Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Hizo gari zenu zote mnazozitaja hazipo katika ubingwa wenu wa barabarani, iwe horsepower/cc, uzito au ukubwa wagari, maana naona mnazungumzia kuwahi Mwanza kushindana na Dualis
hapa tnaona Toyota Yaris GRMN akiwachapa wote

Best hot hatches 2020
  • Honda Civic Type R.
  • Renault Megane R.S.
  • Ford Fiesta ST.
  • Focus ST.
  • Toyota Yaris GRMN.
  • Volkswagen Golf R Performance Pack.
  • Hyundai i30N Performance.
  • Volkswagen Up GTI.
Ipo wapi baba lao Marcedes Benz A 45 S AMG 4Matic?
 
Hiyo iliyopita ilikuwa Vw mjerumani? Hii ni crown?

lakini huyu pia 180 siyo padogo
sawa kabisa VW anampita Crown anayesifiwa kwa speed km kasimama
Katika Gari ndogo ambazo ndizo tunazozizungumzia kwa mwendo tuachane na hayo ma L/Cruiser hayawezi kitu, inasemekana katika miaka yote mfululizo VW GTI haiawahi toka katika 5 bora na inasemekana ana speed hadi maili 155 kwa saa (sio kilomita?) ana gear 7 auto / 6 manual sasa Crown akatage tu pale
10 Fastest Compact Cars
  • MINI John Cooper Works Hardtop.
  • Volkswagen Golf R.
  • Honda Civic Type R.
  • Subaru WRX STI.
  • Ford Focus RS.
  • BMW M2.
  • Mercedes-AMG CLA 45 Coupe.
  • Audi RS 3.
  • Is the Golf GTI fast?
    2020 Golf GTI Performance Specs

    The engine gives the 2020 Golf GTI a 0-60 acceleration time of 5.9 seconds. It has a top speed of 155 mph. Whether you choose the 7-speed DSG dual-clutch transmission or the 6-speed manual, you'll have an exceptionally responsive vehicle on your hands.
 
Ipo wapi baba lao Marcedes Benz A 45 S AMG 4Matic?
Bavaria Marcedes yupo kwenye list kule nafasi ya 7 ila kuna mwaka VW alitupwa lkn wakasema bado ni the best saller na kuna mahali naona yupo Africa kusini na Marekani tu, lkn hapa Tanzania GTI wapo
The best performance car and hot hatch deals
  • Ford Fiesta ST. ...
  • Mercedes-AMG C63. ...
  • Mercedes-AMG GLA45. ...
  • Mini hatchback. ...
  • Nissan 370Z. ...
  • Nissan GT-R. ...
  • Renault Megane RS. ...
  • Volkswagen Golf GTI. The GTI is one of the original hot hatchbacks and remains one of the very best on sale.
  • hot hatch - Пошук Google
 
Cheki video moja jamaa wa audi r8 akisumbuana na 1l bike kulikuwa na yamaha R1 nahisi na honda cbr 1000 ....ile audi iko njema wanamwagika sana


Au cheki video za ule uwanja nurbugring ni hatar
Mkuu kuna mtu anaitwa Hiromu Naruse (Meister of Nurburg) huyu ndie kafanya makubwa sana Toyota na Nurburging. Alikuwa ni fundi na dereva wa kutest gari za Toyota.

Huyu kawachachafya sana wazungu akiwa na Toyota mpaka wazungu wakaheshimu uzao wa Toyota Gazoo.

Wajerumani wakampa heshima ya kumuita Meister (Master) of Nurburg. Huyu ndio moja ya waasi wa tunning za kibabe za Toyota Gazoo Racing Meister of Nurburging (GRMN) na alitia mkono kwenye Supra toleo la mwisho lenye JZ Engines.


Huyu mwamba aliogopeka sana alipewa test drive mpaka na kampuni nyingi za magari.
Alifariki akiwa ana test Lexus LFA baada ya kugongana na BMW.
 
Dar to Singida ni zaidi ya KM 540.

Engine CC 1990.

Mwendo wa ligi.

Utumie mafuta ya Tsh 120,000 tu Dar to Singida?!!!!

I am Doubtful!
Inawezekana ni kweli mkuu..

Km540 ÷ Lita 55 unapata 9.8 tukikadiria imakuwa 10...

Hii inamaana kila KM10, alitumia lita 1 ya mafuta vile alikuwa anafanya ligi..

Ingekuwa si ligi huenda angepata Km 12 mpka 14 kwa lita 1..
 
Mkuu kuna mtu anaitwa Hiromu Naruse (Meister of Nurburg) huyu ndie kafanya makubwa sana Toyota na Nurburging. Alikuwa ni fundi na dereva wa kutest gari za Toyota.

Huyu kawachachafya sana wazungu akiwa na Toyota mpaka wazungu wakaheshimu uzao wa Toyota Gazoo.

Wajerumani wakampa heshima ya kumuita Meister (Master) of Nurburg. Huyu ndio moja ya waasi wa tunning za kibabe za Toyota Gazoo Racing Meister of Nurburging (GRMN) na alitia mkono kwenye Supra toleo la mwisho lenye JZ Engines.


