NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

Nah!!! einstein yy alipaishwa 2 2 na wamarekani ila kuna great scintists and genius kama
-LEORNADO DA VINCI
-NIKOLA TESLA
-ISAAC NEWTON
-MARRY CURRIE
-HENRY BACQUIRE
-RONTGEN
KISHA NAMUWEKA Eisnstein hapa
KWA KUWA HATA GENERAL RELATIVITY YAKE ALIIKOSEA SANA HADI TESLA ALIPOKUJA KUMREKEBISHA LAKINI BADO HAWAKUMKUBALI .R.I.P tesla
Yaah tesla aliiweka Sawa. Huyu Tesla mchawi
 
utakuja kujua too laite...endeleeni kuumiza vichwa....usitegemeee kuzaa mtoto kama yule karne hii...unless otherwise you are not belonhing to among 13 high families brotherhood....huko ndo wanazaliwa hao watoto coz tayr hizo familia zimetokana na hiyo hybrid ya hao Viumbe ila wengine endeleeni kuzaaa kizazi kilichonikita na uzinzi uliotukuka[emoji3] [emoji3] yan kizazi hiki tabu sana....
Nakubaliana na wewe kaka. Tesla hakuwa binadamu wa kawaida kabisa. Licha ya yeye mwenyew kujisema. Mambo karibu yote yanayotumika aliyaacha yeye
 
hivi kuna chanzo chochote kinaweka wazi kuwa mentor wa einstein alikua tesla

Mimi simjui vzuri tesla lakini einstein namjuajua na nimemsoma pia,huyu jamaa alikua noma..kuna wakati ashapewa fursa ya kua rais wa taifa la marekani kipindi hicho lakini akakataa...ni mtu ambaye theory zake mpaka leo wanasayansi bado zinawatatiza

haijalishi nani alikua mentor wa nani
taifa la israel!!
 
Tesla alikuwa kikwazo kwa wafanya biashara wakubwa na wanasayansi wenzake,hivyo walifanya kila mbinu kumtuliza.Hayo mabaya karibu yote yaliyomtokea yalipangwa na wafanyabiashara akiwemo JP.Morgan.

-Tesla alipingana na mwalimu wake kuhusu sayansi ya AC motor,Tesla alikuwa sahihi.
-Tesla alipingana na Edison kuhusu sayansi na faida za AC current,Tesla alishinda.
-Mantiki za Tesla zilipingana na hoja za Albert Eistein kuhusu relativity theory,Tesla alikuwa sahihi.

Tesla alijenga mnara mkubwa sana kwa lengo la kulisha umeme dunia nzima bure,watu wangepata umeme huo kwa njia ya kuukinga na antenna kwenye nyumba zao.JP.Morgan alipomuuliza "unajenga mnara huo kwa lengo gani?",Tesla akasema "nataka kulisha umeme dunia nzima bure bila kutumia wire".JP.Morgan aliposikia hivyo akasimamisha ufadhili wake kwa Tesla na kuachana naye,Tesla akashindwa kuendelea na project hiyo kwa kukosa mfadhili.

Tesla alikuwa mwanasayansi mwenye ethics halisi za sayansi halisi,alikuwa na lengo hasa la kuona watu wanafaidika na kichwa chake.Lakini lengo lake lilitofautiana na mabeberu wa kipindi kile ambao ndio offsprings zao zinashikilia serikali ya Marekani kwa sasa.Na ndio maana project yoyote yenye lengo la kusaidia watu walio wengi bure au kwa gharama nafuu kwa sasa haiwezi kufadhiliwa au kuachwa iendelee.Ukitaka kuamini hili anza kufuatilia taratibu masuala makubwa kwenye AFYA,KILIMO na ELIMU,utaona kuna watu kazi yao ni kuzuia maendeleo katika nyanja hizo.

Kwangu mimi Tesla ndio mwanasayansi bora wa karne yake.Sasa hivi kuna mwanasayansi mmoja muhimu sana na amefanya mambo mazito sana kwenye dunia hii lakini wengi hawamfahamu,huyu jamaa project yake ikikamilika dunia itaandika historia nyingine kabisa na kuweka mambo ya sasa kwenye makabrasha yatakayowekwa kwenye makumbusho kwa ajili ya kufundishia watoto wetu.Huyu anaitwa Jacque Fresco,project yake inaitwa The Venus.

