NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

Nah!!! einstein yy alipaishwa 2 2 na wamarekani ila kuna great scintists and genius kama
-LEORNADO DA VINCI
-NIKOLA TESLA
-ISAAC NEWTON
-MARRY CURRIE
-HENRY BACQUIRE
-RONTGEN
KISHA NAMUWEKA Eisnstein hapa
KWA KUWA HATA GENERAL RELATIVITY YAKE ALIIKOSEA SANA HADI TESLA ALIPOKUJA KUMREKEBISHA LAKINI BADO HAWAKUMKUBALI .R.I.P tesla
daaaaah..umenikumbusha mbali ndgu...
Rontgen alikuwa msenge snaa...huyu naye alikuwa mchawi wa electromagnetic spark...aligindua X-rays ambazo mpka leo ndo zimeleta utaaalam wa utengenezaji wa machine za X-ray , MRI, CT- scan n.k....
huyu naye ni Alliens by nature..

jaman hawa watu walipata bahati ya kuwa incontact direct na extraterrestrial organisms kama Alliens ,humanoid na Reptillian figures ambazo zilikuwa zinahustle kutafuta resources huku dunian kwani ilikuwa ngumu wao kufanya uvamiz kinyemela ndo mana wakaanza kupandikiza DNA zao kupitia hizo contact na free human race na badae ndo wakapatikana hao magenius...

ila kuna kltafiti nyingi zimefanyika kwa siri kuhusisha DNA za hao akina Leonando da vinci,isac newton,na akina Nikola tesla kuwa wazazi wao hasa baba zao walikuwa na different DNA sequence arangement tofaut na hao watoto wao...ila sequence DNA ilifanana na mama zao kwa hiyo moja kwa moja unagundua kuwa mama zao walikuwa wanakutana kimwili na hao Aliiens (angels) bila kujijua au kwa kujua kabsa lakini waliogopa kuuambia uma juu ya matukio hayo kwani pengine wangeweza kueleza jamiii juu ya matukio hayo pengine wangetengwa kuhofia kuja kuzaaa watoto najisi au kuzaaa mashetani kwa hiyo walikaaa na hizo siri zao mpka kufa kama hata mama zet wanaozaaa watoto nje ya ndo yan huwez ukajua mpka pale mama atakapokueleza kuwa ukweli ni kwamba huyu sio baba yako ,baba yako alikufa kitambo au yupo sehemu lakini mimba niliipata nikiwa tayar kwebnye ndoa ..kuogopa kuachana na baba yako kutokana na sababu flani ndo unakuta mama anamua kumute kimya na kumtegeshea baba mwingine kuwa mlezi...nimefuatilia most of genius baba zao waliwakataaaa na kuwagundua mapema kuwa sio watoto wao ..kwa mfano fuatilia conspiracy nyingi za Nikola tesla utagundua mengi yeye mwenyew anakwambia there are pipo of another planet who are more intelligent than us...
yan dogo alikuwa nasema ukweli he was not of this world...he came by chance
..hivi una akili gani mpka uone electromagnetic waves..

unajua qatu wengi hawawezi elewa mambo aliyokuwa anayafanya huyu mdudu....alikuwa mtu wa kwanza kuinvet hydroelectric power kwa kutumia Turbine alizozitengeneza yeye mwenyewe ..

ukipata muda tembelea mapolomoko ya KIHANSI WATER FALL ( KIHANSI HYDROELECTRIC POWER YAPO IFAKARA MOROGORO) Uone jinsi umeme unazalishwa underground mita 1800 toka usawa wa bahari chini ya mlimi umbali wa tunnel yenye km 2 ndo wameweka mitambo hiyo inayozungushwa kwa velociyy ya maji daaaaaah....it is amazing brothers..nimefika kule chini yan nikashangaaaa snaa jinsi mitambo ilivyo..yan maji to electricity sio technologia ndgo kama unavoimagine kwenye kichwa chako kuna some electrical convertion DC to AC daaaah..jamaaaa niliamini kweli alikuwa na bongo la dunia nyingine...
so nawaomba sana msikae mnapoteza muda kujiuliza huyu mtu au hawa watu veepeeee...mbona leo hii hawapo..unambiwa walitebgenezwa kwa muda kuclear way ili kuunda uhusiano mzuri kati ya Alliens himanoid na binadamu real ili badae humanoid hao wasipate shida snaa kuja kupakua na kupeleka madini adimu kama Almas ,dhahabu,copper na mengine muhimu ambayo kimsingi ndo core of electrical conductivity...inavyosemekana lakininkuwa et kiu kubwa ya Alliens ilikuwa ni kutaka kuchukua mitambo yao ambayo waliiacha katikati ya dunia yani wameeizika chini(underground) kwani inaaemekana kuwa hapo zamani walikuwa wanakaaa hapa hapa duniani but ilidokea vita kubwa sna aikasababisha mlipuko mkubwa wa kemikali iliyokuwa inawabadilisha ngozi na kuwa majitu mengine ndo wakaaamua kujizika underground na ndo mana mitambo yao mingi ipo underground ...ndo mana unambiwa hata maabara kubwa za dunia zipo underground ,tazama Area 51 ,arizona,Rosswel n.k kwa hiyo kuna link ya hiyo kitu na kuna baadhi ya tafiti zimefanyika zikagundua kuwa et hao alliens hawako mbali na dunia hii bali wapo chini ardhini ila hawawez kuja juu kwani hali ya atmoaphere yet bado ina gaa impurity nyingine ambazao baso zinafanya reaction na body morphology yao..kwa hiyo kizazi kilichofuata bada ya kuaundergo evolution kilikiz hali ta hewa ya hapa diniani ambacho kizazi hiki ndo cha human race (sisi) kwa hiyo hawa jamaa bado wanacraim kwamba hii dunia ni yao nso mana wanafanya kila njia kuhakikisha tena inabaki mikononi mwao kwani bado mitambo yao iko chini ...

ni ubuyu lakini....
 
daaaaah..umenikumbusha mbali ndgu...
Rontgen alikuwa ****** snaa...huyu naye alikuwa mchawi wa electromagnetic spark...aligindua X-rays ambazo mpka leo ndo zimeleta utaaalam wa utengenezaji wa machine za X-ray , MRI, CT- scan n.k....
huyu naye ni Alliens by nature..

jaman hawa watu walipata bahati ya kuwa incontact direct na extraterrestrial organisms kama Alliens ,humanoid na Reptillian figures ambazo zilikuwa zinahustle kutafuta resources huku dunian kwani ilikuwa ngumu wao kufanya uvamiz kinyemela ndo mana wakaanza kupandikiza DNA zao kupitia hizo contact na free human race na badae ndo wakapatikana hao magenius...

ila kuna kltafiti nyingi zimefanyika kwa siri kuhusisha DNA za hao akina Leonando da vinci,isac newton,na akina Nikola tesla kuwa wazazi wao hasa baba zao walikuwa na different DNA sequence arangement tofaut na hao watoto wao...ila sequence DNA ilifanana na mama zao kwa hiyo moja kwa moja unagundua kuwa mama zao walikuwa wanakutana kimwili na hao Aliiens (angels) bila kujijua au kwa kujua kabsa lakini waliogopa kuuambia uma juu ya matukio hayo kwani pengine wangeweza kueleza jamiii juu ya matukio hayo pengine wangetengwa kuhofia kuja kuzaaa watoto najisi au kuzaaa mashetani kwa hiyo walikaaa na hizo siri zao mpka kufa kama hata mama zet wanaozaaa watoto nje ya ndo yan huwez ukajua mpka pale mama atakapokueleza kuwa ukweli ni kwamba huyu sio baba yako ,baba yako alikufa kitambo au yupo sehemu lakini mimba niliipata nikiwa tayar kwebnye ndoa ..kuogopa kuachana na baba yako kutokana na sababu flani ndo unakuta mama anamua kumute kimya na kumtegeshea baba mwingine kuwa mlezi...nimefuatilia most of genius baba zao waliwakataaaa na kuwagundua mapema kuwa sio watoto wao ..kwa mfano fuatilia conspiracy nyingi za Nikola tesla utagundua mengi yeye mwenyew anakwambia there are pipo of another planet who are more intelligent than us...
yan dogo alikuwa nasema ukweli he was not of this world...he came by chance
..hivi una akili gani mpka uone electromagnetic waves..

