Kama kichwaa Cha habari kinavo jieleza hapo juu Mimi napenda sana mawala ya ulinzi lakini nilivo jiunga kwa mujibu wa sheria mwaka2019 sikubahatika kupata nafasi ya kuendelea na mswala ya kijeshi na baadae kujiunga chuo kikuu Fulani hapa bongo lakini Bado napenda sana maswala ya ulinzi mwenye connection zake anipatie.
Niko TAYARI kuairisha masomo na kujiunga nayo ata ikiwa kwa kujitolea maaana nilikua na tazamia kusoma sayansi ya kijeshi Lin sikupata nafasi.
Mwenye connection plz
Niko TAYARI kuairisha masomo na kujiunga nayo ata ikiwa kwa kujitolea maaana nilikua na tazamia kusoma sayansi ya kijeshi Lin sikupata nafasi.
Mwenye connection plz