Huyu mwamba aliogopeka sana alipewa test drive mpaka na kampuni nyingi za magari.
Alifariki akiwa ana test Lexus LFA baada ya kugongana na BMW.
Dhuu pole yake ..i hope wanafidia familia yake,,,...ile bara barabara huwa nawishi nipite nikiwa kwenye 911 hiwa sijui wanatoza sh ngap kuendeshwa ... niliona 911 imetumia dk 6
 
Dhuu pole yake ..i hope wanafidia familia yake,,,...ile bara barabara huwa nawishi nipite nikiwa kwenye 911 hiwa sijui wanatoza sh ngap kuendeshwa ... niliona 911 imetumia dk 6
Meister Naruse umri ulikuwa umeenda alikuwa 60+, alikuwa ana kauli tata akipewa test drive "gari hii inaweza kutorudi tena ilipotoka."

Nurburg unalipia kulingana na circuit utayotaka kuendesha gari.
 
Mkuu samahani kidogo hyo subaru ulio ichapa ni ipi.maana subaru ni mziki mzito au dere mchovu
Nilitaka kuuliza hivyo, je dereva subaru alikuwa willing na ligi au ulipita ukaenda zako na ye alikuwa na issue zake
 
Inawezekana ni kweli mkuu..

Km540 ÷ Lita 55 unapata 9.8 tukikadiria imakuwa 10...

Hii inamaana kila KM10, alitumia lita 1 ya mafuta vile alikuwa anafanya ligi..

Ingekuwa si ligi huenda angepata Km 12 mpka 14 kwa lita 1..

Ingekuwa si ligi angepata km 12 hadi 14 kwa Lita?!! Engine CC 1990.

Kumbe ni sawa na Toyota Vits tu yenye engine cc 1290.
 
Ingekuwa si ligi angepata km 12 hadi 14 kwa Lita?!! Engine CC 1990.

Kumbe ni sawa na Toyota Vits tu yenye engine cc 1290.
Mkuu nissan Dualis ina kabodi kadogo engine kubwa, hibyo engime haipati mzigo mkubwa..

Kwa uendeshaji mzuri highway tuchukulie speed 90 mpwka 110 hiyo gari anaweza kupata km 12-14 kwa lita..

Gari lolote ukicheza vizuri na RPM bila ligi utaona unafuu mkubwa sana wa mafuta..

Najua itakuwa ngumu kukubali lakini huo mdiyo ukweli..

Mwisho wa siku tuelewe magari ya siku hizi si yale ya zamani, unaweza kuona cc kubwa lakini mafuta yanatumika kawaida kulingana na teknolojia zilivyoboreshwa
 
Mkuu nissan Dualis ina kabodi kadogo engine kubwa, hibyo engime haipati mzigo mkubwa..

Kwa uendeshaji mzuri highway tuchukulie speed 90 mpwka 110 hiyo gari anaweza kupata km 12-14 kwa lita..

Gari lolote ukicheza vizuri na RPM bila ligi utaona unafuu mkubwa sana wa mafuta..

Najua itakuwa ngumu kukubali lakini huo mdiyo ukweli..

Mwisho wa siku tuelewe magari ya siku hizi si yale ya zamani, unaweza kuona cc kubwa lakini mafuta yanatumika kawaida kulingana na teknolojia zilivyoboreshwa

Mkuu nimekupata vyema.
 
Jamani Dar-es-salaam mpaka Singida ni 700km lazima angeongezea mafuta hata Dodoma maana pale ni 450km toka Dar halafu pana 100km Manyoni ongeza Manyoni singida 145km kama kilomita 695 kwa Google Map.
mm nilichoka tu zile faini za 100,000/ kwa penalty za Traffic nikaomba ndimu niweke kwenye chai yangu sasa mgari una cc2000 hata uwe kama Tesla au Vvti kilomita 540 hutoboi lita 55
Inawezekana ni kweli mkuu..
Km540 ÷ Lita 55 unapata 9.8 tukikadiria imakuwa 10...
Hii inamaana kila KM10, alitumia lita 1 ya mafuta vile alikuwa anafanya ligi..
Ingekuwa si ligi huenda angepata Km 12 mpka 14 kwa lita 1..
Dar to Singida ni zaidi ya KM 540.
Engine CC 1990.
Utumie mafuta ya Tsh 120,000 tu Dar to Singida?!!!!
1607938563117.png


1607938952349.png
nge
 
Waliondesha Mercedes waulizeni hasa zile za 320/kph. Mtambo huo. Ukikimbia kifua kinagusa chini!
 
Jamani Dar-es-salaam mpaka Singida ni 700km lazima angeongezea mafuta hata Dodoma maana pale ni 450km toka Dar halafu pana 100km Manyoni ongeza Manyoni singida 145km kama kilomita 695 kwa Google Map.
mm nilichoka tu zile faini za 100,000/ kwa penalty za Traffic nikaomba ndimu niweke kwenye chai yangu sasa mgari una cc2000 hata uwe kama Tesla au Vvti kilomita 540 hutoboi lita 55


View attachment 1649759

View attachment 1649761nge
Kwa kesi ya Km 700 sina pingamizi, ila kama alitembea hizo km 540 kweli, inawezekana kuna ukweli fulani
 
Kwa kesi ya Km 700 sina pingamizi, ila kama alitembea hizo km 540 kweli, inawezekana kuna ukweli fulani
Dsm - Manyoni ndio 550km, sasa kuna kakijiji cha wale wenye Ukoma tangu Mkoloni kipo 540km kabla ya Manyoni sikikumbuki jina labda Google, lkn km alikuwa na zile reserve baada ya taa kuwaka kuna lita 10 inawezekana kwa lita 60 x 12km/l ni 720 (kwa gari za cc1490 au Dualis iwe ina Vvti kwa hizo cc1990)
nakubali jamaa alifika
 
Back
Top Bottom