unajua qatu wengi hawawezi elewa mambo aliyokuwa anayafanya huyu mdudu....alikuwa mtu wa kwanza kuinvet hydroelectric power kwa kutumia Turbine alizozitengeneza yeye mwenyewe ..

ukipata muda tembelea mapolomoko ya KIHANSI WATER FALL ( KIHANSI HYDROELECTRIC POWER YAPO IFAKARA MOROGORO) Uone jinsi umeme unazalishwa underground mita 1800 toka usawa wa bahari chini ya mlimi umbali wa tunnel yenye km 2 ndo wameweka mitambo hiyo inayozungushwa kwa velociyy ya maji daaaaaah....it is amazing brothers..nimefika kule chini yan nikashangaaaa snaa jinsi mitambo ilivyo..yan maji to electricity sio technologia ndgo kama unavoimagine kwenye kichwa chako kuna some electrical convertion DC to AC daaaah..jamaaaa niliamini kweli alikuwa na bongo la dunia nyingine...
so nawaomba sana msikae mnapoteza muda kujiuliza huyu mtu au hawa watu veepeeee...mbona leo hii hawapo..unambiwa walitebgenezwa kwa muda kuclear way ili kuunda uhusiano mzuri kati ya Alliens himanoid na binadamu real ili badae humanoid hao wasipate shida snaa kuja kupakua na kupeleka madini adimu kama Almas ,dhahabu,copper na mengine muhimu ambayo kimsingi ndo core of electrical conductivity...inavyosemekana lakininkuwa et kiu kubwa ya Alliens ilikuwa ni kutaka kuchukua mitambo yao ambayo waliiacha katikati ya dunia yani wameeizika chini(underground) kwani inaaemekana kuwa hapo zamani walikuwa wanakaaa hapa hapa duniani but ilidokea vita kubwa sna aikasababisha mlipuko mkubwa wa kemikali iliyokuwa inawabadilisha ngozi na kuwa majitu mengine ndo wakaaamua kujizika underground na ndo mana mitambo yao mingi ipo underground ...ndo mana unambiwa hata maabara kubwa za dunia zipo underground ,tazama Area 51 ,arizona,Rosswel n.k kwa hiyo kuna link ya hiyo kitu na kuna baadhi ya tafiti zimefanyika zikagundua kuwa et hao alliens hawako mbali na dunia hii bali wapo chini ardhini ila hawawez kuja juu kwani hali ya atmoaphere yet bado ina gaa impurity nyingine ambazao baso zinafanya reaction na body morphology yao..kwa hiyo kizazi kilichofuata bada ya kuaundergo evolution kilikiz hali ta hewa ya hapa diniani ambacho kizazi hiki ndo cha human race (sisi) kwa hiyo hawa jamaa bado wanacraim kwamba hii dunia ni yao nso mana wanafanya kila njia kuhakikisha tena inabaki mikononi mwao kwani bado mitambo yao iko chini ...

ni ubuyu lakini....
Mi siamini hii mambo labda kama na wewe ni mmoja wa hao aliens
 
Mi siamini hii mambo labda kama na wewe ni mmoja wa hao aliens
utakuja kujua too laite...endeleeni kuumiza vichwa....usitegemeee kuzaa mtoto kama yule karne hii...unless otherwise you are not belonhing to among 13 high families brotherhood....huko ndo wanazaliwa hao watoto coz tayr hizo familia zimetokana na hiyo hybrid ya hao Viumbe ila wengine endeleeni kuzaaa kizazi kilichonikita na uzinzi uliotukuka[emoji3] [emoji3] yan kizazi hiki tabu sana....
 
utakuja kujua too laite...endeleeni kuumiza vichwa....usitegemeee kuzaa mtoto kama yule karne hii...unless otherwise you are not belonhing to among 13 high families brotherhood....huko ndo wanazaliwa hao watoto coz tayr hizo familia zimetokana na hiyo hybrid ya hao Viumbe ila wengine endeleeni kuzaaa kizazi kilichonikita na uzinzi uliotukuka[emoji3] [emoji3] yan kizazi hiki tabu sana....
Kwali mkuu mm nazijua kama mbili 2 ila nitajaribu kuzifuatilia kama rockerfellers,rothschilds na royal family ya british ....nyengine nitazisoma
 
