Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.

Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, tusikerane.
 
Hakika nilibishana sana na Mzungu mmoja mcanada kuhusu kipi ni upuuzi zaidi, kati ya ndoa za mashoga na ndoa za wake wengi!? Tuliishie kuchukizana tu.

Wakati huo kulikuwa na kesi ya kikatiba ilifunguliwa na aboriginal-wenye asili ya Canada wakitaka ndoa za wake wengi ziruhusiwe kama mwanzo, na kulikuwa na viapo vya wanawake elfu sita wakiunga mkono kesi hiyo. Sijafuatilia kesi iliishaje.

PENYE MASHOGA SIKAI, Kuna bar DSM nilienda nilipoona jamaa lenye dalili za ushoga niliondoka fasta na sirudi tena hapo.
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.


Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania , wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, yusikerane.
Mbona Yesu Alikwisha Tufundishwe kwamba hao ni magugu!
Na kutuelekeza namna ya kuyashughulikia!

Angesema Tufanye kama ww au tuwageuze kibla mbona pangechimbika!

Yesu Anakupa Jibu
[emoji116][emoji116]
Mathayo 13
25 lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.

26 Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.

27 Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? Limepata wapi basi magugu?

28 Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye?

29 Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing'oa ngano pamoja nayo.

30 Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu.
 
Yupo kiongozi alisema mkiona wazungu wananipigia makofi mjue nimewasaliti!.. tuliacha tamaduni zetu nakukimbilia tamaduni za hovyo,ilitakiwa tuboreshe vyakwetu. Hivi sasa tumeshikwa macho na hatuoni wapo wachache wameshafunguka macho naandika tena hata hizi dini ni utawala umbao umejichimbia kwa uzalimu fulani mtakuja kuyaona haya kwa kuchelewa hii sio nadharia.
 
Bado imani za mababu zetu ni bora sana..tangu washikiwe akili na wale waliokuja na meli na majahazi wameharibu kizazi chetu kwa gia zao za ustaarabu..leo hii kufirana sio kitu cha ajabu tena..wamefanikiwa sana kupenyeza propaganda zao chafu.
 
Kwa hiyo tukusaidiaje???!!sema wewe ni din nyingine sio mkristo unajiongelesha uonekane upo??!! Je ukiulizwa ulishuhudia kanisa gani linafungisha ndoa hizo utajibu, wewe ni kilaza bila chenga kabisa tunamashaka na IQ yako hebu kanye kwanza umeshiba makange
 
Yupo kiongozi alisema mkiona wazungu wananipigia makofi mjue nimewasaliti!.. tuliacha tamaduni zetu nakukimbilia tamaduni za hovyo,ilitakiwa tuboreshe vyakwetu. Hivi sasa tumeshikwa macho na hatuoni wapo wachache wameshafunguka macho naandika tena hata hizi dini ni utawala umbao umejichimbia kwa uzalimu fulani mtakuja kuyaona haya kwa kuchelewa hii sio nadharia.
Turudi kwenye asili
 
Kwa hiyo tukusaidiaje???!!sema wewe ni din nyingine sio mkristo unajiongelesha uonekane upo??!! Je ukiulizwa ulishuhudia kanisa gani linafungisha ndoa hizo utajibu, wewe ni kilaza bila chenga kabisa tunamashaka na IQ yako hebu kanye kwanza umeshiba makange
Mental slave katika ubora wako, naona unatema tu povu
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.


Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania , wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, yusikerane.
😂😂Sasa uko wapi?
 
Ndoa za jinsia moja hazijawahi kufungwa kanisani , huwa zinafungwa serikalini na zinaitwa civil partnership
Kwamba hili si kanisa?!?!
LamourFoto-246-scaled.jpg


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom