Stephan Lichtsteiner
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 520
- 1,476
Hyo itakua ilikaa tu hata ile ya kuagiza kwa masista ukishafungua huku Daslam kwny joto ikakaa siku mbili tatu hilo vaibu lake balaa...Uliiagiza wapi mkuu? Naona kama hiyo inanifaa sana mimi,inautamu halafu inafupisha safari
Duuh..mimi mtumiaji wa maji ya afya..kazi ipo asee.Maji afya na uhai yanaongoza kwa feki kuna chimbo lita point 6 yanauzwa miatatu[emoji16]
Tatizo lenu mnaagiza vitu kutaka kuoja, Hiyo aliyoagiza siyo wine ([emoji485]) mbali hiyo ni whisky inaitwa malted whisky[emoji1634] ache ushamba hajapigwaHyo itakua ilikaa tu hata ile ya kuagiza kwa masista ukishafungua huku Daslam kwny joto ikakaa siku mbili tatu hilo vaibu lake balaa...
Tamu ila unalewa chakaliii
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Malted whisky ndio ipoje mkuuTatizo lenu mnaagiza vitu kutaka kuoja, Hiyo aliyoagiza siyo wine ([emoji485]) mbali hiyo ni whisky inaitwa malted whisky[emoji1634] ache ushamba hajapigwa
Muombe maelezo atakupa huyohuyo mleta ujumbe hiyo alonunua
Ndugu, nipe mawasiliano ya masista wanaouza wine HARAKAUngeagiza ile ya masista ndo og.
Sasa na wewe tukuaminije kama kila mtu bongo ni feki? Lakini si umelipwa kwa hili bango au?Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!
Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k
Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!
Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!
Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!
Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!
Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!
Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
Yamekuwa hayoSasa na wewe tukuaminije kama kila mtu bongo ni feki? Lakini si umelipwa kwa hili bango au?
KabisaaPole sana
Tanzania ukihitaji chochote nenda kwenye source mfano kiwandani ila hizi habari za wakala lazima wakupige.
Miaka inavyozidi kwenda ndivyo tunavyozidi kudharaulika maana wizi umekuwa ni kazi na ni kitu cha kujisifia kwa mtanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
TOZO ulilipa?Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!
Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kandanda nako siku hizi michongo mtupu n.k
Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!
Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!
Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!
Nimempa wife aonje kagida nusu glass tu hoi kalewachakali!
Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!
Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
We nae ulitaka kuibiwa,hiyo uliyouziwa wewe Ni zile za wakulima wa hombolo hazijaenda kiwandani bado kwa mantiki hiyo haukunywa dompo.....Ila hizo Ni balaa
Acha kabisa Kuna jamaa alituletea tupo bar tukawa tuna mix weee kilicho fuata bar nzima tukawa tunaimba kama ma zombie kila mtu aliondoka na njia yake. Ufutio ile [emoji3][emoji3][emoji3]Zilinilaza kwenye ngazi
Sitaki hata kuiona lile dumu
Ngoja nikutafutie.Ndugu, nipe mawasiliano ya masista wanaouza wine HARAKA
Ha ha haaa hatari,mi nikiliona tu Hilo dumu nasikia kizunguzunguZilinilaza kwenye ngazi
Sitaki hata kuiona lile dumu
Ha ha haaa hatari,mi nikiliona tu Hilo dumu nasikia kizunguzungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ha ha haaa hatari,mi nikiliona tu Hilo dumu nasikia kizunguzungu
Nimekumbuka mwez ulio isha Nilipiga Robertson plus drostoff plus Jemason whiskey Nikakata moto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zilinilaza kwenye ngazi
Sitaki hata kuiona lile dumu