Niliagiza wine ya kupima lita tano toka Dodoma, Iliyoletwa nahisi ni gongo au konyagi iliyozimuliwa maana bongo feki kila kona

Niliagiza wine ya kupima lita tano toka Dodoma, Iliyoletwa nahisi ni gongo au konyagi iliyozimuliwa maana bongo feki kila kona

Hyo itakua ilikaa tu hata ile ya kuagiza kwa masista ukishafungua huku Daslam kwny joto ikakaa siku mbili tatu hilo vaibu lake balaa...
Tamu ila unalewa chakaliii

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Tatizo lenu mnaagiza vitu kutaka kuoja, Hiyo aliyoagiza siyo wine ([emoji485]) mbali hiyo ni whisky inaitwa malted whisky[emoji1634] ache ushamba hajapigwa
 
Muombe maelezo atakupa huyohuyo mleta ujumbe hiyo alonunua
 
We nae ulitaka kuibiwa,hiyo uliyouziwa wewe Ni zile za wakulima wa hombolo hazijaenda kiwandani bado kwa mantiki hiyo haukunywa dompo.....Ila hizo Ni balaa
 
Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kadanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu grass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
Sasa na wewe tukuaminije kama kila mtu bongo ni feki? Lakini si umelipwa kwa hili bango au?
 
Bongo kila kitu ni kuchakachua tu!

Iwe maji ya kunywa feki kibao, iwe sigara feki, iwe makalio ya wanawake nayo feki mtupu, bikira nazo feki, unga feki, hata kwenye kandanda nako siku hizi michongo mtupu n.k

Sasa sijui tukimbilie wapi, nimeagiza wine nikaambiwa ni alter wine!
Aisee nimejaribu kuitia mdomoni radha yake ni tofauti sana na nilivyozoea!
kwanza inachoma balaa kuanzia kooni hadi kwenye utumbo!

Yaani ukiibunda mdomoni inaunguza utumbo inavyotembea hadi tumboni!

Nahisi hii wine nimepigwa wallah sidhani kama ni ALTER WINE kweli!

Nimempa wife aonje kagida nusu glass tu hoi kalewachakali!

Bongo nimewavulia kofia kwa feki alooh!

Nilijua feki ni maji tu kumbe hadi kwenye pombe!
Nyau sana wote wanaotufanyia hivi!
Na sitaimwaga!
TOZO ulilipa?
 
We nae ulitaka kuibiwa,hiyo uliyouziwa wewe Ni zile za wakulima wa hombolo hazijaenda kiwandani bado kwa mantiki hiyo haukunywa dompo.....Ila hizo Ni balaa

Zilinilaza kwenye ngazi

Sitaki hata kuiona lile dumu
 
Zilinilaza kwenye ngazi

Sitaki hata kuiona lile dumu
Nimekumbuka mwez ulio isha Nilipiga Robertson plus drostoff plus Jemason whiskey Nikakata moto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakuja shtuka usiku niko bed ikabid nitoke niulize watu nilifikaje bed , manake kumbukumbu ya mwisho nakumbuka nilikua sebulen, sikumbuk nn kilifuata
 
Back
Top Bottom