Eskrima si wanatumia vifimbo tu?Mjomba wako ana dan ngapi? Na unaposema tu karate , unaongelea uwanja mpana sana wa japanese muscle art .
Karate imegawanyika mno kuna shoto ryu,okinawan karate,goju ryu,wado ryu na shito ryu. Yeye yupo wapi hasa ? Binafsi ninacheza shorinji kenpo pamoja na eskrima (nikishika chochote chenye ncha kwangu ni silaha).
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Kwenye mafunzo pia unaambiwa uwe unatumia kichwa chako vizuri . Ndo manake hiyo ukiona hauwezi kuwamudu unatimua tu mbio , itahesabika ni moja ya mazoezi kwa hiyo siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe watu 10?Kuna kitu tunaita nidhamu, ukiachilia mbali nidhamu pia ukija kisheria ya nchi yeyote martial artists huwa wanachukuliwa kama silaha (mwili wa martial artist yeyote ni leaving weapon kutokana na alivyo u condition kwa mazoezi makali na uelewa mkubwa wa sehemu dhaifu kwenye mwili wa binadamu) sasa ikatokea umepiga mtu hata kwa kosa linalo epukika , unikamatwa ukafikishwa mahakamani huwa hawana cha kuuliza mara mbili hali ya kuwa aliyekuchokoza alikuwa hana silaha ujue lazima fine ikuhusu.
Kingine ni kuwa sheria huwa inaangalia pia na idadi ya watu waliokuchokoza na silaha zao mfano karateka mkoja mwenye black belt akipigana na mtu mmoja au wawili au watatu kwa kosa la kijinga tu tena wakiwa hawana silaha jua ,kosa ni la karateka na si la hao watu watatu .
At leats uanze kupigana na watu 10 wasio na silaha utasikilizwa ( kwa maana hata hivyo itakuwa sio kupigana bali kupiga). Na ndiyo maana kuna comittees nyingi tu ambazo ni halali kabisa kuekana sawa martial artists ,[emoji23] unaenda unapigwa au kupiga saaafi kabisa no stress no case.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigezo ni kile kile, mahudhurio ya "Ngwea" kila ijumaa hadi jumapili mpak utapolipa deni!Si unajua hapa kati uchumi uliyumba? Kuwa mpole wakae sawa, nakuombea ulipwe ASAP.
Na mimi nakuja kukopa ila kulipa ndiyo yatakuwa matanga 😅😅
Ukishajifunza huo mchezo automatically unakuwa mpole Sana coz unajua madhara gani mtu ukimpiga sehemu fulani ana pata madhara makubwa ila Kama unaupenda jifunze kwa self defense Mana hujui lin utakutana na kisanga itakuokoa Mana ukimzibua mtu tu maygel ilioshiba lazima wajue hapa Kuna bingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
huyu jamaa sio martial art anajisifu tu ili tumjue kama yupo vzuri,, na martial art ajisifii kama huyu boya, na kama angekua na shida ya kutoa sugu, angesema tu naomba kujua dawa ya kutoa sugu, angepata majibu, kuliko kuanza kujisifia koote huko kumbe boya. akijibu hili swali ulilomuuliza, nami nitampa swali kwa atakavyojibu hili.
Dah sasa kama inazuiliwa kupigana kumbe hakuna raha yoyote kuwa martial arts.Kuna kitu tunaita nidhamu, ukiachilia mbali nidhamu pia ukija kisheria ya nchi yeyote martial artists huwa wanachukuliwa kama silaha (mwili wa martial artist yeyote ni leaving weapon kutokana na alivyo u condition kwa mazoezi makali na uelewa mkubwa wa sehemu dhaifu kwenye mwili wa binadamu) sasa ikatokea umepiga mtu hata kwa kosa linalo epukika , unikamatwa ukafikishwa mahakamani huwa hawana cha kuuliza mara mbili hali ya kuwa aliyekuchokoza alikuwa hana silaha ujue lazima fine ikuhusu.
Kingine ni kuwa sheria huwa inaangalia pia na idadi ya watu waliokuchokoza na silaha zao mfano karateka mkoja mwenye black belt akipigana na mtu mmoja au wawili au watatu kwa kosa la kijinga tu tena wakiwa hawana silaha jua ,kosa ni la karateka na si la hao watu watatu .
