Muebrainia Halisi
Member
- Nov 24, 2018
- 48
- 224
Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia Morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Upadates:
Dar es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia Morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Upadates:
Dar es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank