Shunie humu hakuna ndoa sijawahi kuwaza hilo ila jua humu utaliwa utachezewa watakukimbia nimesanuka mapema
Hahahahaha haya mama nacheka kama mazuri vile, kama ushajua yote hayo unaepuka tu kimya kimya waswahili wana msemo wao debe tupu haliachi kutikaMimi sijaliwa humu wala sijaumuzwa nimeona tu huku hakuna dili kila anayekuja hanipendezi yanini nikae kimya kila.mtu anakuja na vijistress wengine wamejichokea wengine ngono tu wengine hawajui wanachokitaka yaani sasa kwanini uhangaike ningeliwa nisingeongea ninaibu
Nani anahaja ya kuwachuna sijawahi kumchuna mtu humu kwa maana n ndoto kupata mwenye atm licha akatoeUlifikiri wanaume wa JF ni atm mashine?
Yan umenieka pending?? Ukiachwa huko huku usikaribienasubiria hapa akikataa nakuja kwako yu know
NakaziaNdoa zipo humu mbona watu huwa wanaoana sio wanaume wote wabaya humu mpenzi huyo mmoja asikufanye uone wanaume wote wa jf wabaya
Na kweli humu makahaba tu yamejaa wanaume nope zerooooWanaume tupo ila acheni kupaparikia makahaba
Tatzo lipo kwa wote bro,,Hapana naandika ukweli tu bro
Khaaaa sasa sisi tusigongeane glass sababu mwenzetu analia acha maisha mengine yaendelee tuYaani atubariki kwa viwango vya kimataifa tuushangaze ulimwengu,..ooh eeimeeeen,..cheers babe[emoji482][emoji482]
yani mwenzenu analia huku nyie mnagongeana glasi tu.
this is bongo soon
Ndio nalangu jambo nasiwataki wala siajaonaHuyu ana lake jambo na twalijua hilo
Kabisa rafiki Time healsNa hayo ndio mapenzi, kutotenda kile ambacho ukitendewa roho itakuuma, tatizo tunajisahau sana na yakitokea kama haya tunasema ni changamoto tu za kimahusiano, ameshaanguka anyanyuke ajifute vumbi maisha lazima yasonge
Ajiulize tu kabla ya huyo alikua anaishije? Kwa nn ashindwe kuishi baada ya yeye kuondoka? Muda utamponya atasahau tu
Nakazia
Kwa sasa ni ngumu nimechoka tu kuwa na watu siohata mimi hunitaki??
Yeye analia leo,.wengine tulilia jana,..maisha lazima yaendelee chief,.yani mwenzenu analia huku nyie mnagongeana glasi tu.
this is bongo soon
Yap, na hayo ndio maisha kujifunza unapokosea kujifunza kutokana na makosa hata kama s yako tunatakiwa kujifunza kupitia wengine,Kabisa rafiki Time heals
Ukichukua muda wa kutafakari wapi hapakuwa sawa, lazima utasonga mbele na baadae yako itakuwa bora kuliko zamani yako
Wengi walise.ma hivyo hakuna kituMnakuwa na haraka pupa na kuchagua sana yakiwakuta mnashusha lawama wanaume tupo tumetulia zetu ngoja tu siku mtaamini
Nakazia mm na gundi kabisaaAnaweza pata mwingine ni mzuri zaidi atajiuliza mbona mwanzo nilipata ambaye haeleweki kikubwa ni uvumilivu tu halafu hutakiwi kukurupuka
Kabisa hua tuna haraka na ndivo ilivoAnaweza pata mwingine ni mzuri zaidi atajiuliza mbona mwanzo nilipata ambaye haeleweki kikubwa ni uvumilivu tu halafu hutakiwi kukurupuka
Sijui ila kwangu no more food in jf sure nimechoka nimesarendaSio wote wameoa bhana. Kuna vijana mabrobaro wengi sana tena vingine vidogo sana kushirikishwa haya mambo.
Kuna wengi single and honest, single but occupied, single committed, single for their own sake.
ANGALIZO: Kuna fisi wanasubiri mzoga udondoke wale washibe, wako wasioshiba nyumbani so lazima ajifanye anaenda dukani kumbe anaenda mama ntilie kuongeza chapati mbili na supu.
Wengi uliobahatika kuwaona sio jamii yetu sisiWengi walise.ma hivyo hakuna kitu
Picha gani?Kwa ili picha ulorusha humu utatumika sana kama utakuwa mwepesi ila pole sana