Unaishi kwa wasiwasi sana. Mbona swali la kawaida.Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Harufu ya bodaboda😂😂 🙌Ungekua boda angekujua kwani Pikipiki huwa unaweka mfukoni ukienda kula? Kwanza bodaboda mna harufu zenu hata ukikatiza mita 300 anakujua
Kwa kweli, radhi iombwe tuHapo mafundi utuombe radhi maana pesa yetu inatoka at once na sio kusubiri mwisho wa mwezi mzee,tafadhali sana[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
alikuwa kabila gani, sio manka kweli huyo? ulifeli wapi mzee, ungemwambia nafanya kazi TRA, au BOT.Kuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.
Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.
Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.
Mkiskia jobless si ndio mwisho wa kujibu smsMbona ni jambo la kawaida kuuliza mtu anafanya kazi wapi?unampa hata muhusika uhalisia wako ajue wewe ni mtu wa caliber gani,je kama wewe ni jobless au hufanyi kazi halali?
Point hiiAmekuuliza swali la msingi sana na nia yake wala sio mbaya kama unavyofikiria. Kama ameona unaonyesha nia kwake kwa nini asiulize habari zako ili aweze kupata information kamili kwa ajili ya kufanya maamuzi.
Kwa ufupi wewe ndio umejistukia na ungemweleza tu kazi yako ili afanye maamuzi sahihi kwa wakati sahihi
Wakati niko kijana "barobaro" niliwahi kukutana na dada mmoja mzuri sana mwanafunzi wa chuo kikuu, tulizoeana nikamtongoza nae akaniuliza unafanya kazi gani (nilikuwa benki) nikamdanganya mimi ni fundi majenerata (nilijishusha nimuone).
Yule dada alinikubali ingawa sikumuoa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sometimes ukiwa mkweli au ukijishusha unaweza kupata mtu sahihi
Kwa hiyo sisi mafundi jenereta za benki tunakuwepo kwenye kundi gani? Si tunafanya kazi benki pia?Amekuuliza swali la msingi sana na nia yake wala sio mbaya kama unavyofikiria. Kama ameona unaonyesha nia kwake kwa nini asiulize habari zako ili aweze kupata information kamili kwa ajili ya kufanya maamuzi.
Kwa ufupi wewe ndio umejistukia na ungemweleza tu kazi yako ili afanye maamuzi sahihi kwa wakati sahihi
Wakati niko kijana "barobaro" niliwahi kukutana na dada mmoja mzuri sana mwanafunzi wa chuo kikuu, tulizoeana nikamtongoza nae akaniuliza unafanya kazi gani (nilikuwa benki) nikamdanganya mimi ni fundi majenerata (nilijishusha nimuone).
Yule dada alinikubali ingawa sikumuoa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sometimes ukiwa mkweli au ukijishusha unaweza kupata mtu sahihi
Huyo mwanamke anajielewa...kukuuliza kuwa unafanya kazi gani lilikuwa Jambo zuri...maana kazi ni kipimo Cha utu...angedharau kazi yako hapo ulikuwa na haki ya kuacha kumtongoza....hata Adam alipewa bustani na MUNGU ailime kabla ya Hawa kutuchafulia Hali ya hewaKuna mdada mmoja nilikutana naye kwenye mgahawa Wa mama ntilie akiwa kama mpishi na muhudumu, alikua mrembo nikaona huyu akinikubali Na tukiendana, atanifaa for long term relationship even marriage if possible..na nlivomu-approach huyu dada sikujitutumua na kujifanya nina pesa.
Nikaanza kujifaragua kwake nkamshobokeea, nikaflirt naye, though sikumwambia nia yangu on the spot, na sikumwomba namba, ingawa yeye alijua Namaanisha nn, which brings me to third paragraph.
Siku iyo nimeenda kwenye mgahawa wake kula, mdada ananiuliza nafanya wapi kazi wakati sijawahi kukopa wala kumuomba chakula kwake, taa nyekundu Iliwaka kichwani kwangu, nikasema mapema hivi anauliza nafanya wapi kazi (kiuhalisia mm bodaboda), Kaniona danga au? Kwann asiniulize wazazi wangu, ukoo wangu, ndugu zangu, hobbies zangu, straight to the point akaniuliza nafanyia wapi kazi, nikamjibu kuwa ntamwambia siku nyingine.
Ghafla nilikata mazoea na huyo dada..Na mgahawani kwake sikwenda tena na plan ya mm kumtongoza niliihairisha maana nliona Hana hisia na mm, baadae atakuja nichuna pesa hlf asepe, sababu mapema yote anauliza nafanyia wapi kazi Ili aone atanipiga mizinga ya tshs ngapi.