Mi siamini hii mambo labda kama na wewe ni mmoja wa hao aliens
Unajua ni kuwa mpaka kuja kuelewa kwamba kuna viumbe vinaishi ambavyo si vya dunia h utakuwa umekaa sna na vile hauamini ni hivi inavyosemekana marekani imeingia ubia (trity) na type flani ya alien race wanajiita the great elders wameunga ki2 inaitwa the league of five ambapo hao alien wamesema wanataka kuiprotect dunia from invader aliens kama reptilians na alpha draconians ambao kwao ni villains ni hivyo 2 kwa uchache
 
Wote hawa wanasubiri kwa Tesla....the guy has done so many things...
Tesla yuko vizuri ila ungemfuatilia mw aliye invent flying machine in 17th century mchoro wa kifaru(tank) ,machine za kuhemea ndani ya maji ,autoloaded war bombs,first drawing of an embryo,first blood transfussion(he was group o indeed), the man who study a language in 2 days, a drawing that have many secrets that are not yet revealed by our normal technology(mona lisa) ,he was the one with all talents in the world LEORNADO DA VINCI
 
daaaaah..umenikumbusha mbali ndgu...
Rontgen alikuwa ****** snaa...huyu naye alikuwa mchawi wa electromagnetic spark...aligindua X-rays ambazo mpka leo ndo zimeleta utaaalam wa utengenezaji wa machine za X-ray , MRI, CT- scan n.k....
huyu naye ni Alliens by nature..

jaman hawa watu walipata bahati ya kuwa incontact direct na extraterrestrial organisms kama Alliens ,humanoid na Reptillian figures ambazo zilikuwa zinahustle kutafuta resources huku dunian kwani ilikuwa ngumu wao kufanya uvamiz kinyemela ndo mana wakaanza kupandikiza DNA zao kupitia hizo contact na free human race na badae ndo wakapatikana hao magenius...

ila kuna kltafiti nyingi zimefanyika kwa siri kuhusisha DNA za hao akina Leonando da vinci,isac newton,na akina Nikola tesla kuwa wazazi wao hasa baba zao walikuwa na different DNA sequence arangement tofaut na hao watoto wao...ila sequence DNA ilifanana na mama zao kwa hiyo moja kwa moja unagundua kuwa mama zao walikuwa wanakutana kimwili na hao Aliiens (angels) bila kujijua au kwa kujua kabsa lakini waliogopa kuuambia uma juu ya matukio hayo kwani pengine wangeweza kueleza jamiii juu ya matukio hayo pengine wangetengwa kuhofia kuja kuzaaa watoto najisi au kuzaaa mashetani kwa hiyo walikaaa na hizo siri zao mpka kufa kama hata mama zet wanaozaaa watoto nje ya ndo yan huwez ukajua mpka pale mama atakapokueleza kuwa ukweli ni kwamba huyu sio baba yako ,baba yako alikufa kitambo au yupo sehemu lakini mimba niliipata nikiwa tayar kwebnye ndoa ..kuogopa kuachana na baba yako kutokana na sababu flani ndo unakuta mama anamua kumute kimya na kumtegeshea baba mwingine kuwa mlezi...nimefuatilia most of genius baba zao waliwakataaaa na kuwagundua mapema kuwa sio watoto wao ..kwa mfano fuatilia conspiracy nyingi za Nikola tesla utagundua mengi yeye mwenyew anakwambia there are pipo of another planet who are more intelligent than us...
yan dogo alikuwa nasema ukweli he was not of this world...he came by chance
..hivi una akili gani mpka uone electromagnetic waves..

unajua qatu wengi hawawezi elewa mambo aliyokuwa anayafanya huyu mdudu....alikuwa mtu wa kwanza kuinvet hydroelectric power kwa kutumia Turbine alizozitengeneza yeye mwenyewe ..

