Nilibarikiwa na Papa John Paul II mwaka 1990 nikiwa mtoto leo hii najiona mimi ni kama askofu

Nilibarikiwa na Papa John Paul II mwaka 1990 nikiwa mtoto leo hii najiona mimi ni kama askofu

Mwaka 1990 nchi yetu ilipata bahati ya kutembelewa na viongozi wawili wakubwa duniani mmoja wa kisiasa mwingine wa kidini.
Papa John na Mandela.

Wakati papa John amekuja Tanzania baba alinibeba begani papa akaniona nikiwa juu ya bega la baba alinibusu na kunibariki.

Leo najiona nina upako wa kiaskofu.

Mandela alipokuja Uingereza mwaka 1990 wakati mzee John Sigwiyemis Malecela akiwa balozi nilikuwa na baba Uingereza. Wakati Elton John anapafomu pale uwanjani Wembley na wimbo wake sacrifice maarufu kokoooaaa akimkaribisha mzee Mandela nilikuwepo uwanjani na baba.

Leo najiona Nina upako wa Mandela najiona mwanasiasa.

Mkulungwa makusudi


Don Nalimison second version
 
Elton John alivyoperfom ukiwa na Baba, kinyeo hakikuwashi washi, Ishara ya Upako wa kuwa shoga Mkuu?
 
Awamu ya tano imetufukarisha mkuu nasasa tunaishi Kama mashetani na hii ni raha kwa wengine. Haya ndio maajabu ya walimwengu.

Pole sana mzee daah wamu ya kikwete niliish GUCCI LIFE ila sikuizi waya mkali mzee ila huyu dingi ana roho ya shetani me namlaani sana kmmk
 
Pole sana mzee daah wamu ya kikwete niliish GUCCI LIFE ila sikuizi waya mkali mzee ila huyu dingi ana roho ya shetani me namlaani sana kmmk
Eti mtu anachukia watu wakiwa matajiri ana wacondem wameiba halafu anaona ufahari kujiita mkuu was wanyonge shortly ni kwamba hapendi watu watajirike ili kofia yake ya kujitanabaisha na wanyonge iendelee kuwepo propaganda za uongo na upumbavu.
 
Eti mtu anachukia watu wakiwa matajiri ana wacondem wameiba halafu anaona ufahari kujiita mkuu was wanyonge shortly ni kwamba hapendi watu watajirike ili kofia yake ya kujitanabaisha na wanyonge iendelee kuwepo propaganda za uongo na upumbavu.

Kabisa yan ujue me nashangaa sana ukibahatika kupanda daladala na mwendo kasi kuna wasengelema wanamsifia , yan kuna siku nikajisema kwa nguvu tu "UMASKINI MBAYA SANA" yan kuna watu wanafurahia wenzao kuanguka kuwa nao sawa na wanasifia ni kazii ya mkuu hiyo daaaah, yan huwa sijawah kuelewa kabisa yani, huyu faza ni shetani mwanangu, alisababisha one of my uncles(very rich) adondoke kwa stoke kisa visa walivyokuwa wanamfanyia huyu dingi nataman ata afe leo , yan sio vizuri kumwombea kifo ila akifa ntaenda sehemu kusherekea na bia nyingi sana na najua sipo pekeangu ntakaefanya ivyo
 
Back
Top Bottom