Fuatilia 'The Venus Project' kwenye mitandao/youtube ili ujionee huyu ni mtu wa aina gani.Hapa ndio utaona kwamba sisi tumewekewa vifungo vya akili na mambo fulani katika dunia hii,espe



jamaa amesha fariki mwaka huu R.I.P Jacque Fresco
 
Baada ya kusoma huu uzi, nimekaa na kujiuliza "hivi mimi nimekuja kuongeza idadi ya watu hapa duniani kumbe"!!?
Ni vema na inapendeza kujitathmini, ila haifai kujizarau kwa kuwa kila kiumbe kimeletwa ama kimekuja kwa sababu yake kwa iyo kina maana kuwepo ulimwenguni, kwani katika stori yote hii inayomuhusu huyu nguli ulishasikia kuwa ana mtoto au anasifika kwa ucha mungu. Kwa iyo kila kiumbe kina umuhimu wake kuwepo duniani
 
Kweli mkuu hati miliki ilimcost huyu jamaa, Tunajifunza hapa kama umefanya hadimu jitahidi kuweka hati miliki. Mfano Leo Jamaa wa LG wanaproject ya kudesign a smartphone from camera yenye uwezo wa kupiga selfie eneo kubwa au watu wengi bila ya selfie stick, kwa mfumo huuhuu wa hati miliki nadhani watapata wateja wa technology hiyo karibu makampuni yote ya simu kwa mabilioni ya pesa.
mkuu katika ubora wako,
 
mzee wa the venus project amefariki mwaka huu R.I.P Jacque Fresco
 
nikola-tesla-0101.jpg
nikola-tesla-0101.jpg
gyromagnetic ratio nk


Huyu jamaa ndio alisababusha Thomas Edison awekwe pembeni na DC technology yake. Ila JP Morgan akawazidi maarifa wote maana ndio alimiliki hati miliki za gunduzi zote..akaitengeneza General Electric
 
Duuh, hawa wahenga walikuwa kivitendo zaidi, big up sana. Huyu jamaa niliwahi kumsikia kwa mara ya kwanza kupitia rafiki yangu, mwaka 2007 tukiwa CHUO kikuu Dar.

Rafik yangu Aliniambia kuwa Tesla ni SI unit ktk somo la fizikia, na kuwa ni moja ya wanasayansi vichwa sana kuwahi kutokea.

Sikuwahi kupata historia zaidi kuhusu huyu jamaaa, imekaa powa yani. Ahsante Sana Mkuu
 
Daah..Kusoma kwamba Einstein anamchukulia Tesla km role modeL,nikaona hyu Jamaa si wa KAWAIDA KABISA,sema Dunia haiko fair kabisah,Ktk Issues za current bwn edison thomas nDio kapewa priority sn kuliko ht Hyu Jembe,masuala ya Nationalism hayo si ajabu ht maabara yke ni mipango ilisukwa watu wakai"Restisha in peace.,Hii ndio s'bu kuna upotoshaji mwingi sanaa ktk historia ya mwafrika kwakua mzungu nDio katawala ktk Elimu,we Historia ya mtu mweusi inaandikwa na mtu mweupe??..All in all he didnt Die,He passeD away n kaacha vitu vitakavyo tumika vizazi na Vizazi,ila kulala saa 4 kwa siku!??The man was a REAL DEAL,REAL DEAL.
 
Hivi kwanini watu wa aina hii wengi huwa masikini, yani pamoja na IQ zao kuwa kubwa zikiambatana na ubunifu lakini utakuta history nyingi sana zinaonyesha maisha yao huwa yakawaida sana.
 
taifa la israel!!
Watu wengi tunaongelea Israel na nguvu zake bila kutaka kutambua ukweli kwamba, wamepewa talanta ambazo hawajafukia chini. Babu Abrahamu alipewa ahadi baada ya kuthubutu kumtoa Isaka kama sadaka....Jacob aliwazaa watoto akiwemo Yusuph...baada ya njaa kali walienda Misri ambako walifundishwa kwa bakora na maguvu kufanya kazi na kujifunza ustaarabu....hata hawa waisraeli wa leo, ni mateso na kunyanyaswa ndio kumewapa ukumbusho kwamba nchi ya maziwa na asali maana yake kujituma kwa hali na mali kuhakikisha mnaweza kujimudu na kusonga mbele.

Sisi wengine tunapenda kusimulia baraka za Israel bila kujiuliza kama na sisi hatujabarikiwa. Tunafikiri ni kitu automatic
 
Ni vema na inapendeza kujitathmini, ila haifai kujizarau kwa kuwa kila kiumbe kimeletwa ama kimekuja kwa sababu yake kwa iyo kina maana kuwepo ulimwenguni, kwani katika stori yote hii inayomuhusu huyu nguli ulishasikia kuwa ana mtoto au anasifika kwa ucha mungu. Kwa iyo kila kiumbe kina umuhimu wake kuwepo duniani
Watu wote muhimu,lakini kuna watu wamekuwa muhimu zaidi kwa sababu uwepo wao hapa duniani umeleta matokeo chanya kwa asilimia mia moja.
 
