Niliagiza wine ya kupima lita tano toka Dodoma, Iliyoletwa nahisi ni gongo au konyagi iliyozimuliwa maana bongo feki kila kona

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Shukuru Sana ulikuwa nyumbani
 
Usalama uliukuta maana watu nao hawaaminiki
 

Unaenda tu mwenyewe ila ndo kisehemu cha memory kinakua kimezima
 
Unaenda tu mwenyewe ila ndo kisehemu cha memory kinakua kimezima
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nina dumu hapa la dodoma nimenunua leo, hii kitu kiboko, glass moja tu tayar, nahis alcohol sio 18% kama wanavyosema
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nina dumu hapa la dodoma nimenunua leo, hii kitu kiboko, glass moja tu tayar, nahis alcohol sio 18% kama wanavyosema
Kamua baba kamua baba! Kamua usitumie hirizi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nina dumu hapa la dodoma nimenunua leo, hii kitu kiboko, glass moja tu tayar, nahis alcohol sio 18% kama wanavyosema

Geuza hiyo namba

81%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