Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

Watu wawe huru kuchagua starehe wanayotaka. Swala la mke mmoja ni tata. Mtu anajifanya ana mke mmoja ila nyumba ndogo mtaani hazina idadi.
Ndyoo sema wee, watu wamejaa unafiki tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndoa imetaradadi na kunoga, wanandoa wana upendo wa kweli.na wana hisia za kweli, yaan wanafurahia muungano wao, wako romantic awwwww [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]

Natamani km mie ndo ningekua msimamizi wao,[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
FB_IMG_16424200903584192.jpg
 
Ndoa imetaradadi na kunoga, wanandoa wana upendo wa kweli.na wana hisia za kweli, yaan wanafurahia muungano wao, wako romantic awwwww [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]

Natamani km mie ndo ningekua msimamizi wao,[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]View attachment 2085594
hapo yupi anapelekewa moto?. Afu unatafuta bann wewe.
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.

Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Tafuta kumjua Mungu wewe binafsi!
Mahusiano yako wewe na Mungu kwanza ni ya mhimu kuliko kanisa,dini!
Achana na dini, mtafute Mungu.

Siku ya mwisho hutaulizwa habari za dini,kanisa,dhehebu!
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.

Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Wewe ni Wakala wa Shetani na kakukamata huna lolote? Kuna kanisa Gani Tanzania limefungisha Ndoa ya Jinsia Moja?
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.

Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Kwahiyo huko kwenye upagani ulikokimbilia hakuna ushoga? Nenda kanisani ndugu kamuabudu Mungu wako! Usiache mashoga wakupangie maisha! Kuwa na msimamo, ishi maisha yako, muabudu Mungu wako! Ningekuheshimu sana kama ungeipigania Imani yako kwa kupinga ushoga ndani ya kanisa lako! Kwa kifupi, UMEKIMBIA LINDO!!
 
Kwahiyo huko kwenye upagani ulikokimbilia hakuna ushoga? Nenda kanisani ndugu kamuabudu Mungu wako! Usiache mashoga wakupangie maisha! Kuwa na msimamo, ishi maisha yako, muabudu Mungu wako! Ningekuheshimu sana kama ungeipigania Imani yako kwa kupinga ushoga ndani ya kanisa lako! Kwa kifupi, UMEKIMBIA LINDO!!
Kwani Mungu anakaa kanisani? Sijasema nimeacha kumuamini Mungu
 
Kwani Mungu anakaa kanisani? Sijasema nimeacha kumuamini Mungu
Nadhani kwanza tunapaswa kuelewa kanisa ni nini? Binafsi nafikiri kanisa si jengo! Kanisa ni mimi na wewe! Kwahiyo nafikiri ulichanganya tokea awali! Hata tukikutana chini ya mti kwa ajili ya kumuabudu Mungu wa kweli, sisi ni kanisa! Ukisema umeacha kwenda kanisani nadhani umekosea!
 
Nadhani kwanza tunapaswa kuelewa kanisa ni nini? Binafsi nafikiri kanisa si jengo! Kanisa ni mimi na wewe! Kwahiyo nafikiri ulichanganya tokea awali! Hata tukikutana chini ya mti kwa ajili ya kumuabudu Mungu wa kweli, sisi ni kanisa! Ukisema umeacha kwenda kanisani nadhani umekosea!
Lile jengo ni nini?
 
Kama Tanzania ndoa za jinsia moja zisha wahi kufungwa hadharani basi leteni ushuhuda kuanzia leo niache kusali na mimi, ila kama utaacha kwa mambo yaliyo fanyika huko Ulaya basi unafeli kwa sehemu kubwa, maana wale na wewe ni vitu viwili tofauti
 
Lile jengo ni nini?
Ni jengo la ibada! Kanisa ni mwili wa Kristo ambao sisi ni sehemu ya huo mwili! Kanisa ni mkusanyiko! Ndiyo maana Yesu aliwaambia mafarisayo
Yohane 2:19-21 BHND - Bible.com
“Vunjeni hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.” Hapo Wayahudi wakasema, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arubaini na sita.
hawakumuelewa! Definition yao ya kanisa ilikuwa jengo kumbe walikosea sana!
 
Back
Top Bottom