Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
UTT n mfuko wa hisa
✅Unatoa riba ya 12% kwa mwaka
✅kutoa pesa inachukua siku 3
✅Unaweza chukua pesa zako muda wowote
✅Riba yake haibadiliki kama mifuko mingine
✅Haina makato ya kila mwezi kama benk
✅Kutoa hela ni bure kabisa na kuweka ni bure
✅Unaweza kuuza na kununua vipande muda wote
✅Ukiweka hela weekend Jumamosi na jumapili utasubiri mpaka j4 ndo utaiona kwene acc yako ya UTT (48/72hrs)
✅Ukihamisha hela inachukua 24hrs ya siku za kazi kuonekana kwene acc
✅Faida hawaweki kila siku…Ila wataweka tu punguza waswas
🟥HESABU YA MILION 1
Ukiweka milion 1 utapata kwa mwezi
12% kwa mwaka kwa mwezi ni 1%
1,000,000 x 1%= 100,000
Hivo ukiwekeza milion 1 kwa mwezi utajipatia 10000
KWA MWAKA
12% X 1,000,000= 120,000
Kwa mwaka utapata lak na 20
🟥HESABU YA MILION 10
10,000,000* 1%= 100,000 kwa mwezi
10,000,000*12= 1,200,000kwa mwaka
Kwa kifupi ukiweka milion kumi unalipwa laki kila mwezi ni sawa na mshahara wa mtu sehemu fulani
✅Unatoa riba ya 12% kwa mwaka
✅kutoa pesa inachukua siku 3
✅Unaweza chukua pesa zako muda wowote
✅Riba yake haibadiliki kama mifuko mingine
✅Haina makato ya kila mwezi kama benk
✅Kutoa hela ni bure kabisa na kuweka ni bure
✅Unaweza kuuza na kununua vipande muda wote
✅Ukiweka hela weekend Jumamosi na jumapili utasubiri mpaka j4 ndo utaiona kwene acc yako ya UTT (48/72hrs)
✅Ukihamisha hela inachukua 24hrs ya siku za kazi kuonekana kwene acc
✅Faida hawaweki kila siku…Ila wataweka tu punguza waswas
🟥HESABU YA MILION 1
Ukiweka milion 1 utapata kwa mwezi
12% kwa mwaka kwa mwezi ni 1%
1,000,000 x 1%= 100,000
Hivo ukiwekeza milion 1 kwa mwezi utajipatia 10000
KWA MWAKA
12% X 1,000,000= 120,000
Kwa mwaka utapata lak na 20
🟥HESABU YA MILION 10
10,000,000* 1%= 100,000 kwa mwezi
10,000,000*12= 1,200,000kwa mwaka
Kwa kifupi ukiweka milion kumi unalipwa laki kila mwezi ni sawa na mshahara wa mtu sehemu fulani