money na mwisho watu wa Singapore ni wavivu.
Ni kweli Singida inapita Arusha na Mwanza hata Dar es Salaam kweli? Hebu tembea kidogo uone labda mimi macho yangu hayapo vizuri.Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.
Ule utafiti katika kila watanzania wa nne mmoja kichaa, nimeukubali kupitia porojo zako. Singida iipite Dar? SINGIDA haifikii hata kijijini kwetu.Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.
Huyu atakuwa katoka mtimbwilimbwi leo ndio maana anaropoka haya. Singinda izipite Arusha na Mwanza kimzunguko wa fedha?Singida hii hii ama?
Same hii ya Wapare?? Dah hauko serious aseeMbona unamnanga bosi wako Madelu! Same ni pazuri kuliko Singida.
Ukiona unaanza kuota ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chiziNiko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.
Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.
Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.
Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.
Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.
Natanguliza shukrani.