Nikuletee nini kutoka Tanzania wewe uliepo Kenya?

Nikuletee nini kutoka Tanzania wewe uliepo Kenya?

Bila shaka ni treated au zafaa zote hata untreated kwa watu wa hali ya chini.
Zote utapata market, but lazima uwe na connection.
Kuna wakati nilikuwa na project huko isebania na Mafundi wengi ni watanzania. So Kama unaweza connect na wao wanaeza ku saidia ku navigate your way around, especially along the border .The best strategy inaeza kuwa uanze na maeneo ya mpakani kabla uji establish .
Another way is to supply to guys who own timber yards in Kenya .Though profit margins hapo zitakuwa kidogo.

Alafu Transporters complain of bribes on kenyan side ..so you should factor in that in your expenses .
 
Tony254 & MK254 vipi huko kenya biashara ya mbao zakujengea nyumba, kunayo hiyo demand huko? Mtu aka push business kuja huko na hiyo mbao
Nakumbuka kabla sijaja Tanzania, kuna jamaa yangu alikua anatengeneza hela kwa kufuata mbao Tanzania, zina demand sana maana kuna ujenzi kote kote na misitu yetu haitoshelezi, utapiga mwingi......
Jamaa nlishapoteza contacts zake.
 
MY TAKE,
Let me tell ze zezetas of ba chama cha madudu quite frankly, ze fence zii build means nothing, wachapa kazi(merchants) from arusha are here in nairobi at this very moment. Zee bring tanzanite in large grams usiku na mchana.
Arusha and kilimanjaro wote tuna kula sahani moja. FUK TRA.
 
I see loads and loads of trucks kutoka tanzania zikileta mbao huku, will ask for you kwa one of the big dealers hapa
KENPAULITE i will appreciate that. Thank's

Demand ya mbao ni kubwa sana hapa Kenya .Kama itawezekana supply directly kwa construction sites hapo ndio utapata best deals.
The prices will vary depending on the type of timber .Cypress will tend to cost more than Graveria etc.
For construction site that the best deal kama ukipata, hata pia kwa supply sio mbaya sana.

Another way is to supply to guys who own timber yards in Kenya
Timber yards that's best idea
 
Kwa sasa sijui mtu yeyote. Lakini demand ipo. Kama una pesa unaweza kufunga safari na kuja Kenya kwa siku kadhaa na kusoma soko liko vipi. Huku haturuhusiwi kukata miti hovyo hovyo kwa hivyo mbao huwa tunatoa kwa majirani.
Mbona unarudia rudia kukatazwa kukata miti huko kwenu, kitu hujaulizwa , Tz pia hukati mti bila kibali, watu wako na mashamba ya miti ya mbao huku.
 
Mbona unarudia rudia kukatazwa kukata miti huko kwenu, kitu hujaulizwa , Tz pia hukati mti bila kibali, watu wako na mashamba ya miti ya mbao huku.
Mbona unaruka ruka ni kama umetiwa kidole? Unawashwa nini na nilichoandika?
 
Kenya Kuna uhaba Sana wa chakula, Kuna shida kubwa mno ya chakula.
Kenya chakula ni anasa, watu wanakula mlo mmoja kwa siku tena chakula Cha hovyohovyo
Hivyo nakushauri nenda kawapelekee chakula, utapata sana pesa
 
Kenya Kuna uhaba Sana wa chakula, Kuna shida kubwa mno ya chakula.
Kenya chakula ni anasa, watu wanakula mlo mmoja kwa siku tena chakula Cha hovyohovyo
Hivyo nakushauri nenda kawapelekee chakula, utapata sana pesa
Nyie kweli ni mazezetas.Njoo tembeya kenya.Tume choka kuwaona omba omba kutoka inchi(Danganyi-ass) kilakitu wanacho.
That is my take:
 
Nyie kweli ni mazezetas.Njoo tembeya kenya.Tume choka kuwaona omba omba kutoka inchi(Danganyi-ass) kilakitu wanacho.
That is my take:
Kenya mna uhaba wa chakula, huo ndio ukweli nilikuwa Nairobi siku chache zimepita
Kuna shida mno ya chakula, watu wengi wanakula mlo mmoja
Chakula Cha Kenya ni kibaya, wali hauna hata ladha
Kenya kwenye chakula mna shida kubwa Sana ndio maana hata afya zenu hazipo sawa
 
Kenya mna uhaba wa chakula, huo ndio ukweli nilikuwa Nairobi siku chache zimepita
Kuna shida mno ya chakula, watu wengi wanakula mlo mmoja
Chakula Cha Kenya ni kibaya, wali hauna hata ladha
Kenya kwenye chakula mna shida kubwa Sana ndio maana hata afya zenu hazipo sawa
Zezeta mtu with epic topic discussing about wali, mlo mmoja!!!!!!!
Duh, one feels like puking.......!
 
Hello wakenya niaje,

Kuna mahindi yanapatikana na mpunga unaeza jaza Isuzu moja Kama ukiamua uchukue nusu kwa nusu unakuwa na bidhaa mbili kwa truck moja anyone pliz njoo Kama upo serious.
 
Hello wakenya niaje,

Kuna mahindi yanapatikana na mpunga unaeza jaza Isuzu moja Kama ukiamua uchukue nusu kwa nusu unakuwa na bidhaa mbili kwa truck moja anyone pliz njoo Kama upo serious.
Mpunga kilo moja shingi ngapi? Na pumba ya mchele?
 
Wazee leteni Mambo Ni kupambana sio Kenya Wala Tanzania kote kugumu niambie kipi Ni deal huko tutengeneze pesa
 
Back
Top Bottom