Niliagiza wine ya kupima lita tano toka Dodoma, Iliyoletwa nahisi ni gongo au konyagi iliyozimuliwa maana bongo feki kila kona

Niliagiza wine ya kupima lita tano toka Dodoma, Iliyoletwa nahisi ni gongo au konyagi iliyozimuliwa maana bongo feki kila kona

Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
Utakoma.
 
Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga
😀😀😀😀 unaimwagaje kwa mfano....
 
Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!

Hata mimi nilifikiri kuna kitu wanachanganya,
Ni kali sana...
 
Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
Iliyosalia mpatie mpendwa
mzabzab 😄😄😄
 
Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
Ungeagiza ile ya masista ndo og.
 
😄😄😃😃😆😆😆😅😁😁🤣🤣😆🙃🙂
 
Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
Uliiagiza wapi mkuu? Naona kama hiyo inanifaa sana mimi,inautamu halafu inafupisha safari
 
Back
Top Bottom