Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kuwasiliana na x? Na umeolewa, una mimba ya miezi 7!Kuna watu wanapitia changamoto sana ila yawezekana ni kiwewe cha mimba akizaa ataacha
Sasa si mnataka niache kumshauri nianze kumdanganyaNdio kuwasiliana na x? Na umeolewa, una mimba ya miezi 7!
Hata mimi ningekua mtoa mada ningepata mashaka
Sasa kama ni ukweli si usemwe mambo ya kuficha ficha mambo mimi sio serikali
Hizi mambo za mimba sijui kuwa na kiwewe mara mke kumchukia mume akampenda jirani huwa ziko kwa wanawake wa town. Huko kwetu bush sijawahi shuhudia jambo hili kabisa hata kusikia.Kuna watu wanapitia changamoto sana ila yawezekana ni kiwewe cha mimba akizaa ataacha
Tafuta dem mkali then usimpe attention na uwe unafanya bila kujifichaNaombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.
Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.
Naombeni ushauri wenu.
Kijijini ni nadra sana ndio maana wengi hupelekwa kijijini wakalee mimba na kujifungulia hukoHizi mambo za mimba sijui kuwa na kiwewe mara mke kumchukia mume akampenda jirani huwa ziko kwa wanawake wa town. Huko kwetu bush sijawahi shuhudia jambo hili kabisa hata kusikia.
Hakuna kupindisha moja ni moja sio uandike saba alafu uanze kuifanya iwe moja.Ungemwambia hata kwa kuficha ficha jaman
Saiv kwake pressure is getting wesserrrrr
Watakuwa wanaigiza tu eti mimba imemfanya amchukie mume 😁Kijijini ni nadra sana ndio maana wengi hupelekwa kijijini wakalee mimba na kujifungulia huko
Jibu hili hapaSasa ataachaje kuwasiliana na baba kijacho kuhusu jina la mtoto wao.
Pole sana mkuu
Wapo wengi tu tunawafichia siri.Kwann huwa mnaowa wake za watuuu.......nliona fb dem wangu wa advance anafunga ndo mapicha kama yote nkamtext vp umeniacha akasema ww siwez kukuacha vjn achen kuolea genye.....
si unajua kuishi mjini kipaji kwahiyo kila mwenye mimba kipaji anacho tena cha uigizajiWatakuwa wanaigiza tu eti mimba imemfanya amchukie mume 😁
🤣🤣🤣🤣enyewe hana uhakika nayo..Sijasoma content, nimeishia tittle tu.
Ila nashauri lea mimba mzee.
Hauna shughuli yaani show kali ndo maana bado anakmkumbuka Ex wake vile alivyokuwa anamuandaa hana papara dem bao 3 2 za foreplay romance moja ya dyudu 🍆sasa wewe mwenzangu na mie sasa kama Mkurya au Mmasai jamani sijataja kabila 😁na ubaya wanawake wengi sio watu wa wazi hata kama humlizishi hawezi kusema baby nifanyie hiki niguse hapa matokeo yake anamkumbuka X wake alokuwa anampatia.Sasa ataachaje kuwasiliana na baba kijacho kuhusu jina la mtoto wao.
Pole sana mkuu
Ujauzito wa naniNaombeni ushauri mke wangu ameshika ujauzito ambao ndo wa Kwanza ila ana mawasiliano bhado na eX wake.
Niimkataza mimba ikiwa ina miezi miwili Ila cha ajabu nmekaa sasa hivi ina miez saba nmekuta bado wana mawasiliano ila yeye anadai jamaa ndo huo anampigia nkamwambia kwann usimblock Hana jibu.
Halafu na pia hiyo imenipa mashaka ujauzito unaweza usiwe wa kwangu.
Naombeni ushauri wenu.