wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Zile zilitengenezwa kwa majaribio ila waliowahi nunua zile toleo la mwanzo kabisa waliulax trail gari moja ya kijinga sana.....kaulizie mafundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile zilitengenezwa kwa majaribio ila waliowahi nunua zile toleo la mwanzo kabisa waliulax trail gari moja ya kijinga sana.....kaulizie mafundi
Hilo kalio linamzuzua mkuuWe jamaa huwa unaniota sana asee[emoji848][emoji848]
Mtu anafikiri akinunua harrier inabadili jinsia yake na kumfanya avutie wanaume wenzake. 😄Kwanza mjapan kaonesha mahali kuwa hizi gari ni za kiume au kike??
Yaaan wabongoo[emoji848]
Ni swala la Hp na top speed.Umenisahau shabiki wa VW ambapo hata BMW anakatwa kasimama wakati kafuta kisahani cha 260
View attachment 1831188
Mwingine huyu. Kwa hiyo siku ukiendesha Murano utatongozwa sio?Murano ni ya kike labda extail
Flabagasting[emoji1745][emoji1745][emoji849]Mtu anafikiri akinunua harrier inabadili jinsia yake na kumfanya avutie wanaume wenzake. [emoji1]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Mwingine huyu. Kwa hiyo siku ukiendesha Murano utatongozwa sio?
Mimi mmojawapo gari za Nissan km Murano, x-trial hata unambie niendeshe na Tinted SIIENDESHI bora nitembee kwa miguu au BajajMwingine huyu. Kwa hiyo siku ukiendesha Murano utatongozwa sio?
Najaribu kutafiti kwann ubongo wake unafikiri gari litamfanya ajisikie yeye ni mwanamama na ikitokea akawa anaendesha hilo gari akiona mwanaume akili yake itafikiri kitu gani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Mkuu unaua
Sasa tatizo lako ni uwezo wa gari katika safari ndefu au kupata hisia za kike ukiwa unatumia aina hiyo ya gari?Mimi mmojawapo gari za Nissan km Murano, x-trial hata unambie niendeshe na Tinted SIIENDESHI bora nitembee kwa miguu au Bajaj
Mwanamume lazima ujisikie unapoanza safari za cross country Mtwara Bukoba, Mbeya Moshi ukikaa kwenye siti umekaa.
Lakini hizi gari za kwenda Kanisani, sokoni au kitchen party ni Mama aniendeshe au nijipumzikie aende na watoto km ni lake, la sivyo nitaliuza
Kwa mara ya kwanza UNAANDIKA pointsUlifeli mzee baba😅😅😅 usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.
Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Unafeli man 😂😂😂 mie always namwaga madini 😅(niko maji leo)Kwa mara ya kwanza UNAANDIKA points
a.k.a unaweza sema gari zinye mans looks.. muonekano wa kiumeUlifeli mzee baba[emoji28][emoji28][emoji28] usirudie tena kuendesha gari za kimams kama murano na dualis! Huwez kuwa kidume ukiwa kwenye Murano.
Gari za kiume zina boxy shapes always kama xtrail, terrano, hardbody, navara ama nissan pathfinder na patrol. Toyota kama Vx v8, Prado, Surf, Kluger, Harrier dume ile! Ukigeukia Suzuki grand vitara, Mitsubishi outlander kwa mzungu Mercedes GL, Audi Q5 au Q7, Touareg, G Wagon,Discovery, Range Rovers, Land Rover,Escalade, Volvo xc90, Jeeps zote ikiongozwa na Grand Cherokee.
Ongeza na ist, nadia na harrier tako la nyani. Ni magari yanayowapendezea zaidi dada/mama/wake/shangazi zetu wakiyakalia[emoji851][emoji851]Yani we dume zima ukaenda kununua Murano aisee [emoji28][emoji28][emoji28] ulifeli kwa hakika ile gari imekaa kimanzi purely. Yani gari ya kimama mno mzee baba unaonekana umevaa sketi na wigi ukishuka kwenye Murano!
Wazazi wako wanakutegemeaSisi wa Single hatuna wa kumuacha
Kwahio mzee baba we unaendesha gari gani?Mimi mmojawapo gari za Nissan km Murano, x-trial hata unambie niendeshe na Tinted SIIENDESHI bora nitembee kwa miguu au Bajaj
Mwanamume lazima ujisikie unapoanza safari za cross country Mtwara Bukoba, Mbeya Moshi ukikaa kwenye siti umekaa.
Lakini hizi gari za kwenda Kanisani, sokoni au kitchen party ni Mama aniendeshe au nijipumzikie aende na watoto km ni lake, la sivyo nitaliuza
Vx v8 ipi 100 series au 200 af injini ipi 2uz au vdjHujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
We jamaa atleast Kuna neno umeongea Lina sanse unashindana na gar za class moja au Mimi nishawah shuudia vx 100 series yenze 2uz v8 engine inakatwa na Hilux d4dAudi mliokuwa nayo inawezekana ina horses ndogo sana, probably chini ya 200hp. Wakati LC 200 VX V8 ana 300hp na kuendelea. Lazima awanyanyase.
Mngekuwa na Audi yenye 400hp na kuendelea lazima mngemsumbua huyo jamaa.
Ila hizo VX V8 zikikutana na wababe wenzao wanakuwa wapole tu.
Ilikuwa 200 series, ila kuhusu engine sifahamu ilikuwa engine ganiVx v8 ipi 100 series au 200 af injini ipi 2uz au vdj