Hank_31
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 862
- 2,148
Mungu kabla ya kumpa mwanaume mke, alimpa kazi, so huyo dada alikuwa makini na aliuliza wakati muafaka....
Na mwanamke ni kama msaidizi katika malengo ya familia so inahitaji utashi wake kuwa msaidizi hivyo basi ni muhimu sana kwa mwanamke kufahamu kazi unayofanya.....
Na mwanamke ni kama msaidizi katika malengo ya familia so inahitaji utashi wake kuwa msaidizi hivyo basi ni muhimu sana kwa mwanamke kufahamu kazi unayofanya.....