Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Mmenichekesha sana na comment zenu looh.
Kiufupi napenda sana kundesha gari na napenda ligi ila kuna muda hjwa nasema je likitokea la kutokea.......!! Naanza kiwakumbuka wote waliokwishaniambia wananipenda, nafikiria vile watakuwa wanalia kwa uchungu nikiwa nimekufa kwa ajali......

Basi narudisha kisigino nyuma naanza kwenda mwendo wa kibalozi km 80 pale inapobidi, na 50 mpaka 30 pale nnapotakiwa kutii.

Na safari za nje ya Dar nikiwa naendesha binafsi huwa naifanya sehemu ya starehe, ambapo mwendo usio na ligi unaniondolea stress za kuovertake na kukaza tako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una kauoga bado
 
Kwanza hiyo gari bongo ipo?? M5 nyingi bongo sio V8..nyingi Cc 2500 engine ya kawaida saana..bongo ata nne V8 hazifiki.
Nimeshangaa pia hyo V8 Twin turbo M5 ni very expensive jamaa kishua ka anasukuma hyo
 
Hujakutana na baharia kwenye Vanguard mkuu. Unajua ligi nayo inahitaji uzoefu na utaalam barabarani. Usikanyage tu mafuta ili mradi,kuna kubalance kijanja,mtu unapitwa sehemu hukuitarajia. Japo Nissan nyingi naziheshimu kwenye kukaa barabarani,hazihami. Unapoituma inakanyaga pale pale. Sawa na OPA kwenye Toyota,inatulia nayo barabarani

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Twende mbele turudi nyuma.

Porsche 911 Turbo S ni 3.8L ila performance yake ni levels za Lamborghini au Ferrari.

Hata hiyo BMW M5 haifiki hizo levels.

Mimi kwa kweli porsche ikifananishwa na magari mengine najiskia vibaya sana


Sijui kwann ila ndo hvo


Porsche ni gari ambalo wanakwambia a proper petrolhead lazma uwe nalo


Wale jamaa salute sana

Kipindi kile top gear wanazitest holy trinity mclaren p1,ferrari la ferrari na porsche 918
Mclaren na ferrari walizituma gari zao na team of experts ili waangalie gari liperform katika ultimate performance
But porsche were like naah

Wakatoa gari tu no team no bla bla

Guess what...porsche ikamake a track record kubwa zaidi ya mclaren ambayo ina 902 horses na ferrari yenye 950 horses

Afu porsche yeneyewe ina 880 approximating (nmesahau)

Porsches are beasts
Chris harris from top gear approves
 
Mimi kwa kweli porsche ikifananishwa na magari mengine najiskia vibaya sana


Sijui kwann ila ndo hvo


Porsche ni gari ambalo wanakwambia a proper petrolhead lazma uwe nalo


Wale jamaa salute sana

Kipindi kile top gear wanazitest holy trinity mclaren p1,ferrari la ferrari na porsche 918
Mclaren na ferrari walizituma gari zao na team of experts ili waangalie gari liperform katika ultimate performance
But porsche were like naah

Wakatoa gari tu no team no bla bla

Guess what...porsche ikamake a track record kubwa zaidi ya mclaren ambayo ina 902 horses na ferrari yenye 950 horses

Afu porsche yeneyewe ina 880 approximating (nmesahau)

Porsches are beasts
Chris harris from top gear approves
Ipo na 640 hp.

0-60 inakupa 2.2s
1/4 mile inakupa 10.1s

Hizi ni takwimu za hyper cars.

Japo bei yake ni mkasi sana.

Sept 2022, nainunua hii gari ikiwa brand new.
 
Ipo na 640 hp.

0-60 inakupa 2.2s
1/4 mile inakupa 10.1s

Hizi ni takwimu za hyper cars.

Japo bei yake ni mkasi sana.

Sept 2022, nainunua hii gari ikiwa brand new.
Aisee mkuu upo nje ya bongo au unaileta bongo hii hii???😂😂
 
Ipo na 640 hp.

0-60 inakupa 2.2s
1/4 mile inakupa 10.1s

Hizi ni takwimu za hyper cars.

Japo bei yake ni mkasi sana.

Sept 2022, nainunua hii gari ikiwa brand new.
Sema ukilinganisha na ferrari labda na lamborghini hv
Bei yake iko pouwa

Goodluck hio 2022 utuletee mrejesho humu
Tushachoka hype za crown,brev's na tako la nyani😂😂
 
Mkuu Subaru Impreza unazungumzia hizi hatchback zilizojaa hapa Bongo.

Kuna Subaru Impreza WRX na Subaru Impreza WRX STI hawa ndio wanyama na watu wachache ndio wanazo.

Naomba niambie wapi wanauza hizo WRX na STI kwa bei nafuu.
Si ndo hizo mnafanyia tunning & mapping?
 
Sema ukilinganisha na ferrari labda na lamborghini hv
Bei yake iko pouwa

Goodluck hio 2022 utuletee mrejesho humu
Tushachoka hype za crown,brev's na tako la nyani[emoji23][emoji23]
Mungu atupe uhai ntakuita unisaidia kuitoa kwa dealer mpaka kwangu.
 
Boss sehemu mbaya ni katikati ya gairo na dumila tuu ndio barabara imesagika sanaaa,.

Nimesema nilitenga kiasi cha faini 150,000 na nilipigwa 100,000
Nina jamaa namjua yeye anatembea kuanzia 120 tu, yeye ni full light, hajali faini safari 1 anaweza kuta ana 200k+ faini tu
jamani faini ni 30,000/ na wanaangalia km una deni la nyuma km limevuka au ni 60,000/ wanazuia gari wakupeleke Mahakamani sasa mwenzetu walikutandika 3 na 10,000. juu
 
Huyo wa crown mzembe sana, nikiwa na crown hamna toyota (ukiitoa v8) au Nissan itakayoniacha,
Dualis haiwez kuipita Subaru Forester,mimi nakataa. Ingekua Nissan Fuga, anaweza kupambana na kidogo na Subaru kama Forester. Inawezekana dereva wa Subaru hakua na haraka au hakutaka ligi.
Hapa huyu mwanaume alikuwa amechill taliban naona mkuu wa wapi tukurushe huku tulipo uyajue magari kidogo bongo nyoso hii hii[emoji23][emoji23]
kwa haya magari yetu ya Bongo sijaona km Mjerumani VW iwe sedan au pick up labda huko nje ya TZ

cc grizzman, @Muebrainia Halisi
 
Hizo gari zenu zote mnazozitaja hazipo katika ubingwa wenu wa barabarani, iwe horsepower/cc, uzito au ukubwa wagari, maana naona mnazungumzia kuwahi Mwanza kushindana na Dualis
hapa tnaona Toyota Yaris GRMN akiwachapa wote

Best hot hatches 2020
  • Honda Civic Type R.
  • Renault Megane R.S.
  • Ford Fiesta ST.
  • Focus ST.
  • Toyota Yaris GRMN.
  • Volkswagen Golf R Performance Pack.
  • Hyundai i30N Performance.
  • Volkswagen Up GTI.
 
Back
Top Bottom