Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mleta mada ushauri unaomfaa mi ni apigwe makofi tu ndipo atakuwa sawaDah nimevaa viatu vya mwamba vikavivua siwezi.
Thread ifungweSasa ataachaje kuwasiliana na baba kijacho kuhusu jina la mtoto wao.
Pole sana mkuu
😂 si atakufaMleta mada unapaswa kupigwa ngumi za Mandonga ubongo wako umeganda sana🙌
😅 ashtuliwe kidogo ubongoHuyu mleta mada ushauri unaomfaa mi ni apigwe makofi tu ndipo atakuwa sawa
Anatumalizia pumzi tu🤣🤣🤣😂 si atakufa
Mimi sipo kwenye hiyo kesi 😂Anatumalizia pumzi tu🤣🤣🤣
We ndio Wakili wangu🤣🤣🤣Mimi sipo kwenye hiyo kesi 😂
Sawa fanya tukio huko tayari nshajipangaWe ndio Wakili wangu🤣🤣🤣
Ndio nimepata location yake tegemea tukio ndani ya dakika 3 zijazo..hatuwezi kupotezewa Pumzi kizembe zembe 🤣🤣🤣Sawa fanya tukio huko tayari nshajipanga
😂😂 sawa najua hutoniangusha ili nifanye kazi kweli kweliNdio nimepata location yake tegemea tukio ndani ya dakika 3 zijazo..hatuwezi kupotezewa Pumzi kizembe zembe 🤣🤣🤣
Sikaungushi..jiandae tu 🤣🤣🤣😂😂 sawa najua hutoniangusha ili nifanye kazi kweli kweli
Sawaaaaaa 😂Sikaungushi..jiandae tu 🤣🤣🤣
Nishamaliza kazi..hutoona akisema chochote tena 🤣🤣🤣Sawaaaaaa 😂