Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Mkuu mimi napigaga non stop masaa 11-13Piga mdogomdogo tu unafika kilaini,sio mambio yasio na msingi wakati huwahi abiria.
Kyela-Dar siku 2.
Unazima Iringa siku inayofata unaamsha Dar mchana ushafika.