ukipata muda tembelea mapolomoko ya KIHANSI WATER FALL ( KIHANSI HYDROELECTRIC POWER YAPO IFAKARA MOROGORO) Uone jinsi umeme unazalishwa underground mita 1800 toka usawa wa bahari chini ya mlimi umbali wa tunnel yenye km 2 ndo wameweka mitambo hiyo inayozungushwa kwa velociyy ya maji daaaaaah....it is amazing brothers..nimefika kule chini yan nikashangaaaa snaa jinsi mitambo ilivyo..yan maji to electricity sio technologia ndgo kama unavoimagine kwenye kichwa chako kuna some electrical convertion DC to AC daaaah..jamaaaa niliamini kweli alikuwa na bongo la dunia nyingine...
so nawaomba sana msikae mnapoteza muda kujiuliza huyu mtu au hawa watu veepeeee...mbona leo hii hawapo..unambiwa walitebgenezwa kwa muda kuclear way ili kuunda uhusiano mzuri kati ya Alliens himanoid na binadamu real ili badae humanoid hao wasipate shida snaa kuja kupakua na kupeleka madini adimu kama Almas ,dhahabu,copper na mengine muhimu ambayo kimsingi ndo core of electrical conductivity...inavyosemekana lakininkuwa et kiu kubwa ya Alliens ilikuwa ni kutaka kuchukua mitambo yao ambayo waliiacha katikati ya dunia yani wameeizika chini(underground) kwani inaaemekana kuwa hapo zamani walikuwa wanakaaa hapa hapa duniani but ilidokea vita kubwa sna aikasababisha mlipuko mkubwa wa kemikali iliyokuwa inawabadilisha ngozi na kuwa majitu mengine ndo wakaaamua kujizika underground na ndo mana mitambo yao mingi ipo underground ...ndo mana unambiwa hata maabara kubwa za dunia zipo underground ,tazama Area 51 ,arizona,Rosswel n.k kwa hiyo kuna link ya hiyo kitu na kuna baadhi ya tafiti zimefanyika zikagundua kuwa et hao alliens hawako mbali na dunia hii bali wapo chini ardhini ila hawawez kuja juu kwani hali ya atmoaphere yet bado ina gaa impurity nyingine ambazao baso zinafanya reaction na body morphology yao..kwa hiyo kizazi kilichofuata bada ya kuaundergo evolution kilikiz hali ta hewa ya hapa diniani ambacho kizazi hiki ndo cha human race (sisi) kwa hiyo hawa jamaa bado wanacraim kwamba hii dunia ni yao nso mana wanafanya kila njia kuhakikisha tena inabaki mikononi mwao kwani bado mitambo yao iko chini ...

ni ubuyu lakini....
Kwa kuunganisha kwangu matukio na kuongeza na knowledge uliyoitoa nimepata mwanga kwani kuna mchoro ambao da vinci aliuchora unaitwa (MADONNA OF THE HILLS) nadhani ambapo unamuonyesha virgin marry akiwa na watoto wadogo kama watatu hivi ambapo yuko nao maeneo ya mabondeni na kuna mchungaji anayechunga mbuzi maeneo hayo akiwa anaangalia ki2 juu kwa miaka mingi wa2 waliamini alikuwa akiangalia jua ila imekuja kuonekana kwamba kifaa kile ni flying saurcer shaped plane(UFO) ambapoa kama inavyojulikana ni ALIENS tu ambao wanatumia usafiri wa aina hiyo kumbuka picha hiyo ilichorwa 18th century kipindi ambacho science ni changa na bado haijawa kubwa wa2 walikuwa wana love of art ndo ki2 kilichopewa thamani sana ALAMSIKI
 
samahani wakuu, hivi NIKOLA TESLA unaweza kumuweka kundi moja na mtu kama LEONARD DA VINC..?
Hapana Boss ni watu tofauti Da vinci aliishi miaka ya 1430 huku Tesla akiishi miaka ya 1855 ivi, Da vinci was Polymath, But N Tesla alikuwa specific kwenye Umeme na Electronics, Nikisema Da vinci alikuwa Polymath namaanisha ali involve katika field nyingi nyingi sana The best tarent was Painting He was a good Painter of all time Tafuta book inaitwa Da Vinci Code ameandika Dan brown ndo utaona Da vinci was a gift man. Nae hakuoa pia as Tesla na zipo za Chini chini zinasema Da Vinci alikuwa Gay
 
