Niko Singida hapa, nimeshangaa hadi leo hii huu mkoa sio jiji

Niko Singida hapa, nimeshangaa hadi leo hii huu mkoa sio jiji

Nduguze madelu mzee wa tozo mna shida sana , yani mnaanzaje kuupigia mkoa wenu aka kijiji kiwe Jiji? muwe na akili jamani wakati mwingine
 
Umesahau wana ziwa (Singidani), pia ka mji ni kadogo kama jiji la Dar (kama inafanana na Dar why yenyewe isiwe jiji?)

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Mungu akusaidie pepo la bange likutoke
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Ni kweli Singida inapita Arusha na Mwanza hata Dar es Salaam kweli? Hebu tembea kidogo uone labda mimi macho yangu hayapo vizuri.
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Ule utafiti katika kila watanzania wa nne mmoja kichaa, nimeukubali kupitia porojo zako. Singida iipite Dar? SINGIDA haifikii hata kijijini kwetu.
 
Screenshot_20220920-160324.jpg
Screenshot_20220920-160246.jpg
Screenshot_20220920-160157.jpg
Screenshot_20220920-160122.jpg
 
Niko Singida hapa, huu mkoa umebarikiwa kila nyanja,mkoa una kila kitu huu. Hali ya hewa nzuri balaa.

Mzunguko mkubwa wa hela labda kuliko Arusha na Mwanza, hata Dar anataka kupitwa. Idadi kubwa ya watu.
Ni Kama kila barabara huku ina lami. Kila nyumba huku ni ya kisasa. Umeme na maji mpaka vijijini.

Ujenzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa kimataifa uko hatua za mwisho. Mashirika makubwa ya kimataifa yana makao makuu huku mf UNICEF, WHO, ICAP, nk.

Huu mkoa ni chanzo ya karibia msosi wote wa Tanzania.

Ni wakati Sasa wa kuweka siasa pembeni na kuupa huu mkoa hadhi ya jiji.

Natanguliza shukrani.
Ukiona unaanza kuota ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi
 
Back
Top Bottom