Nikuletee nini kutoka Tanzania wewe uliepo Kenya?

Nikuletee nini kutoka Tanzania wewe uliepo Kenya?

Sina muda wa kwenda mashineni kugombania Oda ya mchele sababu nakaa mbali na sehemu zinazolima mchele pili sijui naenda kumuuzia Nani.

Uwezi kununua kitu huku haujui na atakuwa mnunuzi wako hapo unaeza fanya kazi ya kanisa au kukata mtaji wa Biashara yako kwasababu ya unnecessary cost Kama kulala Gest muda mrefu wewe mwenye mzigo na timu ya gari zima, waiting charge ya gari la mzigo, na Mambo mengine ambayo hutokea papo kwa hapo pia ujue huko sio kwenu upo ugenini.

Mie hata nikipeleka mzigo Mwanza siwezi kwenda bila kuwa na Oda za kuanzia walau nusu mzigo Kama sio wote.
Kama wewe ni mwanabiashara shupavu basi funga safari uje. Usibebe mzigo au bidhaa yoyote. Kuja tu Kenya siku chache uchunguze kwanza soko liko vipi. Kisha utajua ni bidhaa gani zina uhaba kisha utafanya dili na wanunuzi. Usilete bidhaa bila kuja kwanza kujionea mambo yalivyo. Hapa Nairobi nyanya moja tunanunua shilingi kumi au ishirini kulingana na size ya nyanya. Mwageni nyanya huku ili bei ishuke.
 
Kama wewe ni mwanabiashara shupavu basi funga safari uje. Usibebe mzigo au bidhaa yoyote. Kuja tu Kenya siku chache uchunguze kwanza soko liko vipi. Kisha utajua ni bidhaa gani zina uhaba kisha utafanya dili na wanunuzi. Usilete bidhaa bila kuja kwanza kujionea mambo yalivyo. Hapa Nairobi nyanya moja tunanunua shilingi kumi au ishirini kulingana na size ya nyanya. Mwageni nyanya huku ili bei ishuke.
Nyanya yangu ndo kwanza naandaa shamba but shida iliopo n pale namanga kwa bidhaa za kuharibika naona Mambo bado haijakaa sawa
 
Huu Uzi nimeleta ili kusaidia kuondoka na mentality za Tz vs Ke ili watu wajue kumbe tukiunganisha hizi akili za huku na huko Mambo inaeza ikawa tofauti na wote tukaweka pesa mfukoni zaidi ya kubishana kijinga alafu ukiweka simu mfukoni Mambo bado magumu.

N matarajio yangu watu watafahamiana hapa na kupeana deal mie toka kitambo ninafanya Biashara za mataifa haya mawili ndo Mana nimeandika Uzi wa kiashiria Cha kuomba Oda nasio kujua nn n marketable Kenya au Tanzania.

Wazee let's connect our minds tupige pesa
 
asali jamani asali vp uko kenya nataka nije kufanya survey huko, nipeni leads hapa
 
Hivi yale mashamba ya nyanya kule loitoktok na isnet mmemaliza yote...?, mlinifaa sana watani zangu
 
Mambo!

Nipe kazi nikuletee bidhaa(kitu gani) hapo katika mji wako wa Nairobi hata Mombasa?

Nipe list ya vitu unavyotaka nami nitakupa list ya vitu ninavyotaka nipeleke Tanzania.

Tutumie hili jukwaa kutunufaisha kibiashara Kati ya mataifa yetu mawili haya kwa business opportunities zilizopo Kati yetu Tanzania na Kenya
Wapelekee udugu, usawa na upendo ambavyo vinakosekana Kenya. Usisahau dawa ya kupambana na ukabila pia.
 
Ni poa ungetuambia pia na bei unayo iuza ilimtu ambaye yuko intrested , aone kama anaeza fanya order.
Mimi nauza korosho npo Tanzania. Nataka nianze kuleta Nairobi. Je hapo nairobi wananunua shilingi ngapi per kilogram?? Korosho zangu ni zile brown
 
Bahati mbaya Jf haijawahi kuconcentrate na Jambo jema

Mimi nauza korosho npo Tanzania. Nataka nianze kuleta Nairobi. Je hapo nairobi wananunua shilingi ngapi per kilogram?? Korosho zangu ni zile brown

labda udaku na Yale Mimi n Bora kuliko wewe

Inshort, natafta soko ya korosho huko nairobi
 
Mimi nauza korosho npo Tanzania. Nataka nianze kuleta Nairobi. Je hapo nairobi wananunua shilingi ngapi per kilogram?? Korosho zangu ni zile brown
Sijui bei yake , wacha nta kuulizia kwa dealers halafu ntakuambia.
 
IMG_20210615_172549_0.jpg


Imagine hyo soda inauzwa 50ksh wajamen Nan mkenya tuongee dili la kumpatia jamii za soda zinazo tengenezwa na Coca-Cola kutoka Tanzania.

Bila kurisk uwez pata kitu
 
Back
Top Bottom