Mkuu una mess up Kumfananisha Tesla na Eisten unakosea Hao watu ni tofauti kabisa Albert Einstein yeye ni Theoretical Physicist wakati N Tesla ni Experimental physicist, Albert Einstein Hakutengeneza Bomu la nyukilia isipokuwa Equation zake zilisaidia kuformulate, Wote Walikuwa Njema mno, Albert muweke na wakina Hawking,Marie curie
Well said
 
Hapana Boss ni watu tofauti Da vinci aliishi miaka ya 1430 huku Tesla akiishi miaka ya 1855 ivi, Da vinci was Polymath, But N Tesla alikuwa specific kwenye Umeme na Electronics, Nikisema Da vinci alikuwa Polymath namaanisha ali involve katika field nyingi nyingi sana The best tarent was Painting He was a good Painter of all time Tafuta book inaitwa Da Vinci Code ameandika Dan brown ndo utaona Da vinci was a gift man. Nae hakuoa pia as Tesla na zipo za Chini chini zinasema Da Vinci alikuwa Gay
shukrani mkuu, da vinc and tesla nawakubali sana
 
Labda nikurekebishe einstein alitaka kupewa uraisi wa israeli akakataaa na kusema hivi "I HAVE NO HEARD FOR HUMAN PROBLEMS" lakini kwa kusema nani zaidi TESLA NI SHIDA kwa kuwa kwanza einstein consept nyingi r non scientific prooved mfano general relativity pale kwenye time traveling
sio ni non scientific proved ni kwamba itachukua mda kuja kuprove
kama gravitational waves Einstein aliongelea 1916 ikaja kuwa proved baada ya miaka 100
 
Tunaposema JF ni kitovu cha greatthinkers/intelligent guys kimenifanya kutaka kujifunza Thinkers hawa maisha ya kila siku na jinsi walivyovumbua vitu, kufanya mambo makubwa, kutawala kwa njia za kipekee,

Leo Tumjadili huyu japo kwa kupapasa.


NIKOLA TESLA(10 July 1856 &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; 7 January 1943)
tesla-productive-virgin-wide.jpg

Nikola-Tesla.jpg

nikola_tesla_vs_thomas_a_edison_2014-08-17.jpg


Alizaliwa ulaya mashariki kwenye nchi ambayo leo ni Croatia/Serbia. Kipindi ambacho kulikuwa na option mbili tu Kujiunga na Jeshi au dini. Baba yake alikuwa ni Mchungaji wa kanisa na mama yake alikuwa mama wa nyumbani. Alilazimishwa kujiunga na kanisa lakini alikataa hakuwa tayari. Mama yake kakuwahi kwenda shule lakini alikuwa na talent ya kushona na uwezo mkubwa wa kukariri mashahiri vitu vilivyomfanya mtoto Tesla kuvutiwa sana.Vitu hivi vilimfanya kuwa na uwezo wa kufanya hesabu ngumu za CALCULUS (watu wahisabati mnanielewa) kwa kichwa kitu kilichowafanya waalimu wahisi anadanganya au kunasehemu anaangalizia.


MAISHA YA AWALI

Akiwa mtoto mdogo aliposoma kuhusu mapolomoko ya niagara marekani kichwani mwake aliona Gurudumu likizunguka katikati ya maji. Kwa immagination na meditation akajakuwa founder wa umeme wa maji miaka mingi baadae alipofika hilo eneo.

Kuna kipindi akiwa chuo alikuwa akisoma kuanzia saa tisa usiku hadi saa tano usiku mfululizo. Hadi siku moja akiwa nyumbani akakuta barua ya siri ya proffesor akimuandikia baba yake wamrudishe nyumbani maana akiendelea atafariki.


KISA CHA KWENDA MAREKANI
akiwa na upenzi wa sayansi alipata kazi katika viwanda. Baadae alienda ujerumani alipopata kazi kisha akaajiriwa na kampuni ya kimarekani ya umeme DC General Electric ya thomas edison founder wa DC current
Waliokuwa na tawi ufaransa. Kutokana na uwezo mkubwa aliouonyesha akapata transfer kwenda makao makuu ya kampuni hiyo Marekani afanyekazi ya kudesidn na pia atakuwa karibu zaidi na edison.
Akaingia Newyork akiwa bado kijana sana.

