NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

hakuna ukweli katika hili 100% hizi ni story za mitaan
 
albert ni zionist moja ya mafounder wa israel na marekani aliishi kama asylum kwa kuwa alikuwa ni most wanted person na wagerman(nazism) baada ya vita kuu ya pili ya dunia so sidhani kama mtu wa sifa hiyo angepewa nafasi ya kuwa raisi wa marekani
 
Naomba niongezee kidogo huyu jamaa Nikola Tesla hakumaliza degree yake ya kwanza ya electrical engineering ila mwaka wa kwanza na wa pili alipiga GPA za hatari , alikuwa mtu wa misuli mirefu anasoma kuanzia saa tisa usiku hadi saa tano usiku mfululizo bila kupumzika lakn alipofika mwaka wa tatu akaanza kubet yaan Gambling matokeo yake akafeli mitihani ya mwaka wa tatu akatimkia kisiwani flan ivi nimekisahau jina hakurud nyumban aliogopa kuchekwa .Baba yake alimtafuta sana mpaka ikafikia hatua akaamini kuwa mwanae alikufa kwa sababu ya kupiga misuli mirefu akamtafuta akampata lakn Tesla aligoma kurud nyumbani dingi alitumia nguvu nyingi sana kumshawish mpaka akakubali aliporud nyumban akaanza kufundisha tuition kitaa cha kwao alikuwa maarufu kichz baadae akapata zali la kupata kazi kwenye branch ya edison yule mgunduz wa umeme wa DC hapo ndo Tesla akapata mwanya wa kutokea alikuwa akifanya kazi kupitiliza hadi akahamishiwa makao makuu ya kampun ya edison then alipofika makao makuu alipiga kazi nying sana edison alimkubali ila alikuwa anadhulum mishahara yake ndo maana Tesla akasepa akagundua umeme wake akauita AC ndo lile battle la AC vs DC likawa kubwa sana ila Edison sio mtu mzuri coz alikuwa akiwaaminisha watu kuwa AC sio umeme mzuri , Tesla alipogundua umeme wa nguvu za maji ndo akaua kabisa ,,, jamaa alikuwa vizuri kichz alipanga kugundua umeme wa wireless sema tu Mungu akamchukua
 
Hicho chuo sijui kilijisikiaje baada ya kumfukuza jamaa akaenda fanya maajabu na wao kukosa credits
 
NIna ''A'' za Engineering Science na Mathematics. Lakini mpaka leo sijui nizielekeze wapi. Elimu yetu ni shida tupu.
 
Hiyi inaitwa ...struggle for ''A'' ili uwe mtumishi wa ''C''.
 
Hiyo ingekuwa moja ya project muhim sana. Ku stimulate bongo za wanafunzi. Ingekuwa inasaidia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…