Nilibarikiwa na Papa John Paul II mwaka 1990 nikiwa mtoto leo hii najiona mimi ni kama askofu

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mwaka 1990 nchi yetu ilipata bahati ya kutembelewa na viongozi wawili wakubwa duniani mmoja wa kisiasa mwingine wa kidini.
Papa John na Mandela.

Wakati papa John amekuja Tanzania baba alinibeba begani papa akaniona nikiwa juu ya bega la baba alinibusu na kunibariki.

Leo najiona nina upako wa kiaskofu.

Mandela alipokuja Uingereza mwaka 1990 wakati mzee John Sigwiyemis Malecela akiwa balozi nilikuwa na baba Uingereza. Wakati Elton John anapafomu pale uwanjani Wembley na wimbo wake sacrifice maarufu kokoooaaa akimkaribisha mzee Mandela nilikuwepo uwanjani na baba.

Leo najiona Nina upako wa Mandela najiona mwanasiasa.

Mkulungwa makusudi
 
We unaonekana kwenu mambo ni ngoma inogile
 

Elton john kawa shoga. naona huo upako unakufuata
 
Na Papa kukubali ndoa za jinsia mmoja huo nao ni upako

Halafu anaebariiki ni Mungu sio Papa
 
At first place nilisoma "ulilawitiwa na papa".... samehe nilichowaza.
 
Sasa Baba yako alikuwa mbele ya Baba yangu siku hiyo ila mimi sikubebwa begani.
 
Sio kivile. Basi dunia nzima ingejaa wachungaji na maaskofu.
Hizo ni hisia zako tu.
 
Unaweza kulala na bundi na ukaamka mwenye bahati.
 
Pongezi zote zielekezwe Chamwino.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…