KUTOKA KUWA MTAALAMU HADI KUCHIMBA MITARO KAMA KIBARUA


Akifanya kazi bila kuchoka, akifanya design, Siku moja bosi wake Edison alimuambia akidesign system ambayo itasaidia kuboresha ufanisi wa mashine zake atapewa dora 50 ambayo ilikuwa pesa nyingi kwa wakati huo. Alipofanikiwa jamaa akamgeuka akamwambia alikuwa anamtania. Jamaa akaamua kuacha kazi hata baada ya kulazimishwa saana. Alichokutana nacho ni maisha magumu kupita kiasi. Ilifika kipindi akawa anachimba mitaro, ili angalau apate pesa ya chakula. Hadi siku moja alipojiuliza kwa nini anafanya kazi za ajabu huku kichwani anaazina ya kutosha.


MVUMBUZI WA AJABU

alikutana na jamaa ambao aliingia nao makubaliano ya wao watamsupport ktk vitu anavyokuwa akivumbua. Uvumbuzi wa DC motor alioufanya na baadae kuwa mshauri kwa kampuni pinzani ya edison. Alijipatia pesa nyingi maana kwa uvumbuzi wake ulilingizia kampuni hilo mamilion ya pesa. Kitu ambacho kilihatarisha uhai wa kampuni yake aliyoacha kazi ya Mr Edson. Alikuwa halali zaidi ya masaa manne.fedha hizo aliziingiza katika utafiti wake huku akiishi hotelini maisha yake yote hadi mauti inamkuta.


VITA VYA UMEME

Wivu wa uvumbuzi wa umeme mbadala wa edison ulimfanya jamaa kutumia fitna kuwatisha watu kua umeme huo ni hatari saana kwa uhai.
Edison alikusanya watu newyork akafanya maonyesho ya hatari. Kuua tembo, nyani kwa umeme wa AC. Watu walijaa hofu. Tesla yeye aliwaita watu waje washuhudie jinsi alivyoweza kuzungusha yai bila kupasuka juu ya sahani kwa kutumia AC motor. Siku Edison aliponyamazishwa rasmi ni pale alipowanyima akina tesla haki ya kutumia Taa zake Za DC siku maalumu ambapo watu walitoka dunia nzima kuja kushuhudia uvumbuzi mwingine wa tesla. Tesla aliishangaza Newyork nzima, usiku ulipofika akiwasha taa zake mwenyewe kwa umeme wake ambao ulifunika jiji zima. Dc bulbs zikaonekana kama koroboi. Mji ukawa kama mchana.


MAAJABU YA KISAYANSI

Aliweza kutengeneza radi hata ndani ya chumba alichokuwa anafanyia utaafiti.
Alijenga mnara kwa mara ya kwanza alitaka umeme uwe wireless. Dunia nzima iwe na umeme bila hata waya.

Alipotengeneza wireless controlled boat waalikwa wa siku ya maonyesho waliona ni uchawi. Wakasema kuna nyani mdogo kamtrain ndio anaendesha baadae wakafungua hawakukuta kitu.
Akasema awauzie jeshi la marekani hiyo technology wakamdharau lkn leo mabomu,drones navitu krbu vyote wireless huwezi kumsahau Tesla. Mnara wa kwanza wa mawasiliano ulijengwa na huyu jamaa japo kwa lengo la kutransmit power alifanikiwa kupokea signal kwa mara ya kwanza zikitokea ulaya. Huku yey na wenzake walidhani zimetoka mbinguni au sayari tofauti.

