Ndyoo sema wee, watu wamejaa unafiki tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wawe huru kuchagua starehe wanayotaka. Swala la mke mmoja ni tata. Mtu anajifanya ana mke mmoja ila nyumba ndogo mtaani hazina idadi.
hapo yupi anapelekewa moto?. Afu unatafuta bann wewe.Ndoa imetaradadi na kunoga, wanandoa wana upendo wa kweli.na wana hisia za kweli, yaan wanafurahia muungano wao, wako romantic awwwww [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Natamani km mie ndo ningekua msimamizi wao,[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]View attachment 2085594
Ban kwa kosa gan? Punguza kihere here nawe lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo yupi anapelekewa moto?. Afu unatafuta bann wewe.
ushawasha tungi nini?Ban kwa kosa gan? Punguza kihere here nawe lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu nipisheee msieeewushawasha tungi nini?
unavocheka, utakuwa umechanganya tungi na cha arusha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu nipisheee msieeew
Na kukojolewa shahawa za motoooo, yaan niko mwepesii [emoji23][emoji23][emoji23]unavocheka, utakuwa umechanganya tungi na cha arusha.
Kwanini usikue kwa kasi,pasipo na kanisa shetani lazima atamalaki ningeshangaa sana kama ulaya wangeshika sana dini(ukristo)na uislam ukaenea.Ulaya uislamu unakuwa kwa kasi mno kuliko dini nyingine yoyote
Tafuta kumjua Mungu wewe binafsi!Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Wewe ni Wakala wa Shetani na kakukamata huna lolote? Kuna kanisa Gani Tanzania limefungisha Ndoa ya Jinsia Moja?Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Kwahiyo huko kwenye upagani ulikokimbilia hakuna ushoga? Nenda kanisani ndugu kamuabudu Mungu wako! Usiache mashoga wakupangie maisha! Kuwa na msimamo, ishi maisha yako, muabudu Mungu wako! Ningekuheshimu sana kama ungeipigania Imani yako kwa kupinga ushoga ndani ya kanisa lako! Kwa kifupi, UMEKIMBIA LINDO!!Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Kwani Mungu anakaa kanisani? Sijasema nimeacha kumuamini MunguKwahiyo huko kwenye upagani ulikokimbilia hakuna ushoga? Nenda kanisani ndugu kamuabudu Mungu wako! Usiache mashoga wakupangie maisha! Kuwa na msimamo, ishi maisha yako, muabudu Mungu wako! Ningekuheshimu sana kama ungeipigania Imani yako kwa kupinga ushoga ndani ya kanisa lako! Kwa kifupi, UMEKIMBIA LINDO!!
Kwani mi niko wapi?Wewe ni Wakala wa Shetani na kakukamata huna lolote? Kuna kanisa Gani Tanzania limefungisha Ndoa ya Jinsia Moja?
Safi sana, ushauri mzuri sana huuTafuta kumjua Mungu wewe binafsi!
Mahusiano yako wewe na Mungu kwanza ni ya mhimu kuliko kanisa,dini!
Achana na dini, mtafute Mungu.
Siku ya mwisho hutaulizwa habari za dini,kanisa,dhehebu!
Nadhani kwanza tunapaswa kuelewa kanisa ni nini? Binafsi nafikiri kanisa si jengo! Kanisa ni mimi na wewe! Kwahiyo nafikiri ulichanganya tokea awali! Hata tukikutana chini ya mti kwa ajili ya kumuabudu Mungu wa kweli, sisi ni kanisa! Ukisema umeacha kwenda kanisani nadhani umekosea!Kwani Mungu anakaa kanisani? Sijasema nimeacha kumuamini Mungu
Lile jengo ni nini?Nadhani kwanza tunapaswa kuelewa kanisa ni nini? Binafsi nafikiri kanisa si jengo! Kanisa ni mimi na wewe! Kwahiyo nafikiri ulichanganya tokea awali! Hata tukikutana chini ya mti kwa ajili ya kumuabudu Mungu wa kweli, sisi ni kanisa! Ukisema umeacha kwenda kanisani nadhani umekosea!
Wananuka kinyesiNdoa imetaradadi na kunoga, wanandoa wana upendo wa kweli.na wana hisia za kweli, yaan wanafurahia muungano wao, wako romantic awwwww [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Natamani km mie ndo ningekua msimamizi wao,[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]View attachment 2085594
Ni jengo la ibada! Kanisa ni mwili wa Kristo ambao sisi ni sehemu ya huo mwili! Kanisa ni mkusanyiko! Ndiyo maana Yesu aliwaambia mafarisayoLile jengo ni nini?