At leats uanze kupigana na watu 10 wasio na silaha utasikilizwa ( kwa maana hata hivyo itakuwa sio kupigana bali kupiga). Na ndiyo maana kuna comittees nyingi tu ambazo ni halali kabisa kuekana sawa martial artists ,[emoji23] unaenda unapigwa au kupiga saaafi kabisa no stress no case.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na chanzo nin mkuumkuu kuna madhara gani?mtu akizingua si unamfundisha adabu tu halafu unamuacha aende zake
Inategemea na chanzo nin mkuu
Matusi Ni ya kawaida mbona SEMA Kuna udhalilishaji uliopitiliza hapo ndio shughuri inpoaanza huwa sipend mtu kuonewa huku nikiwa naona hapo huwa nafanya maamuz magumu lazima heshima ipatikanekwa mfano mtu amekutukana au amekudhalilisha bila sababu kwa nini usimfundishe adabu?
Matusi Ni ya kawaida mbona SEMA Kuna udhalilishaji uliopitiliza hapo ndio shughuri inpoaanza huwa sipend mtu kuonewa huku nikiwa naona hapo huwa nafanya maamuz magumu lazima heshima ipatikane
Fimbo ni part ya training, na unaweza kuitumia pia kama silaha ikiwa ni hautaki kumwaga damu au hauna jinsi kutokana na situation uliyopo, ila visu vipo na ndo dhumuni haswa la mchezo wenyewe huwa tunaita baraw kwa ki filipino au daga .Eskrima si wanatumia vifimbo tu?
mkuu uliwafanyaje?maana sio kawaida kuwadindia wale jamaaNarudia kusema kwa aina ya mchezo huu nilivyofundishwa kunipiga ni vigumu Sana,Kama kuna makamanda tena mp mwaka 2017 Serengeti baada ya kunisimamisha kwa kosa ya kijinga nikakataa kushuka kwenye gari wakaja kunitoa walikuwa 4 mp wana habari yangu popote walipo
Unaweza kujifunza vizuri tu mazoez yana utaratibu na swala la uwezo wa kujidefend wewe mwenyewe inategemea juhudi zako katika mazoez na kupenda kujifunza Zaid baada ya mafunzo ya dojohapo sawa nimekupata.
Hivi inawezekana kujifunza hayo mambo ya martial arts nikiwa mtu mzima?
Inachukua muda gani kuelewa na kuweza kujidefend?
Sheria haziruhusu Mana wew utakuwa umetumia silaha na pia dojo hatufundish kupigana pasina sheria kufuata sheria stahiki ila TU pale mtu atakapokuwa amekukwaza kupitiliza Tena si kupigana Bali kupiga pigo ambalo halito muathiri mkosaji Bali litamfanya asirudi tena kwako au kumpa maumivu atakayo kaa nayo hata kwa lisaa akiuguria kipind hicho wew haupo ila usipige mapigo mabaya katika presha point zote unaweza ukauwa kutokana weng siku hiz Wana magonjwamkuu kuna madhara gani?mtu akizingua si unamfundisha adabu tu halafu unamuacha aende zake
Sheria haziruhusu Mana wew utakuwa umetumia silaha na pia dojo hatufundish kupigana pasina sheria kufuata sheria stahiki ila TU pale mtu atakapokuwa amekukwaza kupitiliza Tena si kupigana Bali kupiga pigo ambalo halito muathiri mkosaji Bali litamfanya asirudi tena kwako au kumpa maumivu atakayo kaa nayo hata kwa lisaa akiuguria kipind hicho wew haupo ila usipige mapigo mabaya katika presha point zote unaweza ukauwa kutokana weng siku hiz Wana magonjwa
Sheria haziruhusu Mana wew utakuwa umetumia silaha na pia dojo hatufundish kupigana pasina sheria kufuata sheria stahiki ila TU pale mtu atakapokuwa amekukwaza kupitiliza Tena si kupigana Bali kupiga pigo ambalo halito muathiri mkosaji Bali litamfanya asirudi tena kwako au kumpa maumivu atakayo kaa nayo hata kwa lisaa akiuguria kipind hicho wew haupo ila usipige mapigo mabaya katika presha point zote unaweza ukauwa kutokana weng siku hiz Wana magonjwa