black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,244
DoneMkuu nimekuja DM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DoneMkuu nimekuja DM
Ukiwa more trained unakuwa na ujasiri wa kutosha na unaweza kupigana hata watu 10 ukawamudu vizuri ukiwa na punch nzito,kick nzto,na combination na techncs uko vizuri bas murua ,vijana weng wa Sasa wanajua kata ambayo Ni show lakin kufanyia Kaz zile kata wanakuwa wazito kupata Technics na wavivu kufanya hard kumite ili kuwajenga ustahimilivu na ukomavumkuu uliwafanyaje?maana sio kawaida kuwadindia wale jamaa
Ukiwa more trained unakuwa na ujasiri wa kutosha na unaweza kupigana hata watu 10 ukawamudu vizuri ukiwa na punch nzito,kick nzto,na combination na techncs uko vizuri bas murua ,vijana weng wa Sasa wanajua kata ambayo Ni show lakin kufanyia Kaz zile kata wanakuwa wazito kupata Technics na wavivu kufanya hard kumite ili kuwajenga ustahimilivu na ukomavu
Mjomba wako ana dan ngapi? Na unaposema tu karate , unaongelea uwanja mpana sana wa japanese muscle art .
Karate imegawanyika mno kuna shoto ryu,okinawan karate,goju ryu,wado ryu na shito ryu. Yeye yupo wapi hasa ? Binafsi ninacheza shorinji kenpo pamoja na eskrima (nikishika chochote chenye ncha kwangu ni silaha).
Mbona bado mweupe sana mkuu, kazakaza kidogo usogee.Nakushauri jifunze self defense mwamba najivunia naweza enda sehemu yeyote na muda wowote uje na lifimbo,panga,shoka nakuvibua tu nacheza shotokan brown belt now[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
mwenyewe nimemzoooom nikagundua hii ni chai ya maziwa na chai.Hahahaha jamaa alikuja na mikwara ya bonge la CV.
eti mjomba wake ametoka China.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]JF ina vituko sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheka Sana nadhani hujui unachokiongea kabisa na karate huijui kabisa yaaani hata rank huzijui kabisa yaan karibu tukufunzembona bado mweupe sana mkuu, kazakaza kidogo usogee.
Hapo bwana mdogo nimebakiza red belt Kisha black belt na red belt bado mtihani nasubir muda wote chama kikija kupasisha nivae red [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]mbona bado mweupe sana mkuu, kazakaza kidogo usogee.
Nakushauri anza na mazoezi ya mbio.. ni mtaji mkubwa 🙂Mkuu mi napenda karate sijui Kung Fu na boxing napenda kinyama ila napenda na kukimbia..[emoji23][emoji23] ili nikizidiwa mbio ziniokoe sio adui akushinde mbio na ngumi jua akikushinda hivyo kwisha habari yako..[emoji28]
Kuna kujua Karate.. na kuna moyo wa kutoa mapigo hivi sio mutually inclusive.Nakushauri jifunze self defense mwamba najivunia naweza enda sehemu yeyote na muda wowote uje na lifimbo,panga,shoka nakuvibua tu nacheza shotokan brown belt now[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
mwenyewe nimemzoooom nikagundua hii ni chai ya maziwa na chai.
Hapo bwana mdogo nimebakiza red belt Kisha black belt na red belt bado mtihani nasubir muda wote chama kikija kupasisha nivae red [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Madojo yako mengi na hz rank Ni speed yako but kuna vitu ila madojo ya leo watu hupasishwa tu ili mradi ana rank mm tangu 2000 Niko katika tasnia hii sema majukumu ya shule na Kaz ndio yamefanya nichelewe hiz rank Ni white,yellow ,orange,green,blue, purple,brown,red higher rank black katika mikanda baada ya hapo ndio tunaingia katika kutafuta Dani na katika hzo rank katika kila mkanda Kuna kata zake lazima uzijue zote lazima ujue tech nalazima ujue kuzicheza vizuri kwa ufasaha na huwez kupasishwa bila kumiteSorry mkuu hizo rank zinachukua muda gani kuzimaliza?na je ni wapi zonafundishwa kwa hapa tanzania?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatakuwa hajakwiza huyo vizuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kujua Karate.. na kuna moyo wa kutoa mapigo hivi sio mutually inclusive.