Shikamoo mkuu napenda sana kufuatilia mambo hayo hafu waonekana unajua mengi and you sound like Jf member called Juve2012..
Mkuu naomba ufunguke yote kuhusu huyu Da Vinci maana simuelewagi kabisa..
daaaaah..umenikumbusha mbali ndgu...
Rontgen alikuwa ****** snaa...huyu naye alikuwa mchawi wa electromagnetic spark...aligindua X-rays ambazo mpka leo ndo zimeleta utaaalam wa utengenezaji wa machine za X-ray , MRI, CT- scan n.k....
huyu naye ni Alliens by nature..

jaman hawa watu walipata bahati ya kuwa incontact direct na extraterrestrial organisms kama Alliens ,humanoid na Reptillian figures ambazo zilikuwa zinahustle kutafuta resources huku dunian kwani ilikuwa ngumu wao kufanya uvamiz kinyemela ndo mana wakaanza kupandikiza DNA zao kupitia hizo contact na free human race na badae ndo wakapatikana hao magenius...

ila kuna kltafiti nyingi zimefanyika kwa siri kuhusisha DNA za hao akina Leonando da vinci,isac newton,na akina Nikola tesla kuwa wazazi wao hasa baba zao walikuwa na different DNA sequence arangement tofaut na hao watoto wao...ila sequence DNA ilifanana na mama zao kwa hiyo moja kwa moja unagundua kuwa mama zao walikuwa wanakutana kimwili na hao Aliiens (angels) bila kujijua au kwa kujua kabsa lakini waliogopa kuuambia uma juu ya matukio hayo kwani pengine wangeweza kueleza jamiii juu ya matukio hayo pengine wangetengwa kuhofia kuja kuzaaa watoto najisi au kuzaaa mashetani kwa hiyo walikaaa na hizo siri zao mpka kufa kama hata mama zet wanaozaaa watoto nje ya ndo yan huwez ukajua mpka pale mama atakapokueleza kuwa ukweli ni kwamba huyu sio baba yako ,baba yako alikufa kitambo au yupo sehemu lakini mimba niliipata nikiwa tayar kwebnye ndoa ..kuogopa kuachana na baba yako kutokana na sababu flani ndo unakuta mama anamua kumute kimya na kumtegeshea baba mwingine kuwa mlezi...nimefuatilia most of genius baba zao waliwakataaaa na kuwagundua mapema kuwa sio watoto wao ..kwa mfano fuatilia conspiracy nyingi za Nikola tesla utagundua mengi yeye mwenyew anakwambia there are pipo of another planet who are more intelligent than us...
yan dogo alikuwa nasema ukweli he was not of this world...he came by chance
..hivi una akili gani mpka uone electromagnetic waves..

unajua qatu wengi hawawezi elewa mambo aliyokuwa anayafanya huyu mdudu....alikuwa mtu wa kwanza kuinvet hydroelectric power kwa kutumia Turbine alizozitengeneza yeye mwenyewe ..

ukipata muda tembelea mapolomoko ya KIHANSI WATER FALL ( KIHANSI HYDROELECTRIC POWER YAPO IFAKARA MOROGORO) Uone jinsi umeme unazalishwa underground mita 1800 toka usawa wa bahari chini ya mlimi umbali wa tunnel yenye km 2 ndo wameweka mitambo hiyo inayozungushwa kwa velociyy ya maji daaaaaah....it is amazing brothers..nimefika kule chini yan nikashangaaaa snaa jinsi mitambo ilivyo..yan maji to electricity sio technologia ndgo kama unavoimagine kwenye kichwa chako kuna some electrical convertion DC to AC daaaah..jamaaaa niliamini kweli alikuwa na bongo la dunia nyingine...
so nawaomba sana msikae mnapoteza muda kujiuliza huyu mtu au hawa watu veepeeee...mbona leo hii hawapo..unambiwa walitebgenezwa kwa muda kuclear way ili kuunda uhusiano mzuri kati ya Alliens himanoid na binadamu real ili badae humanoid hao wasipate shida snaa kuja kupakua na kupeleka madini adimu kama Almas ,dhahabu,copper na mengine muhimu ambayo kimsingi ndo core of electrical conductivity...inavyosemekana lakininkuwa et kiu kubwa ya Alliens ilikuwa ni kutaka kuchukua mitambo yao ambayo waliiacha katikati ya dunia yani wameeizika chini(underground) kwani inaaemekana kuwa hapo zamani walikuwa wanakaaa hapa hapa duniani but ilidokea vita kubwa sna aikasababisha mlipuko mkubwa wa kemikali iliyokuwa inawabadilisha ngozi na kuwa majitu mengine ndo wakaaamua kujizika underground na ndo mana mitambo yao mingi ipo underground ...ndo mana unambiwa hata maabara kubwa za dunia zipo underground ,tazama Area 51 ,arizona,Rosswel n.k kwa hiyo kuna link ya hiyo kitu na kuna baadhi ya tafiti zimefanyika zikagundua kuwa et hao alliens hawako mbali na dunia hii bali wapo chini ardhini ila hawawez kuja juu kwani hali ya atmoaphere yet bado ina gaa impurity nyingine ambazao baso zinafanya reaction na body morphology yao..kwa hiyo kizazi kilichofuata bada ya kuaundergo evolution kilikiz hali ta hewa ya hapa diniani ambacho kizazi hiki ndo cha human race (sisi) kwa hiyo hawa jamaa bado wanacraim kwamba hii dunia ni yao nso mana wanafanya kila njia kuhakikisha tena inabaki mikononi mwao kwani bado mitambo yao iko chini ...

ni ubuyu lakini....
 
Back
Top Bottom