Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Ukiingia youtube kuna jamaa anajiita AutotopPnL.

Huyu jamaa ana balaa si kitoto. Anaendesha gari zake Autobhan.

Mjinga speed zake kuanzia 180kph kuna wakati anafikisha mpaka 300kph comfortably.

Aliwahi maliza kisahani cha Bentley Flying Spur zaidi ya 330kph.

Cheki video moja jamaa wa audi r8 akisumbuana na 1l bike kulikuwa na yamaha R1 nahisi na honda cbr 1000 ....ile audi iko njema wanamwagika sana


Au cheki video za ule uwanja nurbugring ni hatar
 
Koda moja 30000 kwa matatu utakatwa 90000 na manne no 120,000 sasa sijui no yupi umemalizana na hiyo 10,000
 
Cheki video moja jamaa wa audi r8 akisumbuana na 1l bike kulikuwa na yamaha R1 nahisi na honda cbr 1000 ....ile audi iko njema wanamwagika sana


Au cheki video za ule uwanja nurbugring ni hatar
Sijawahi ona pikipiki inakimbia kama Kawasaki Ninja h2h.
 
Cc sio sababu pekee ya gari kukimbia.

CC sio sababu ila Dualis hawezi kumuacha Vanguard. 2AZ ina nguvu sana, angalau kwenye Vanguard naweza kushuhudia, na gearbox yake gia 7 si mchezo
 
CC sio sababu ila Dualis hawezi kumuacha Vanguard. 2AZ ina nguvu sana, angalau kwenye Vanguard naweza kushuhudia, na gearbox yake gia 7 si mchezo
Kuna watu wengine wamejiwekea limit ya speed wanayoendesha maana wana uelewa wa hali zao na magari yao pia. Hivyo kuna wakati we unaweza kumuwekea ligi mtu ambaye yeye hana habari hizo.
 
Mafundi wabongo ndiyo wakijinga...kawaulize Wajapani......wakishindwa kutengeneza kitu hawataki kukubali kuwa wameshindwa...wanaaza kusingizia kuwa hakifai.....

Ingekuwa ni gari ya kijinga ungeshasikia recall huko kiwandani na leo hii kusingekuwepo na Xtrail Generation ya tatu..
Asee hii generation ya 3 iko poa sana
 
Huyo ni tahira sasa hz linafika hata 180 kweli[emoji848] mwenye hz anaachwa na noah lami vizuri tu ...

Tushatoka na noah DT ...tulikuwa nane ile tumesimama sehemu ikapita cruza ule upepo hadi gari ikayumba ..huwezi amin less than a minute dere wa noah akaanza iomba cruza tukaipita
Mkuu hiyo HZ 4.2 L nenda kimahesabu usishabikie magari yajue na kuyaelewa.
 
Babu hii M5 4.4L V8 ina 523 HP hakuna bwiga yoyote mwny landcruiser ataekushika ukinyosha goti....

Hongera mkuu mana bei ya hyo kitu used tu inaeza fika milion 200 kuileta bongo

Kwanza hiyo gari bongo ipo?? M5 nyingi bongo sio V8..nyingi Cc 2500 engine ya kawaida saana..bongo ata nne V8 hazifiki.
 
Kwanza hiyo gari bongo ipo?? M5 nyingi bongo sio V8..nyingi Cc 2500 engine ya kawaida saana..bongo ata nne V8 hazifiki.
Hapa huyu mwanaume alikuwa amechill taliban naona mkuu wa wapi tukurushe huku tulipo uyajue magari kidogo bongo nyoso hii hii[emoji23][emoji23]
PicsArt_12-11-09.44.51.jpg
 
Back
Top Bottom