ANATUFUNDISHA NINI UNAPOTEGEMEA KITU KIKUBWA GHAFLA MKASA WAAJABU UNAKUPATA (usikate tamaa)

Akiwa katikati ya Uvumbuzi na utafiti wa X-RAY(ambayo baadae wakati akiwa na hili tatizo jamaa mwingine akavumbua) katika maabara yake, Hakuamini macho yake kesho yake asubuhi alipokuta maabara yake imeungua na kila kitu kimekuwa ni majivu tu. tesla alipoteza Mamia ya ,
1. Documents za mipango yake,
2. Design zake zote alizokuwa ameziandaa,
3. Notes , invention models
4. Picha zake alizokuwa amejitunzia pamoja na vitu ambayo alikuwa ameviandaa tayari kwa maonyesho.
alipoteza kiila kitu, vitu vyote vilikuwa na thamani zaidi ya $50,000 miaka hiyo. alipoulizwa na gazeti ya New York times kuhusu janga lililompata, kwa huzuni na uchungu alisema, "I am in too much grief to talk, What can I say?". lakini alijikongoja akaanza upya kwa kuwa supported na sponsors waliomuamini na akafanya mambo makubwa zaidi ikiwepo wireless radio wave driven boat.

KUFA MASIKINI HUKU AKIACHA MAMBO YALIYOWAACHA WENGI MABILIONEA

Pamoja na mambo makubwa aliyofanya nikola tesla alikufa akiwa hana kitu. Alifia hotelini alipokuwa akiishi. Kazi kubwa aliyoifanya iliishia kuwafanya kuwa mabilionnaire. Mfano mwanasayansi wa italia Marconi ilipata tenda na patent kutoa huduma ya fax marekani baada ya kumshinda kesi Tesla. Lakini kiukweli karibu kila alichotumia ni ideas za tesla na mfadhili wake morgan akaamua kumuacha na kumsupport Marconi. Vitu karibu vyote alivyovumbua viliishia mikononi mwa wanasayansi makanjanja na kujitajirisha. Tatizo lake hakujielekeza kwenye haki miliki na pia yawezekana wamarekani hawakutaka kumpa umaarufu japo alichukua uraia. Kama angekuwa umiliki wa uvumbuzi wake leo. Angekuwa tajiri namba moja duniani maana krb kila kitu cha sasa anamkono wake.


AMEKUFA LAKINI KAACHA ALAMA ZA KUDUMU DUNIANI IKIWA NI MATUNDA YA MATUMIZI SAHIHI YA UBONGO WAKE.


miaka ya sitini Tesla ilipitishwa kuwa SI unit ya magnetic flux density kumuenzi. Amekuwa kivutio kwa wanasayansi vijana enzi hizo akiwapo Albert Einstain ambaye anamuona kama role model. Baada ya kufa inasemekana makachelo wa marekani waliofika hotelini hapo waliondoka na mavumbuzi mengi yake ya kijeshi ndio maana wako vizuri kivita baada ya kudevelop.
Mfano wanasayansi leo wanafanya utafiti wa kusambaza umeme dunia nzima kupitia anga linaloitwa Ionosphere. Marekani wanafanya research ya kutumia reflecting satelite kupeleka umeme Japan. Zote hizo ni kazi za tesla zilizomfanya akaitwa Mwanasayansi KICHAA.
Baadhi ya vitu vilichukuliwa na ndugu zake zikapelekwa serbia na yawezekana wanasayansi wa urusi walitumia pia kudevelop vitu na silaa. Mitaa, vyuo, mabarabara, vikundi vya wasomi, taasisi za kisayansi vimeitwa kwa jina lake kumuenzi Great thinker huyu katika mambo ya science na technolojia.


Wapenzi wa historia ya great thinkers, wavumbuzi na watu waliopita karibuni.
ni vigumu kuwa pata kutokana na kuzungukwa na jamii ambayo mwanzo wa jambo wanalo taka kulifanya wao ubomoa.kama wakifikisha wanacho kifanya kwa kwa tabu ndo tuna wakubali.
mfano marehemu stive job
ukifatilia alipata tabu alichekwa lakini alifika kwa kukata tamaa na ilibidi kutumia akili ya ziada
 
serius...nicola alikuwa ni mchawi...hakuna mwanasayansi aliyewahi kulipotiwa kuqa alikuwa ana uwezo wa kuona electromagnetic waves ila NIKOLA TESLA ndo mtu pekeeew aliyekuwa anaziona kwa macho...
unaweza ukafikiri utani but this man was so mother fucker[emoji3] [emoji3]
Ahaaaa aaa
 
Back
Top Bottom