Twende mbele turudi nyuma.Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
SawaAcha ubish ww huijui xtrail,ile sio gar rafik kwa mazingira yetu,ugonjwa wake mkubwa kuchemasha na gia box
Upo sahihi.Na uwezo wa kuhandle barabara mbovu ...lkn kuchanganya na speed ni kawaida sana sedan nyingi sana zinaeza tembea zaidi ya hapo...
Eg kuna siku tumesimama sehemu tukaona Prado j150 ya serikali li diesel limeshakolea ni hii engine ya miaka ya karibuni 1gd ftv ...ilikuwa inatembea ..ni kipande ambacho unaeza ona zaidi ya kilometa maana kuna ka mlima imekuja speed mno kila mtu alikuwa anashangaa bajaj zikakaa pembeni mwamba alipita na shimo hadi nilimpa saluti afu ngoma iko stable ....
Later ikaja brevis ilikuwa inatembea mno ila kupita kwa lile shimo pale dereva ilibidi apaki aanze kagua gari...ndipo nikaona utofaut wa gari dogo na kubwa ...ila wakiekewa runway yule wa prado anaachwa vizuri ila kwenye kona na mabonde ya kushtukiza yule mwamba alikuwa na more than 160 na kapita kama kakanyaga tu ka simu gari ipo stable...
Sasa mkuu gari INA twin turbo V8 engine unaanzaje kuilinganisha na hardtop Hz ambazo hazina turbo engine??Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
Germany kule autobhan ...hio sijui cruza v8 ni takataka interms of speed ..kule niliona 1L bike zinasumbuliwa Sana ... Hadi waliacha production ya 600cc bike 4cyl kwamba hazina speed ila speed ake huku bongo sioni wa kukufata 😁 ila kule ni ndogo sana hiyo...cha ajabu pia watu huku wanapanda gari ya cc 650 wako wa nne eg alto , terious kid ...hizo kule ni cc za piki piki ....bongo mtu akiwa na honda 250 anaona yuko masaa😁Upo sahihi.
Barabara zetu hizi ni shida sana.
Ukisema ukimbie hizo speed lazima uwe na stability ya kufa mtu.
Otherwise unakufa unajiona.
Hii nakazia kabisa bila kipangamizi[emoji119]Overrated Cheap Car.
Ukiingia youtube kuna jamaa anajiita AutotopPnL.Germany kule autobhan ...hio sijui cruza v8 ni takataka interms of speed ..kule niliona 1L bike zinasumbuliwa Sana ... Hadi waliacha production ya 600cc bike 4cyl kwamba hazina speed ila speed ake huku bongo sioni wa kukufata [emoji16] ila kule ni ndogo sana hiyo...cha ajabu pia watu huku wanapanda gari ya cc 650 wako wa nne eg alto , terious kid ...hizo kule ni cc za piki piki ....bongo mtu akiwa na honda 250 anaona yuko masaa[emoji16]
Binadamu ni kiumbe anayependa sana kujikweza!Hahah humu JF bana 80% sasa wanamiliki M3/M5/RS6/amg 63 etc
Yaani kila mtu utasikia oooh Germany Machine blah blah na hizo gari zao hatuzionagi hata huku kwny barabara zetu sijui wanaendeshea Mbinguni hahah,ndio JF hio bana.
Jamaa barabara yao ya autobahn ni noma, Hitler hapa alichanga karata zake vizuri kujenga hii kitu. Kuna watu wanaenda kwa ajili ya kutalii tu na gari zao autobahn na maspidi kama yote.Ukiingia youtube kuna jamaa anajiita AutotopPnL.
Huyu jamaa ana balaa si kitoto. Anaendesha gari zake Autobhan.
Mjinga speed zake kuanzia 180kph kuna wakati anafikisha mpaka 300kph comfortably.
Aliwahi maliza kisahani cha Bentley Flying Spur zaidi ya 330kph.
Kuna rental cars companies, dealerships na private owned cars ndo wanampa Max magari yao.Jamaa barabara yao ya autobahn ni noma, Hitler hapa alichanga karata zake vizuri kujenga hii kitu. Kuna watu wanaenda kwa ajili ya kutalii tu na gari zao autobahn na maspidi kama yote.
Tukija huyo jamaa wa autotopNl yuko vizuri sana namkubali sana. Yani anazipush gari mpaka kwenye limit yake ya mwisho. Sema ninachojiuliza ingekuwa bongo unakodi gari ya mtu halafu mwenyewe anakuja kuiona ipo kibati kama imeibwa[emoji23][emoji23][emoji28]
Babu hii M5 4.4L V8 ina 523 HP hakuna bwiga yoyote mwny landcruiser ataekushika ukinyosha goti....Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
Ni kweli.
LC 200 zinawanyanyasa kina Harrier au Vanguard.
Ila ikikutana na proper german machine anatema ulimi.
ligi za barabarani huwa hamuambizani. inatokea tu unaanza kuhisi dereva wa gari aliye mbele/nyuma yako anataka ligi, na ndio hapo "mbungi" inaanza.Hao wakina crown kabla ya safari mlikubaliana mshindane? au ulikuwa unajishindanisha peke yako?
mbongo ukimwambia ukweli anasema unamchukia..tumezoea unafikiAcha ubish ww huijui xtrail,ile sio gar rafik kwa mazingira yetu,ugonjwa wake mkubwa kuchemasha na gia box
Sawa!ligi za barabarani huwa hamuambizani. inatokea tu unaanza kuhisi dereva wa gari aliye mbele/nyuma yako anataka ligi, na ndio hapo "mbungi" inaanza.
hapa mazungumzia safari za dar-mbeya, arusha-dar, morogoro-dodoma-singinda-shinyanga.
Hela sina ila xtrail hata bure sitaki[emoji23][emoji23]
Gari mbovu hizi sijapata ona. Kweli mkuu katika magari ukaamua utaje xtrail??
Nimejisisikia vibaya sana[emoji23][emoji23]
Kwa mtazamo wako,na ww huyajui magar,wkat huu unaizungumzia xtrail kwel ww huyajui magar
Mkuu, wewe ndo hujaelewa. Sijasema kama ni gari ya kike ama ya kiume. Ila nimeongelea upande wa ubovu wake kwa experuence. Mbona unapanic hivi jan? Hebu yaishe basi tulale kwa amaniNmekwambia mwanaume haendesh dualis u got my point? Au umekurupuka
@kukaza takoMmenichekesha sana na comment zenu looh.
Kiufupi napenda sana kundesha gari na napenda ligi ila kuna muda hjwa nasema je likitokea la kutokea.......!! Naanza kiwakumbuka wote waliokwishaniambia wananipenda, nafikiria vile watakuwa wanalia kwa uchungu nikiwa nimekufa kwa ajali......
Basi narudisha kisigino nyuma naanza kwenda mwendo wa kibalozi km 80 pale inapobidi, na 50 mpaka 30 pale nnapotakiwa kutii.
Na safari za nje ya Dar nikiwa naendesha binafsi huwa naifanya sehemu ya starehe, ambapo mwendo usio na ligi unaniondolea stress za kuovertake na kukaza tako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]