Mkuu mimi napigaga non stop masaa 11-13Piga mdogomdogo tu unafika kilaini,sio mambio yasio na msingi wakati huwahi abiria.
Kyela-Dar siku 2.
Unazima Iringa siku inayofata unaamsha Dar mchana ushafika.
[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]Nipo Dom next week nipo Dar ntakucheck tufanye ligi hadi msata vis bagamoyo
Moto wa kuotea mbaliMimi ndio kiboko cha V8. Naendesha Mercedes S Class. Top Speed 320. Engine 5L. Nikikupita usijaribu kuleta ligi, utapasua engine ya gari yako.Kwa kumalizia gari yangu ina number za kibalozi, kwa hiyo sehemu mnapotembea 50km/hr mimi natembeaga 100km/hr.
Hii gari naifaidi njia ya Arusha - Singida. Huwa naivuta na kuchezea 200-280km/hr. Barabara zilizobaki huwa nachezea 180-200.
Hiyo safari niliwah unga moja kwa moja nikasema sirudii tena huo ujinga..siku hizi huwa nalala Iringa, safari inaenda poa kabisa.Piga mdogomdogo tu unafika kilaini,sio mambio yasio na msingi wakati huwahi abiria.
Kyela-Dar siku 2.
Unazima Iringa siku inayofata unaamsha Dar mchana ushafika.
Mkuu umeshainunua!!?Ipo na 640 hp.
0-60 inakupa 2.2s
1/4 mile inakupa 10.1s
Hizi ni takwimu za hyper cars.
Japo bei yake ni mkasi sana.
Sept 2022, nainunua hii gari ikiwa brand new.
Hahahaπ€£π€£π€£Yan unamkuta mtu barabarani, unampita afu unaconclude ulikuwa unashindana nae.
Kweli kabisa hasa safari za usiku raia wanajiachia sanaKwenye huu uzi natabiri bwana atatwaa soon, hizi ligi za barabarani siyo za, ku entertain. Kwa barabara zipi?
Kabisa, last week nikitoka mkoani nikiwa na speed kama 140 Ile nataka kulipita gari la mbele likatokea gari linaingia barabarani nilipiga break Yani gari ilinionyesha behavior ambayo sitakuja kuisahau, kuanzia ubena mshale haukuvuka 80 mpaka nafika dar.Kwenye huu uzi natabiri bwana atatwaa soon, hizi ligi za barabarani siyo za, ku entertain. Kwa barabara zipi?
Watu kama nyie wasumbufu barabarani nikikuta mmekufa barabarani nawapita tuKabisa, last week nikitoka mkoani nikiwa na speed kama 140 Ile nataka kulipita gari la mbele likatokea gari linaingia barabarani nilipiga break Yani gari ilinionyesha behavior ambayo sitakuja kuisahau, kuanzia ubena mshale haukuvuka 80 mpaka nafika dar.
AiseeHuyo ni tahira sasa hz linafika hata 180 kweli[emoji848] mwenye hz anaachwa na noah lami vizuri tu ...
Tushatoka na noah DT ...tulikuwa nane ile tumesimama sehemu ikapita cruza ule upepo hadi gari ikayumba ..huwezi amin less than a minute dere wa noah akaanza iomba cruza tukaipita
Hakuna useless engine kwa v8 kama hii 2UZ. Hamna kitu hapoWe jamaa atleast Kuna neno umeongea Lina sanse unashindana na gar za class moja au Mimi nishawah shuudia vx 100 series yenze 2uz v8 engine inakatwa na Hilux d4d
πππππππππKabla ya barabarani ,ulikuwa unaitest wapi mkuu.
Hahaa kuna muendesha ambulance wa muhimbili tulimkuta chalinze saa 1usiku kapaki kwa vile tulikuwa msafara mmoja kyela tukasimama kumuuliza kulikoni akasema ameshindwa kuendelea amechoka ,akasaidiwa na konda wa coaster hadi ubungo p station saa3 usiku.Ukiwaona mjini wana mbwembwe hao.Yeye alitoka 12 asubuhi sisi saa 3 asubuhi,Uyole saa 6 mchana(12H-T dereva Dullah pale Biafra)popote ulipo shikamoo!Hiyo safari niliwah unga moja kwa moja nikasema sirudii tena huo ujinga..siku hizi huwa nalala Iringa, safari inaenda poa kabisa.
Tuonane next week tutaelewana
Hii iliishaje?Toa location...
Huyo nae ni pumbavu, mtu akiwa na cruiser HZ me nataka rumion tu hawezi niona hataMashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
πDualis gari ya kike hio mwanaume endesha murano, xtrail