Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Umenisahau shabiki wa VW ambapo hata BMW anakatwa kasimama wakati kafuta kisahani cha 260
View attachment 1831188
Ni swala la Hp na top speed.

Gari yenye top speed ya 300kph na 320hp lazima iipite gari yenye top speed ya 260kph na 250hp.

Simple maths.

Ila humohumo BMW kuna midude inachomoka hakuna gari yeyote kwenye VW lineup inazikuta. Labda zikafanyiwe stage 4 tuning.
 
Mwingine huyu. Kwa hiyo siku ukiendesha Murano utatongozwa sio?
Mimi mmojawapo gari za Nissan km Murano, x-trial hata unambie niendeshe na Tinted SIIENDESHI bora nitembee kwa miguu au Bajaj
Mwanamume lazima ujisikie unapoanza safari za cross country Mtwara Bukoba, Mbeya Moshi ukikaa kwenye siti umekaa.
Lakini hizi gari za kwenda Kanisani, sokoni au kitchen party ni Mama aniendeshe au nijipumzikie aende na watoto km ni lake, la sivyo nitaliuza
 
Mimi mmojawapo gari za Nissan km Murano, x-trial hata unambie niendeshe na Tinted SIIENDESHI bora nitembee kwa miguu au Bajaj
Mwanamume lazima ujisikie unapoanza safari za cross country Mtwara Bukoba, Mbeya Moshi ukikaa kwenye siti umekaa.
Lakini hizi gari za kwenda Kanisani, sokoni au kitchen party ni Mama aniendeshe au nijipumzikie aende na watoto km ni lake, la sivyo nitaliuza
Sasa tatizo lako ni uwezo wa gari katika safari ndefu au kupata hisia za kike ukiwa unatumia aina hiyo ya gari?
 
Ulifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.

Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Kwa mara ya kwanza UNAANDIKA points
 
Ulifeli mzee baba[emoji28][emoji28][emoji28] usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.

Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
a.k.a unaweza sema gari zinye mans looks.. muonekano wa kiume
 
Yani we dume zima ukaenda kununua Murano aisee [emoji28][emoji28][emoji28] ulifeli kwa hakika ile gari imekaa kimanzi purely. Yani gari ya kimama mno mzee baba unaonekana umevaa sketi na wigi ukishuka kwenye Murano!
Ongeza na ist, nadia na harrier tako la nyani. Ni magari yanayowapendezea zaidi dada/mama/wake/shangazi zetu wakiyakalia[emoji851][emoji851]
 
Mimi mmojawapo gari za Nissan km Murano, x-trial hata unambie niendeshe na Tinted SIIENDESHI bora nitembee kwa miguu au Bajaj
Mwanamume lazima ujisikie unapoanza safari za cross country Mtwara Bukoba, Mbeya Moshi ukikaa kwenye siti umekaa.
Lakini hizi gari za kwenda Kanisani, sokoni au kitchen party ni Mama aniendeshe au nijipumzikie aende na watoto km ni lake, la sivyo nitaliuza
Kwahio mzee baba we unaendesha gari gani?
 
Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
Vx v8 ipi 100 series au 200 af injini ipi 2uz au vdj
 
Audi mliokuwa nayo inawezekana ina horses ndogo sana, probably chini ya 200hp. Wakati LC 200 VX V8 ana 300hp na kuendelea. Lazima awanyanyase.

Mngekuwa na Audi yenye 400hp na kuendelea lazima mngemsumbua huyo jamaa.

Ila hizo VX V8 zikikutana na wababe wenzao wanakuwa wapole tu.
We jamaa atleast Kuna neno umeongea Lina sanse unashindana na gar za class moja au Mimi nishawah shuudia vx 100 series yenze 2uz v8 engine inakatwa na Hilux d4d
 
Back
Top Bottom