Niliagiza chakula, ilivyokuja bili nusura nikimbie niwaache watoto. Umewahi kukumbana na fedheha hii?

Binti mmoja mkali enzi hizo dansa Fm marehemu sasa.
E bana katika kupiga sound,
Poa njoo mazoezini.
Nikazama huko sijui Chez ntemba Kino ndani mkwajuni studio.
Ile kufika demu kaja bia zao Heineken, sijakaa vizuri madansa wenzie nao hao km sita hivi.
Halafu hawaulizi ni salamu tu "aa shem pedeshee",
hapo supu , bia zinaenda Tu
Then hao waimbaji hawa wacongo wote hao km 12.
Walifakamia nyama bia, supu km hawana akili nzuri. alafu hao
Wakayeyuka😆.
Nilienda na kilo nikijua bajeti yetu wawili demu hamalizi.
Kuletewa bili "mama nene"🙆‍♂️
K
ilo 3+,
Nikamuita mshkaji aje arekebishe nae ana kilo tu si zaidi.
Duh ikabidi tuache simu, tukazirudia baada ya siku 2
Ndio ikatimia hela ya bill yote.
 
Sasa hv unakula mihogo tu huko mbwidu ili kukava loss
 
Shida supermaket ina CCTV but in any case kulikua na upangaji mbovu au kuna mteja ali mix mafile kabla ya mtoa mada
Ule upande wa shelf ni kama ulikuwa umetegeshwa hivi yani Mimi kitendo cha kuchukua chupa ya wine lahaula chupa zipo chini tayari vipande vipande nilitoa macho maana sikutarajia kabisa such a shit to happen
 
Pili kuukiza bei sio ushamba
 
Ule upande wa shelf ni kama ulikuwa umetegeshwa hivi yani Mimi kitendo cha kuchukua chupa ya wine lahaula chupa zipo chini tayari vipande vipande nilitoa macho maana sikutarajia kabisa such a shit to happen
Kama zilikua shelf za mbao, hua zinaoza mkuu...

Kuna jamaa alienda super market na mtoto yanamkuta pia, ila yeye ilikua wine moja tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…