[emoji28][emoji28][emoji849][emoji28][emoji23]JF kila mtu tajiri, kila mtu qnaishi Dar, Kila mtu ameshawahi kukaa Ulaya/USA, Kila mtu ana ndinga kali,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Unaweza ukawa unabishana na mtu hapa, kumbe ni mlisha nguruwe nyumba ya pili kwa mzee Mosha hapo..[emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]
Mie saahivi ndoto yangu ni kuimiliki VW Polo GTi, ili niwanyooshe wote hao kina Subaru and co. [emoji23]
Au nasema uongo mkuu feyzal mzee wa VW [emoji3]
kuna broo wangu alitoka Dar kuja mwanza juzi kati katumia wese la 250k full tanki mbiliFull tank tsh 120,000 lita55
Inawezekana.kuna broo wangu alitoka Dar kuja mwanza juzi kati katumia wese la 250k full tanki mbili
Ushauri mzuri...Nissan dualis inakuja na gear box ya cvt (yaan continuous variable transmission) gear box hii ubalishaji wake wa gear ni tofauti na normal automatic gear box.. so with cvt gari inachanganya fasta na hata wakati wa ku overtake huwazi... Changamoto na angalizo... Cvt gearbox za nissan ni very weak kwakua hazijawa designed for high engine torque (yaan kukanyaga gas pedal mpaka chini ili gari ichangamye fast) zimekua designed for fuel efficiency.. so be careful maana uta kuja kuharibu gearbox yako prematurely..
Pia for proper gear box mantainance ya nissan dualis, hakikisha una tumia recommend gearbox fluid iliyo andikwa kwemye deepstick au user manual yako.
HahahahahahahahaMimi ni balozi mkuu
Kwa ufupi, hadithi ya jamaa SIYO KWELI kwa mazingira yetu kwa sasa.Umewaza kama mm mkuu kwenye kusimamishwa na traffic it's means kuna maswali na maongez yawepo mpaka ww kuwaonga sio chini ya dakika kumi na zaid maana haiji akili usimamishwe na traffic ww ushatoa pesa unawapa ni hard Lazma wakuhoji na kwa kiasi alichotumia inamaana alisimamishwa Sana barabarani na huko ni wastage of Time , je kivipi aliweza kucover huo mda mpaka anafika Dar inahitaji kufikiri kwa kina umetuacha na alama ya kuuliza na Nissan Dualis
We kama mimi mkuuGari yangu bora kwa muda woote ni subaru,soon navuta Ford renger niwe imara mjini
Balozi wa nyumba kumi, Kanye ulale mbupu weMimi ni balozi mkuu
Ndugu nissan patrol td42 bora hata 1hz inajitahidi labda zile za petrol au turbo lakini mdau kasema ni DFP hilo ni kavu na halina maajabu.Huyo mwenye Nissan patrol hakutaka tu kukimbiza gari,angetaka hata mkiani usingfuata.
Hapo umemaliza mkuuGermany kule autobhan ...hio sijui cruza v8 ni takataka interms of speed ..kule niliona 1L bike zinasumbuliwa Sana ... Hadi waliacha production ya 600cc bike 4cyl kwamba hazina speed ila speed ake huku bongo sioni wa kukufata [emoji16] ila kule ni ndogo sana hiyo...cha ajabu pia watu huku wanapanda gari ya cc 650 wako wa nne eg alto , terious kid ...hizo kule ni cc za piki piki ....bongo mtu akiwa na honda 250 anaona yuko masaa[emoji16]
Alichosema ni kweli Dualis ni gari ya kimanzi! Ilivyokaa kaa tu imekaa kama kigari flani cha mdada classic kama teller wa bank au afisa mahusiano Voda!Ila watu wa humu asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa una dharau..[emoji119][emoji119][emoji119]..[emoji28]Alichosema ni kweli Dualis ni gari ya kimanzi! Ilivyokaa kaa tu imekaa kama kigari flani cha mdada classic kama teller wa bank au afisa mahusiano Voda!
HahahahJamaa una dharau..[emoji119][emoji119][emoji119]..[emoji28]
Umelenga mule mule mzee wa opa!!! HahahahAlichosema ni kweli Dualis ni gari ya kimanzi! Ilivyokaa kaa tu imekaa kama kigari flani cha mdada classic kama teller wa bank au afisa mahusiano Voda!
Bora umetupa maneno sisi tunaomiliki Baskeli za swalaAlichosema ni kweli Dualis ni gari ya kimanzi! Ilivyokaa kaa tu imekaa kama kigari flani cha mdada classic kama teller wa bank au afisa mahusiano Voda!
Acha nikaamshe chombo leo nna mizukaUmelenga mule mule mzee wa opa!!! Hahahah