Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Kaleta kitabuNdio maana tunasema dini ni miyeyusho tu ya mzungu kutawala akili za mtu blaki.
Yesu hakuleta dini wala kitabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaleta kitabuNdio maana tunasema dini ni miyeyusho tu ya mzungu kutawala akili za mtu blaki.
Yesu hakuleta dini wala kitabu
Kwani umelazimishwa kufuata dini za hao wazungu? Si uwe ktk dini yako ya zamani hiyo. Kwani unakwama wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazungu wametuvurugia maisha yetu asili,ambayo yalikuwa Safi sana.mm huwa sitaki kuskia huu upuuzi wao !!! dini zetu za asili zilitufanya tuwe na upendo,heshima na adabu .
Kitabu gani?Kaleta kitabu
Halafu wee si bwabwalao? Naona jamaa anawasagieni kunguni mkose wakuajiKwani umelazimishwa kufuata dini za hao wazungu? Si uwe ktk dini yako ya zamani hiyo. Kwani unakwama wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hata umeongea kidogo point yenye mashiko. [emoji122][emoji122]Maji kamwe hayasahau mkondo wake.
Ndivyo hivyo hivyo ilivyo kwenye swala dini; wazungu Dini sio asili yao. Asili ya dini ni mtu mweusi.
Nimekumic mno bibi kipenziiii [emoji7][emoji7][emoji7]Ndoa za jinsia moja hazijawahi kufungwa kanisani , huwa zinafungwa serikalini na zinaitwa civil partnership
Ndoa za jinsia moja hazijawahi kufungwa kanisani , huwa zinafungwa serikalini na zinaitwa civil partnership
Ndoa imetaradadi na kupendeza vilivyo mno, ndoa yao ikawe ya kheri kwao na wakafanikiwe ktk maisha yao kwa pamoja.Kwamba hili si kanisa?!?!
View attachment 2083561
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Chochote chenye kulinda maslahi yao kitatengenezewa jinsi kiwe halali na jina zuri.Human raiti. ina siri gani kwa hawa wazungu?
Wanazaaje kwa mfano? Mtoto atachanganyikiwa, baba mwanaume, mama mwanaumeNdoa imetaradadi na kupendeza vilivyo mno, ndoa yao ikawe ya kheri kwao na wakafanikiwe ktk maisha yao kwa pamoja.
Umenifurahisha mno, hebu pita kwa mangi pata chochote bill juu yangu.Hili swali zuri sana,Mungu hapatikani ktk nyumba za ibada pekee,yupo kila mahali.
Kwa wakristo mwili wako ndilo hekalu ivyo popote Mungu yupo,hakuna ulazima wa kwenda kanisani labda km unataka ukaibiwe hela kwa kudanganywa kuwa ni sadaka
Shabiki sasa wa mambo hayoNdoa imetaradadi na kupendeza vilivyo mno, ndoa yao ikawe ya kheri kwao na wakafanikiwe ktk maisha yao kwa pamoja.
Hakuna Kanisa la Mungu watu wanavaa scholar ya rangi za u gay
Human raiti. ina siri gani kwa hawa wazun
Mkuu,Wanazaaje kwa mfano? Mtoto atachanganyikiwa, baba mwanaume, mama mwanaume
Ingawa siijui geografía ya ulaya lakini kule kuna ulaya iliyopakana na mashariki na huko uarabuni, sehemu hizo uislamu lazima uwe mwingi lakini sio kubwa kama Amerika ambako ukristo unakua mnoUlaya uislamu unakuwa kwa kasi mno kuliko dini nyingine yoyote
Uingereza uaijua vyema?Ingawa siijui geografía ya ulaya lakini kule kuna ulaya iliyopakana na mashariki na huko uarabuni, sehemu hizo uislamu lazima uwe mwingi lakini sio kubwa kama Amerika ambako ukristo unakua mno
😭😢😥Mkuu,
Nilipo mimi shule zote za awali ambapo watoto wanaanza na miezi tisa zile rangi za bendera yao ndio mapambo, na wanalazimika kujua hiyo "haki" tangia udogo huo!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anasagia kunguni au anateseka yeye? Sasa km yeye anaweza au ana uwezo mbna kanisa lake limefungisha ndoa mashoga, hajafanya kizuizi au pingamizi, dhidi ya kususa kwenda ibadani kanisani kwake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wee si bwabwalao? Naona jamaa anawasagieni kunguni mkose wakuaji
Nipo mie bibi angu [emoji7][emoji7][emoji7]Mjukuu upo
Kanisa letu hawajawahi kufungisha ndoa aina hiyo.Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania , wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, yusikerane.