Bs in military intelligence, kusoma lazima kwanza uwe mwanajeshi, na processs za kuwa mwana jeshi lazima upitie jkt. Wenzako siunano wametumikwishwa kama punda miaka yote kwa ahadi ya ajira, mwisho wamebambikiwa uhainiDaaaah..... miaka mitatu Alf utoke utupu si sawa na bure ndugu yangu japo kwel napenda sana maswala ya ulinzi
Achana na ujinga wa kujitolea jkt, kaa usome acha uvivu wa kutesa ubongoKama kichwaa Cha habari kinavo jieleza hapo juu Mimi napenda sana mawala ya ulinzi lakini nilivo jiunga kwa mujibu wa sheria mwaka2019 sikubahatika kupata nafasi ya kuendelea na mswala ya kijeshi na baadae kujiunga chuo kikuu Fulani hapa bongo lakini Bado napenda sana maswala ya ulinzi mwenye connection zake anipatie.
Niko TAYARI kuairisha masomo na kujiunga nayo ata ikiwa kwa kujitolea maaana nilikua na tazamia kusoma sayansi ya kijeshi Lin sikupata nafasi.
Mwenye connection plz
Acha uboya wewe wenzio wanatafuta elimu wewe unataka kuwa mlinzi, soma maliza tafuta michongo ya maana hata Harmonize ana walinzi , acha mawazo mgando soma maliza tafuta michongo aliyekwambia huko kwenye majeshi ndio wanataka watu waliodrop shuleni ni nani? Ajira japo zimekua ngumu ukiwa na vyeti vyako vinakusaidia hata connection mbalimbali, ushauri wangu achana na mawazo ya maulinzi hawana hata maisha mazuri hao Nakubal kaka
Siogopi kusoma kaka Ila naona Kama vile future iko uko
Iyo Bs.in military science kinatolewa chuo Cha kijeshi tuBs in military intelligence, kusoma lazima kwanza uwe mwanajeshi, na processs za kuwa mwana jeshi lazima upitie jkt. Wenzako siunano wametumikwishwa kama punda miaka yote kwa ahadi ya ajira, mwisho wamebambikiwa uhaini
Umekaririshwa kuwa maisha mazuri lazima uwe polisi au JWTZ wakati wenzio tunaona hawana kipya zaidi ya utumwa wa amri.Siogopi kusoma kaka Ila naona Kama vile future iko uko
Daaaah........Aya bwana kwhyo hakuna njia nyngne ya mtu kutoka chuo na kwenda kujiunga na jwtz au migration
Acha uboya wewe wenzio wanatafuta elimu wewe unataka kuwa mlinzi, soma maliza tafuta michongo ya maana hata Harmonize ana walinzi , acha mawazo mgando soma maliza tafuta michongo aliyekwambia huko kwenye majeshi ndio wanataka watu waliodrop shuleni ni nani? Ajira japo zimekua ngumu ukiwa na vyeti vyako vinakusaidia hata connection mbalimbali, ushauri wangu achana na mawazo ya maulinzi hawana hata maisha mazuri hao watu