The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Shida supermaket ina CCTV but in any case kulikua na upangaji mbovu au kuna mteja ali mix mafile kabla ya mtoa madaWe ungesema limeanguka lenyewe Watanzania waoga sana kubishana hapo angekua Mzungu asingekubali Wazungu wabishi sana tena ukute Wataliano au Warusi.
Nimecheka kifalaHapo ulitakiwa uondoke kama upo wale watoto ndo dhamana yako wahudumu wakiwaona wanajua upo around, bahati nzuri mabasi siku hizi yapo hadi usiku, zile nguo ulizoacha kwa shemeji yako unaachana nazo.
Unapanda katarama lux ukifika manyoni ndo unampigia simu dada yako unamwambia akafate watoto wake huko ulipowaacha.
😆😆😝😂😂🤣🤣Maaskini Mbwichichi ndugu yangu
Sina cha kuongezea Cha msingi mjomba amakinike na ulichoandika, basiUlizia menu usione aibu........ Nauliza hata kama tandale uzuri mimi aibu na macho kubadilika rangi plus kuforce tabasamu sitaki kabisa hizo mbanga
Kwako blood Ibn Unuq
Kijana wangu secretarybird zerominus10
Mshaurini mjomba kama mjomba
Mjomba Ni mamamkuu sijataka msaada…nimejifunza tu jambo muhimu na somo la msingi sana.
heshima kwa wajomba nimepata lakini,ndio cha muhimu
😹😹😹🤣🤣🤣hutaki kuvunja belaire na hennessy?Basi tumtafute mwafula,mbona kapoa sana kwema?😂😂😂
Ushauri wa busara sana huo.Siku nyingine uliza bei kabla ya huduma wala sio ushamba.
😂😂😂atakuwa anatumia mkunde pori kama chai haiwezekani we kila tunavyopindua mwaka we una mtoto mng'aa...siku hizi unajikuta mstaarabu mwenyewe 😂😂😂😹😹😹
Ila unanionea sana ss hivi,
Mwafula kapotea sijui analea mana naye placenta yake ipo wazi kweli.!! 🤣
Hapa navuga picha alivyokuwa na matiti basi akivaa crop top hatari...kibamia kitakuwa kina drip with precumHapana shem zako zimezidi 😹😹😹
Yani nasoma comments zenu mbavu zinaniuma na unavyoomba utegwe kwa leggings na crop top 🤣
Basi shem inatosha utapiga bao kabla hamjakutana 😹🤣🤣Hapa navuga picha alivyokuwa na matiti basi akivaa crop top hatari...kibamia kitakuwa kina drip with precum
Wacha nipige baoBasi shem inatosha utapiga bao kabla hamjakutana 😹🤣🤣
Kuna rafiki yangu ana pub kigamboni, TBL walikuwa wamepiga rangi zao na kuweka Bei za vinyeaji. Kumbe vinywaji vimepanda Bei lakini wao hawajabadilisha Bei ya vinywaji. Wakaja wazungu wameagiza vinywaji wamekunywa wanaondoka wanapewa bili wanagoma, wanasema Bei tunayoijua ni ile iliyobandikwa na siyo hii mnayotupa. Aliyekuja kuamua ugomvi ni baba wa rafiki yangu Ila wazungu waliondoka washindi.We ungesema limeanguka lenyewe Watanzania waoga sana kubishana hapo angekua Mzungu asingekubali Wazungu wabishi sana tena ukute Wataliano au Warusi.
Hakika. Inakuepusha na mengi sanaSiku nyingine uliza bei kabla ya huduma wala sio ushamba.
Pole sana lakini umefaidi kupata somo hapo. Kati ya mambo nachukia ni kutumia fedha nyingi bila kupata ile kitu wanaita value for money.Nilienda kutembea Dar es Salaam kwa dada yangu wakati wa sherehe hizi za christimass.
Basi tarehe 25/12 kama kawaida tulikwenda ibadani na kurudi nyumbani,kilichofuata ni maongezi tu ya kifamilia huku tukichoma nyama jioni na kunywa pombe pamoja na shemeji na marafiki zake.