Kuna watu wanajua ngumi kama mhehe na kamwene.. lakini hawana roho za kijasusi za kugawa mapigo.
Tunakumbushana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
hizo dani lengo lake ni nini mkuu?kwa mfano mimi nikihitaji ile ya kujihami tu na vibaka 4 wenye silaha za jadi wakizingua niwape adabu inatakiwa niishie kwenye rank ipi kati ya hizo?Madojo yako mengi na hz rank Ni speed yako but kuna vitu ila madojo ya leo watu hupasishwa tu ili mradi ana rank mm tangu 2000 Niko katika tasnia hii sema majukumu ya shule na Kaz ndio yamefanya nichelewe hiz rank Ni white,yellow ,orange,green,blue, purple,brown,red higher rank black katika mikanda baada ya hapo ndio tunaingia katika kutafuta Dani na katika hzo rank katika kila mkanda Kuna kata zake lazima uzijue zote lazima ujue tech nalazima ujue kuzicheza vizuri kwa ufasaha na huwez kupasishwa bila kumite
Dan Ni kuonesha uwezo wako katika mapigano na ziko 10 hapo kwenye kuishia rank ipi hapana Cha Kwanza ujasiri,ujue mapigano ya kupigana na watu Zaid ya mmoja uzifahamu technic zote za kutumi silaha uzijue kwa usahihi usiende kuanzisha ugomv na yellow belt yako na haujaiva inavyotakiwa utapigwa mpkaa utachakaa fanya Sana mazoez tengenez muscles zako ziwe na Nguvu jifunze technic Sana kuwa mdadis naamin siku mtu anakutana na ngumi yako pigo moja harudi tenahizo dani lengo lake ni nini mkuu?kwa mfano mimi nikihitaji ile ya kujihami tu na vibaka 4 wenye silaha za jadi wakizingua niwape adabu inatakiwa niishie kwenye rank ipi kati ya hizo?
Dan Ni kuonesha uwezo wako katika mapigano na ziko 10 hapo kwenye kuishia rank ipi hapana Cha Kwanza ujasiri,ujue mapigano ya kupigana na watu Zaid ya mmoja uzifahamu technic zote za kutumi silaha uzijue kwa usahihi usiende kuanzisha ugomv na yellow belt yako na haujaiva inavyotakiwa utapigwa mpkaa utachakaa fanya Sana mazoez tengenez muscles zako ziwe na Nguvu jifunze technic Sana kuwa mdadis naamin siku mtu anakutana na ngumi yako pigo moja harudi tena
Kwa lugha rahis Dani Ni degree kwa hyo unapoanza kucheza karate Ni safar yko ya Elimu kwa hyo ukifika black belt na ukaenda chukua Dan maana yake umeanza first degree Ni martial arts huko Kuna Elimu nying na mambo mengi mtu Kama cheq nors ana degree 8 yaan Dan 8 katika taekwondo kwa hyo utofauti uliopo mtu mwenye Dan Yuko more advance than black beltsasa mtu aloyeishia kwenye black belt bila dani na mwenye dani wana utofauti gani mkuu?
Kwa lugha rahis Dani Ni degree kwa hyo unapoanza kucheza karate Ni safar yko ya Elimu kwa hyo ukifika black belt na ukaenda chukua Dan maana yake umeanza first degree Ni martial arts huko Kuna Elimu nying na mambo mengi mtu Kama cheq nors ana degree 8 yaan Dan 8 katika taekwondo kwa hyo utofauti uliopo mtu mwenye Dan Yuko more advance than black belt