Tarehe 26/12 nikataka na mimi onyesha msuli wangu kwa shemeji ili asinichukulie poa…Basi bwana nikawaambia leo niachieni hawa vijana nitoke nao out nao waone raha ya kuwa na mjomba,wako watoto wanne na dada wa kazi. jumla watano.
Basi wao wenyewe wakataja mahala wanataka kwenda…ni beach fulani hivi wamejenga vizuri sana na kuna michezo mingi sana ya watoto,vyakula na vinywaji.
Basi tukaondoka tukafika…kiukweli mimi nilidhani ni mahala naweza afford kulipia kila kitu na nilitenga 100,000/= nzima kwa ajili ya kutumbua.
Sasa kufika nikaambia kwanza vijana wapate chakula.Wakaagiza kila mmoja chipsi kavu pamoja na kuku nusu.Pia waliagiza juice freshi na kuna kamoja kiherehere kakaagiza pizza moja ya kushare wote…yule dada wa kazi kwa aibu za kikubwa aliagiza chipsi na mshkaki mmoja tu na juice.
Mahesabu yangu yalikua pale itakata kama 50,000/= hivi pamoja na michezo yao ile…wakamaliza kula,mimi mwenyewe nikaagiza bia zangu 5 pamoja na nyama choma ya mbuzi.
…..sasa game ikaanza karibia wanamaliza kula yule dada ndio akaniletea ile “menu”,lahaulaaaa
chipsi kavu-inasoma 6000/= mara 5
kuku nusu-inasoma 21,000/= mara 4
fresh juice-inasoma glass moja 6000/= mara 5
pizza moja-inasoma 35,000/=
mshkaki mmoja(niligundua wameandika fillet)-3500/=
nyama choma mbuzi—inasoma 25,000/= per portion
bia moja local ni 4000/= mara 5
kwa haraka haraka ilisoma kama 227,500/= kinyume kabisa na matarajio yangu.
Kwanza nilihisi baridi sana imenichapa sababu vitu vyote vishaagizwa na vingine vishaanza kutumika,watoto wanaenjoy sana na huwezi waambia kitu wakakuelewa.
Hapo wanasubiri washibe nikawalipe kila mmoja 5000/= ya kwenda kwenye michezo yao ya watoto…
Mimi bhana nikajitetea nataka kulipa kwa kadi…walete mashine,lengo langu hapa kubahatisha sababu ndio zilikua tarehe bosi anaingiza chochote kwenye account.
Ile kugusa tu pyaaaaa….nakuta sms inaingia umefanikiwa kulipia 227,500/= kwenda Utulivu beach resort,ikaja na sms ya muamala wa makato ya muamala kama 4000/= hivi.
Kwa kweli mood yote ilikata…kwa mshahara wangu hiko kiwango kilikua ni zaidi ya nusu yake mimi nimetumia kulipia watoto kula sehemu ambayo siyo level zangu….ila nikakaza kiume,ile kulipia kwa kadi nikaonekana doni sana pale.
basi na ile laki mkononi nayo nikaibunya mjini…..sahivi niko zangu kwenye katarama narudi zangu mkoani na somo.
Umewahi kutana na dhahama kama hii?!😂
😹😹😹😂😂😂atakuwa anatumia mkunde pori kama chai haiwezekani we kila tunavyopindua mwaka we una mtoto mng'aa...siku hizi unajikuta mstaarabu mwenyewe 😂😂😂
Wakati tupo watoto marehebu baba yetu mdogo alikuwa na tabia anatuchukua anatupeleka Oysterbay hotel anatununulia ice cream Sasa Kuna siku katuchukua akaagiza ice cream halafu akatuacha, alipoondoka sisi tukawa tunaendelea kuagiza ice cream.Hapo ulitakiwa uondoke kama upo wale watoto ndo dhamana yako wahudumu wakiwaona wanajua upo around, bahati nzuri mabasi siku hizi yapo hadi usiku, zile nguo ulizoacha kwa shemeji yako unaachana nazo.
Unapanda katarama lux ukifika manyoni ndo unampigia simu dada yako unamwambia akafate watoto wake huko ulipowaacha.
basi na ile laki mkononi nayo nikaibunya mjini…..sahivi niko zangu kwenye katarama narudi zangu mkoani na somo.